Sengimisoji
Senior Member
- Feb 2, 2022
- 128
- 209
Ila kudeka raha sana ukimpata anaekudekeza,Ndio tunapenda, mwanamke kudeka inatafsiri ya mwanamke kumuachia usukani mwanaume aamue 1, 2, 3 na wanaume tunapenda sana kushika usukani.
Mke wangu akideka hua naenjoy japo simuonyeshi asije akatumia hiyo silaha maana atanitesa
Mm sio kibonge,saizi yakati sipo kwa wembamba Wala vibonge, napenda kudeka sanaaaa[emoji8]Km wewe ni mwembamba hapo sawa,lkn km wewe ni kibonge km Mimi achana na madeko maana utakuwa kubwa jinga [emoji23][emoji23][emoji23].
Huna pointi. Kigezo kikubwa cha ubonge wa mtu ni uzito wake bila kujali kama ni pear-shaped au apple-shaped. Basi itakubidi urekebishe title ya uzi wako na usomeke kuwa unaowakandia ni wanawake wanene wasio na shepu...Bonge ni kama huyuView attachment 2233474
Shikamoo wakwetu[emoji13][emoji119]Huna pointi. Kigezo kikubwa cha ubonge wa mtu ni uzito wake bila kujali kama ni pear-shaped au apple-shaped. Basi itakubidi urekebishe title ya uzi wako na usomeke kuwa unaowakandia ni wanawake wanene wasio na shepu...
Na hao mabonge wasio na shepu unahangaika nao wa nini? Au unaishi mikoa ya huko wanakopatikana kwa wingi? [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kamata bonge halafu pear-shaped ule mema ya dunia kijana acha kukandia vitu usivyovijua! [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2233496View attachment 2233497View attachment 2233498
Marahaba nkoyi.Shikamoo wakwetu[emoji13][emoji119]
[emoji23][emoji23]nimecheka Kwa sauti....Wasalaam,
Katika pirika za mahusiano nilichogundua kudeka kunampa raha mwanamke japo kwa kiasi ila pia kudeka kwa mwanamke kunampa fursa mwanaume kujimwambafy na kutekeleza 1, 2, 3
Lakini kudeka kunapendeza kwa mwanamke mwembamba sasa unakuta mwanamke kama kiboko ati na yeye anajikekeza haa ha haa. Siwasemi kwa lengo baya ila mwanamke bonge hapendezi kudeka anaonekana kama kubwa jinga tu.
Uzi tayari ASP
Hiii ni Ng'ombee kwelkwlBonge ni kama huyuView attachment 2233474
Halafu inaonekana ni kibongeLeo ndio nimejua wewe ni she. Jiandae kwa mtongozo
Mkuu,hii tandam ni ya wapi?Na ukome kuyasema vibaya mayutong
Manamake manene mapoleee, matulivu, yana huruma, yana upendo, hayana neno na mtu wala hayana hata haja ya kujidekesha yaani otomatikale utakuta tu mwenyewe unalidekesha kwa raha linazokupa...Amani ya moyo mtu unaweza hata kutoroka kazini uje nyumbani chapu ulisalimie tu yaani [emoji39][emoji39]
Vimbaumbau hivi kiranga, gubu, ugomvi na kisirani 24/7 ndo faida gani? Hata kakijidekesha mtu hujui kama kinataka kufaint kwa ajili ya njaa au kanapiga gheresha....
View attachment 2233464
Angalia jina lake!Mkuu,hii tandam ni ya wapi?
100%Sema wadada vibonge wana roho nyeupe sana sijui ni kwa nini.
Naomba nikuongezee nyingine usije ukaoa mwanamke 1GBKuna jamaa mmoja alinizidi kiumri kuna siku tumekaa kijiweni tunapiga story akanambia usije ukaoa mwanamke bonge nikamuuliza kwa nn hakunipa jibu maana mke wake ni bonge mpaka leo naiwaza kauli yake japo sijafanikiwa kuoa hivi vibonge wana shida gani swali juu ya mada.