Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Jamani jamani jamani mtusameheee jamani tusameheni na sisi ni binadamu..nyie mna madhaifu yenu nasi pia vivyo hivyo. Nadhani kuzaa kunyonyesha na majukumu ya familia na ulezi watt ni kitu kimoja kigumu sana. Nadhani kupitia hizi hatua kuna some hormones zinaisha au kuongezeka kupelekea tabia zetu zibadilike. Lakini wanawake wenzangu hakuna kitu kizuri kama kujishusha na kuomba msamaha mimi kuomba msamaha nipo vzr kwa sbb naweza kulipukaaa kama mtungi wa gas ila nikikaa na kutafakari naona kabisa namakosa nitaomba radhi aisee. Yani mm kugombana na Mr au kumletea kiburi na akakasirika huwa inanipa tabu sana yani nijiskia vibaya kama niko uchi so mara nyingi hukumbuka kuomba msamaha yaishe.
One in a million...
 
Hahaha. Sema usipokuwa na akili wanazimaliza zote unarudi kwa bondia wako unakutoa meno.
Na wananua kuzitafuna hao acha tuu. Inabidi uwe makini kweli pamoja nanutamu wa hizo mbususu zao
 
Wanaume wengi pia hatujui namna ya kuwa viongozi kwenye ndoa zao. Utii kutoka kwa mwanamke hauji tu ati kwa kuwa umemuoa.

Kuna namna unapaswa kuishi kama mwanaume unayejielewa, kiongozi, baba na mlinzi wa familia. Mkeo mwenyewe ana-salute kwako anajua kweli yuko na mme jembe lazima akuheshimu tu.

Lakini mwanamke akikubishia jambo dogo tu, tayari unaamua ukitoka kazini unapitia bar unarudi akishalala ati unaogopa kelele za mkeo.
Hapo mkeo lazima akushangae na akuone una mapungufu hasa ya kiuongozi.
Mwanamke anaweza kukuhoji kuhusu jambo lolote lile maana naye ni mwanadamu na ni partner wako kwenye maisha.
Sasa wewe badala ya kuonesha uanaume wako wa kutoa hoja zenye majibu na kuweka msimamo na uonvozi juu ya hoja hiyo unaishia kukimbilia bar.

Ni shida kubwa wanaume tunayo.
Hatujielewi haswa na tumekuwa waoga mno wa maisha na debate za kwenye ndoa. Mwanamke mpaka anashindwa kuelewa aishije na wewe maana huonekani kujua lolote na wala humuongozi kujua na kuufuata uelekeo wenu.

Sasa mwanaume anachelews kurudi nyumbani ati kisa hapendi mkewe anavyokagua simu yake[emoji3][emoji3][emoji3]. Wakati ukichukulia positively ni kwamba inawezekana anakupenda huyo na anaogopa kuibiwa baaaas.
Kwahiyo kama una mambo yako jua jinsi ya kuyaficha kwenye simu asiyaone au yafute. Akikagua anakukuta swafi baadae anazoea tu.

Tushaambiwa tuishi nao kwa akili. Akili asipoziona kwako anakudharau.
nimejikuta nakusikitikia sana...
.
maisha yamebadilika boss hayo unayosema yalikuwa yanatokea miaka ya kumi nyuma..
.
wadada wa siku izi hawana mda huo, akiamua kukuanzishia fujo ukitaka kuonesha kuwa ww ni mwamba utaishia kwenda jela maana kadri unavyozidi kumshape ndo anavyozidi kukuzidishia kiburi.
.
kwa akili hiyo uliyonayo ipo siku gunia mbili zitamuusu mkeo..
 
Ujanja wako mwanaume ni kipindi cha courtship tu maana mwanamke ndio anaomba kazi ila ukiisha mwingiza ndani yeye ndiye boss na wewe mwanaume ndiye kibarua. Ndio maana ukitaka kumuacha sheria zinamlinda ila wewe mwanaume zilikulinda kipindi hujamuingiza ndani. Hivyo basi furaha ya mwanaume huwa ya kipindi kifupi sana na mwanamke ya muda mrefu.
 
Ndugu yangu, ni ngumu sanaaaa mwanaume aliyekamilika na mwenye uwezo kifedha akaendeshwa na mwanamke. Kaa na bibi zako watakuambia. Kama wapo ni less than 2%.

