Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Wanawake wanawahi kuchoka, Mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kuoa mwanamke mnayelingana umri?

Tunzeni wake zenu kina baba jamani hakuna mwanamke anazeeka in her 40's. Sasa mwanamke wa watu anaanza kufumania michepuko tangu ana miaka 26 imagine,. Kila siku analala amenuna , kila siku lazima mpigizane makelele,anawaza kushika simu ya mume na kupigia michepuko, moyo unamlipuka kila saa, stress kila upande ataachaje kuchoka mapema.Haya mambo yanaanzia ndani moyo ukiwa haupo vizuri utareflect tu nje tutaona, ndio maana sikuhizi wanawake wanasema wanatafuta furaha zao Kwanza maana ndoa hizi ukiwa serious Sana kuzeeka na miaka 40 ni kawaida.mimi Nina dada zangu(wa ukoo)wawili wote wamenizidi miaka mingi tu wana 38 Sasa hivi Ila mmoja ukimuona utafikiri ana miaka 28 mwingine utajua ana miaka 45 na maisha yao yanareflect pia.mmoja ndoa yake ina amani Sana na ana mume anayemjali, mwingine mume pasua kichwa kila mwezi matukio mapya kutunza watoto tu ni shida.Stress zinazeesha choose your patners well.Mwanamke akipendwa vizuri na yeye pia anajipenda na anakua na amani atatafuta viskin care ,atakunywa vicollagen, atapaka visunscreen, atakula vizuri, uzee utatoka wapi Sasa.
 
Watu tunaoa wanawake tumewazidi nusu ya umri tulionao au robo tatu na hao wanawake wanakua haraka na kuzeeka sawa na waume zao tu. Unakuta jibaba lina miaka arobaini linaoa mdada wa miaka ishirini na maisha yanaenda freshi tu. Habari za kufa mapema si za kufikiria kwani hakuna mtu ajuaye lini atakufa
Mi mwenyewe nashangaa watu wanaoona ni muhimu kuoa agemates.

Mi mke wangu nimemzidi miaka 17 lkn naishi naye vizuri kabisa. She is a matured wife material.
Tunashauriana, tunataniana na kufanya utoto pamoja sometimes.

Ndoa Haina fomula. Kuna waliooana wakiwa agemates na wameishi kwa uaminifu Hadi uzeeni. Wengine wameshindwana wakaachana au kuishia kugawana vyumba.

Kuna waliopishana umri kwa kiasi kikubwa na wakashindwana na hata kuachana lkn wapo pia walioshi pamoja Hadi kifo kilipowatenganisha.

Oa mwanamke anayekufaa.

NI MTAZAMO TU
 
Maisha ni kuzingatia upevu wa akili,mfano mkiwa aged 30 wote wawili mtawaza kuanza ujenzi wa nyumba ya familia yenu wakati ukiwa na wa miaka 20 yeye atakuwa bado anawaza kuringishiana models za iPhones na kubadilisha mavazi huku wewe umri unaenda nguvu zikipungua akija kufika 30 wewe una 40 hapo ameshapevuka akili anaanza kuwaza ujenzi hapo mna watoto watatu wanasoma unadhani kuna kitu utafanya tena?

Mwanamke akila vizuri akilala pazuri hazeeki shida mnawatia stress kuchepuka lishe yenyewe hamtoi inavyotakiwa mnazeekea nyumba za kupanga hizo changamoto hataacha kuwa bibi akifika 43.
Jenga kwanza ndio uoe.
 
Oa mwanamke unayeweza kuwa comfortable naye. Oa mwanamke anayeweza kukupa amani ya moyo wako mpaka ndani ya nyumba. Mtu kama mimi sipendi mwanamke anayenipigia kelele na kunifokea. Ninaweza kumchoma kisu hata cha shingoni. Sasa nikipata mwenye umri kama wangu wa miaka 29 lakini ananipa amani ya moyoni, hanifokei, kwanini nisimuoe??

aman ya moyo.
 
I met my girl tukiwa both at 20yrs old hapo ndio tumetoka kumaliza form 6..I married her tukiwa 26yrs miaka miaka 2 baada ya kumaliza chuo..Hatukua na kaz wote but tulikua tunaendana kwenye mambo mengi sanaa.Mnakaa chin mnapanga plan zinaenda cz mnayatazama maisha katika same perspective..Mimi na yeye tuko 34 with 4 kids first born akiwa already secondary....oa mshkaji wako..sio mambo ya kuoa mtu sawa na mwanao au mdogo ako wa mwisho huko ndio maana hata mawifi zake wanapata guts za kumtingisha 😂.

Anyway ,sio kila kina workout kwa mtu flan bas lazima ki apply kwa mwingine pia...Kila mtu afanye anachotaka
Siwezi oa anayelingana na mimi never, au mwenye mtoto. Anachoka mapema kabla yangu, K inaishiwa ladha halafu mimi wakati huo bado nina migenye, nianze kuvitolea macho vibinti vibichi vibichi.
 
 
Siwezi oa anayelingana na mimi never, au mwenye mtoto. Anachoka mapema kabla yangu, K inaishiwa ladha halafu mimi wakati huo bado nina migenye, nianze kuvitolea macho vibinti vibichi vibichi.
SAwa..kama unafikiri huko kwenye ndoa ni nyege tuu ndio zinawindwa bas kaa kwa kutulia mpaka uoe..uone jinsi gan unaweza lala na mwanamke kitanda kimoja na usiwe hata na wazo la ngono.

Ndoani ngono ina sehemu ndogo sanaaa japo yenye umuhim mkubwa katika udogo wake huo huo
 
Tamaa


Tamaa tu, ana miaka 42 anavutiwa na mabinti wa mike 30, kwa hiyo kama alioa na miaka 27 anapaswa aoe mtoto wa miaka 17.

Umri mzuri wa kupishana ni kati ya miaka 2 hadi mitano, reasonable, cha Muhimu, ni kuacha tu tamaa.

Hata babu wa miaka 76 anavutiwa na binti wa miaka 25, issue ni nidhamu na kujua kwamba mda umekutupa mkono.
Miaka 30 ndio saizi yake na ndio wanapatikana. Wanaomkaribia umri walishaolewa au wana watoto watatu tayari. 42 kwa 30 wanaendana sana na wataenjoy life
 
Jenga kwanza ndio uoe.
Ukitaka kuamini ulichokiandika hapa hakiwezekani angalia ktk ndugu zako na jamaa zako wangapi waliweza kutekeleza hicho ulichosema hapo ndiyo wakaoa.

Ni % ndogo sana ya Watanzania wameweza kujenga nyumba zao kabla ya kupita umri sahihi kwa kijana wa kitanzania kuoa the rest tumejenga tukiwa tayari na wake zetu.

Neno “jenga” siyo rahisi kiasi hiko.
 
Oa mwanamke unayeweza kuwa comfortable naye. Oa mwanamke anayeweza kukupa amani ya moyo wako mpaka ndani ya nyumba. Mtu kama mimi sipendi mwanamke anayenipigia kelele na kunifokea. Ninaweza kumchoma kisu hata cha shingoni. Sasa nikipata mwenye umri kama wangu wa miaka 29 lakini ananipa amani ya moyoni, hanifokei, kwanini nisimuoe??
Utamchoma kisu shingoni???
Una roho ya mauaji,jitathimi,yameujaza moyo wako hayo🙏🏊
 
Back
Top Bottom