Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Shangazi wa Zanzibar na shoga yake Maria wanahusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe ndio mwanaume. Mwanaume anliyekamilika hawezi ogopa mwanamke yeyote awe amemzidi elimu au kipato.
Anajua afanye nini kulinda uanaume wake mbele ya mwanamke wake.
Huna stereotypes kama wale wengine...
Divorce rate inazid kua kubwa siku hadi sikuHizi ndoa za wasomi zinazofungwa kila siku huku mitaani ni za wanawake wa nchi gani?
Nasema hivi wewe ndo mwanaumeNnaamini zaidi kwenye upendo
Nnaamini zaidi kwenye amani na furaha
Siwezi tafuta mke kwa kuangalia elimu,kipato chake
En na wish kua na mtu asie na kitu kabisa.... kwasababu zangu binafsi
Wewe hujaolewa?Kabisa!!
Ndio maana nimeshangaa kusikia utasomesha binti yako ukijua kabisa ataishia kuwa kama sisi tusioolewa kisa tumesoma.
Kunywa soda baridi hapo dukani utume na namba P.M nikutumie malipo ulipe mkuu!...Huna akili wewe hako ka degree ka procurement unaolewa hata na mpiga debe.
Hapa naongelea mwanamke mwenye elimu yake ambaye ni HR ggm au Pale BOT.
Wewe wa procurement humsumbui hata mpiga debe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongeza sautiiiiii.Pointless
Wesomi wanaolewa sana tu.
Labda huko kwenu ndo huwa hawaolewi.
Tena wanaume wa wanavyopenda kitonga... yani wanawake wenye kazi na wasomi ndo waolewaji kila siku na ukibook kumbi za harusi zimejaa
5. Wasomi wengi wavivu sana kitandani
Naaahh... mwanamke hawez kuamua nani ni mwanaume na nani sioNasema hivi wewe ndo mwanaume
Wafundishe na wenzako kuwa wanaume
Hatuwi wanaume kwa recognition ya comment uchwara kutoka kwa feminist kichwa maji bora hata fetty karume na Maria sarungi.Nasema hivi wewe ndo mwanaume
Wafundishe na wenzako kuwa wanaume
Juu ya kibenten chakeUsomi huo ni mpaka level ipi ya elimu?
Wanaume waliokamilika wanaoa kila siku maana pia wana kipato cha kusimamia familia zao. Sasa hawa jobless hata mahari tu watatoa wapi wakati ajira hawajapata na hawawezi kujiongeza?? Pia kusimamia mke na watoto wataweza wapiii? Wanaogopa kutajiwa mahari kubwa na uwezo wa kulea family hawana halafu kujifariji nafsi zao wanasema wasomi hawaolewi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongeza sautiiiiii.
Sasa kuna vitu haviendani na furaha ujuwe yako, bali ya unayemuowa..!! If you know what Am I saying..!!Nnaamini zaidi kwenye upendo
Nnaamini zaidi kwenye amani na furaha
Siwezi tafuta mke kwa kuangalia elimu,kipato chake
En na wish kua na mtu asie na kitu kabisa.... kwasababu zangu binafsi
Mambo ya mahari tena...Wanaume waliokamilika wanaoa kila siku maana pia wana kipato cha kusimamia familia zao. Sasa hawa jobless mahari watatoa wapi wakati ajira hawajapata na hawawezi kujiongeza?? Wanaogopa kutajiwa mahari kubwa halafu kujifariji nafsi zao wanasema hawaolewi.
Sasa kuna vitu haviendani na furaha ujuwe yako, bali ya unayemuowa..!! If you know what Am I saying..!!
Mambo ya mahari tena...
Ni sahihi kutoza mahari? Na kwann mahari hutozwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna typo kidogo kwenye hiyo post ambayo hujaielewa. Nilimaanisha hivi, wanawake wengi ambao ni wasomi, wenye fedha na/au madaraka, huwa wanaamini kwenye nguvu ya pesa, shule na manadara waliyonayo..!! Mtu wa hivyo, upendo kwa mwingine ni almost nothing kwake..!! The fact kwamba unavinyenyekea alivyonayvo kwake imekaa sawa tu..!!Sijakuelewa mkuu
Unaweza nifafanulia kidogo?
Ilikuwa ni mfano tu wa kwamba maisha ya kulea familia hawayawezi....Mambo ya mahari tena...
Ni sahihi kutoza mahari? Na kwann mahari hutozwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndo tunajua nani mwanaume nani mvulana