Ashinde bar sababu ya mke🤣🤣 kisha arudi nyumbani? Huyo ujue hana pa kulala, kwani Appartment mjini zimekwisha? Au tiketi za kusafiri za ndege hakuna?

Na wadada wanavyopenda wanaume wa watu wenye pesa sasa, hapo nyumbani utamuona mara moja kwa mwezi siku akikuletea risiti za watoto za ada anaowasomesha nje huko.

Hujatujua wanaume. Sikia, kuna jambo moja tu la kumnyong'onyesha mwanaume, FEDHA. Kinyume na hapo labda awe mvulana si mwanaume.

USHAURI: usiwe mkorofi kwa mume anayejiweza. Kuna wenzio watapangiwa appartment mjini na kupandishwa ndege sababu wanajua kumsahaulisha ukorofi wako.
Hizi Ni mbwembwe za kwenye keyboard mtaani tunawaona mnavyoweweseka
 
Nashindwa kusoma maoni yote lakini nilichogundua kwako mkuu zingatia hata

Hakuna ndoa isiyo na changamoto lakini kama umeamua kuoa inamana huo ni ubavu wako,kwanini unaogopa mkeo kushika simu yako? Kuna kitu gani mpaka unaogopa?

Yan kitendo tu cha kuogopa tayari nae anashindwa kukuamini ikishafika hatua ya kutoaminiana basi kifuatacho ni kutafuta njia ya kujipoza. Maisha ya ndoa hayataki mambo ya chinichini.

Kuwa huru na mwenzako nae awe huru kwako tumia muda wako wa ziada kuwa nae,ukimtenga sana atakuwa na wasi was kuwa una mwingine huo ndio udhaifu wao. Wanawake wako tayari hata usiende kazini ushinde nae ndani tu. Usione kuwa unabanwa ila ni wajibu.

Ndoa ngumu sana kama utaichukulia poa.

KWA WANAWAKE: Tambue kabisa wanaume wanapenda heshima,hata kama humpendi lakini ukimuheshimu mumeo atakujali sana, jitahidini kutokutaka kupindua madaraka ya nyumbani, elewa mume ni kichwa lazma uwe chini yake ukilazimisha vibao vinaweza kukuhusu au kutengana.
 
Unaweza muomba au kuonyesha dalili fulani ya kutaka mchezo, akakukataa au akakwambia tu amechoka au hajisikii 😎😎. Je utambaka🤔
ah hajisikii tena? ala basi na mie kuna siku nitasema dah leo na mie sijisikii kukupa hela 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kiburi cha kwenye keyboard unafikiri kinatutisha!!!😂 Huku kitaa mnaogopa hata nyumba mnashinda bar mpk usiku mnene ili ukute wife kalala, alfajiri umesepa,😂 nicheke Tena!!!!

Muhimu Ni kuishi kwa kuheshimiana tu Kuna wenye hela na bado mapenzi yanawacharaza sawia, omba usipate mwanamke mbabe ama ubabe wako wa kiume uutumie kiakili kwa mkeo, ukipandisha mabega akikuamulia utayashusha tu, achana na mwanamke kabisa
🤓🤓🤓
Wanawake ni pasua kichwa aisee, Yan hata uwe na pesa haimfanyi kuwa mnyonge hata kidogo.....

Kuna jamaa yangu anapesa nzuri tu, kamnunulia na mke wake gari lakin, mke ndo haelewi wala hasikii, anaweza kununua wiki mbili ndani haongei kitu...😁😁😁

Inafikia hatua jamaa akija mkoani anatafuta kimchepuko anajituliza kidogo maana ndani hakukaliki..
 
Ukishakuwa na watoto inabidi ujitume tu watoto wasife njaa mkuu🤓🤓🤓

Hawa watu ni wakuishi nao kwa ajili hata biblia ilisema
sii na mnyima hela ya salon na mafuta ya gari, ila kula ata kula tuu. mwanamke kazi yake kuu ndani ya ndoa ni kutoa burudani kwa mume wake basi!! vingine ni bonus tuu ambavyo sio vya lazima sana
 
sii na mnyima hela ya salon na mafuta ya gari, ila kula ata kula tuu. mwanamke kazi yake kuu ndani ya ndoa ni kutoa burudani kwa mume wake basi!! vingine ni bonus tuu ambavyo sio vya lazima sana
🤓🤓🤓
Hapo akiona umekata hizo huduma lazima ajirudi tu aisee, pesa ya saloon ndo Kali yao
 
Back
Top Bottom