ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Sahihi nani atakubali kuoa jianamke lije likubishie hapo hme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina nani hao???Huo kuwa harakati za kuharibu mfumo asilia zilianza hivi, kupitia jinsia, wamefanikiwa na hasa huku kwenye umasikini wa kutisha, tulikokuwa tumebakiwa na maadili ya kifamilia jadi.
Agenda inayofuata ambayo na yenyewe imeanza kufanikiwa ni kuwa; Mwanamke ni sawa na Mwanaume kimaumbile, anaweza kuoa; hii haina madhara makubwa sana kama Agenda ya kutaka kumbadili Mwanaume kuwa Mwanamke, wenye mnaita LBGT sijui!
Usomi ni kutambua dhima nzima ya uwepo wa jinsi yako hapa duniani, mengine ni ule uwezo wako wa kufikiri baada ya kuondoa yaliyojazwa kichwani kwako kupitia madarasa.
🤣🤣🤣🤣Frankly!!!
Akitokea kijana leo akaniomba ushauri kwamba ana wanawake wawili,mmoja msomi na ana kazi nzuri take home yake Tsh 1.5mill na mwengine la saba anayeweza ku-control kijiduka kidogo kidogo tu cha familia huko mtaani nitamwambia aende na wa la saba.
Hata kama huyu wa la saba akawa tegemezi still nitasimama nae.
I’m not sure kama hawa watu waliweka sababu za kuachana na wanaume/wake zao…but most of them huwa ni cheating na unyanyasaji….na kwa wenzetu cheating na unyanyasaji sio mambo ya kusamehe kirahisi they know what they deserve when it’s comes for someone’s rights…We ndio mtu wa ajabu na hela zako wapo wapi wake wa kina Jeff na Elon je dangote
Kweli kabisa baba yoyote yule anayesomesha mtoto wa kike hajitambui kabisa. Anaye lisha familia ni mwanaume hivyo wakusomeshwa ni mwanaume sio mwanamkeSawa.
Msiwasomeshe mabinti zenu sasa. Changes starts with you.
Muhimu ajuye kutunza familia, jambi ambalo kwasasa linaoneka kuwa replaced na usomi, kwa wanawake.Frankly!!!
Akitokea kijana leo akaniomba ushauri kwamba ana wanawake wawili,mmoja msomi na ana kazi nzuri take home yake Tsh 1.5mill na mwengine la saba anayeweza ku-control kijiduka kidogo kidogo tu cha familia huko mtaani nitamwambia aende na wa la saba.
Hata kama huyu wa la saba akawa tegemezi still nitasimama nae.
Haya.Kweli kabisa baba yoyote yule anayesomesha mtoto wa kike hajitambui kabisa. Anaye lisha familia ni mwanaume hivyo wakusomeshwa ni mwanaume sio mwanamke
Achana na dini kwa sasa, kwani wanyama wana dini? Kwa sisi tuliochunga, sidhani kama kuna aliyewahi kushuhudia hata kwa bahati mbaya kuwa Dume likakakuliwa maziwa au porini ukasikia Simba jike kulinda himaya yake, zaidi utasikia analinda watoto wake.Wakina nani hao???
Waliowaletea Dini??
😢😢😢😢Mwenye miaka 20 akiwa ametoa mimba 3 basi ujue ni mgonjwa.
Mm kama kungwi nakupeni taarifa rasmi kwamba ktk umri huo mwanamke anakuwa ametoa mimba 7 mpk 10.
Akili yenyewe huna.Sasa hivi gender theories zimejikita kwenye ku educate men to be men maana wengine walishasahau majukumu yao ya kiume (najua wengi mtabisha ila hili nalo ni somo la siku nyingine).
Pale ambapo mwanaume atajitambua kama mwanaume hataweza kuogopa usomi au kipato cha mwwnamke.
Jioni njema.
Kama ukininukuu naomba uwe akili kubwa....
SahwaSawa.
Msiwasomeshe mabinti zenu sasa. Changes starts with you.
Hata hiyo slogan yao ya kataa ndoa naiona huku tu jf...kila wknd harusi za kutoshaPointless
Wesomi wanaolewa sana tu.
Labda huko kwenu ndo huwa hawaolewi.
Tena wanaume wa wanavyopenda kitonga... yani wanawake wenye kazi na wasomi ndo waolewaji kila siku na ukibook kumbi za harusi zimejaa
Hizi ndoa za wasomi zinazofungwa kila siku huku mitaani ni za wanawake wa nchi gani?Sahwa
Waganga njaa tu hawa ukute hata hela za mahari hawana.Hata hiyo slogan yao ya kataa ndoa naiona huku tu jf...kila wknd harusi za kutosha
Mwanaume mjanja hawezi kuoa somi somi. Watakuwa wanaoa bektatu na form four failureHizi ndoa za wasomi zinazofungwa kila siku huku mitaani ni za wanawake wa nchi gani?