Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Mwanaume akishajiweza kifedha kiburi ni asili yetu ni vile tu hujakutana na anayejiweza. Yaani tuna kiburi cha asili labda mfukoni kuwe empty. Ila na mipesa asilimia 95% humwambii kitu we NENDA tu kaolewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kiburi hicho hicho wakiwa nacho wanawake mnawaona wabaya! Imagine wewe tu ambaye kutafuta hela ni jukumu lako ukizipata unakuwa na kiburi sasa iweje mwanamke ambaye hilo siyo jukumu lake akizipata asiwe na hicho kiburi!
 
Ndugu yangu, ni ngumu sanaaaa mwanaume aliyekamilika na mwenye uwezo kifedha akaendeshwa na mwanamke. Kaa na bibi zako watakuambia. Kama wapo ni less than 2%.

Ashinde bar sababu ya mke[emoji1787][emoji1787] kisha arudi nyumbani? Huyo ujue hana pa kulala, kwani Appartment mjini zimekwisha? Au tiketi za kusafiri za ndege hakuna?

Na wadada wanavyopenda wanaume wa watu wenye pesa sasa, hapo nyumbani utamuona mara moja kwa mwezi siku akikuletea risiti za watoto za ada anaowasomesha nje huko.

Hujatujua wanaume. Sikia, kuna jambo moja tu la kumnyong'onyesha mwanaume, FEDHA. Kinyume na hapo labda awe mvulana si mwanaume.

USHAURI: usiwe mkorofi kwa mume anayejiweza. Kuna wenzio watapangiwa appartment mjini na kupandishwa ndege sababu wanajua kumsahaulisha ukorofi wako.
Mkuu bongo hii hao wanaume wanaoweza kuwapangishia mahawara apartments na kuwapandisha ndege ni asilimia ngapi? Kuwa tu mkweli!
 
🤓🤓🤓
Wanawake ni pasua kichwa aisee, Yan hata uwe na pesa haimfanyi kuwa mnyonge hata kidogo.....

Kuna jamaa yangu anapesa nzuri tu, kamnunulia na mke wake gari lakin, mke ndo haelewi wala hasikii, anaweza kununua wiki mbili ndani haongei kitu...😁😁😁

Inafikia hatua jamaa akija mkoani anatafuta kimchepuko anajituliza kidogo maana ndani hakukaliki..
Wenzio hawajakutana na wanawake pasua kichwa,
 
Ila kiburi hicho hicho wakiwa nacho wanawake mnawaona wabaya! Imagine wewe tu ambaye kutafuta hela ni jukumu lako ukizipata unakuwa na kiburi sasa iweje mwanamke ambaye hilo siyo jukumu lake akizipata asiwe na hicho kiburi!
Mkuu Wanawake wengi hawana kiburi ila wanakuwa na roho mbaya wakiwa na pesa. Filisika ujue tabia ya mkeo.
 
Habari za muda huu wadau,

Nimekuja na kichwa hichi Cha habari, kutokana na juzi Kati tulikuwa na washkaji Kama wanne hivi wote tupo kwenye ndoa, kasoro mmoja wetu, single boi.

Tukajikuta katika mada ya kushare changamoto za ndoa zetu kila mtu kwa muda wake,

Katika kushare experience hizo nikagundua mambo yafuatayo;

Wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabadilika Sana hasa kitabia, mwanzo anaweza kuwa alikuwa mpole, mcheshi, utulivu wa kutosha, heshima debe. Akishaingia tu anataka akupande kichwa ukorofi unaanza, maneno yanaanza, kesi zisizo na msingi, madharau, kutokujishusha na kadhalika..[emoji855][emoji855]

Hii nimekuja kugundua inawagusa Sana wanaume wengi tuliooa kutoka na changamoto hizo, wengi wao wamefikia hatua ya kuwa na kamchepuko at least apunguze mawazo kidogo angalau, wengine kujikuta akitoka zake job anaingia bar kuzuga mpaka mida fulan akirudi akute wife ameshalala.

Wanawake wengi kwenye ndoa Wana tabia ya kutokujiamini, muda wote utakuta anakuhisi tu kwamba una mchepuko hata Kama huna, atang'ang'ana na simu yako ili kutafuta kisichopo ili mradi tu umnyime aongee au ampe akute hata salamu ya kike tu mparangane.

Mwanamke ndoani siku hizi kujishusha hakupo ukipanda naye anapanda, Tena zaidi anakwambia ukinigusa narudi kwetu na anaweza ondoka vile vile kwa jeuri na asirudi. (Hilo mshikaji wangu mmoja lilimkuta, Ila baadaye mwanamke akirudi mwenyewe)..

Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwasababu Kama hizi, mafahali wawili kuishia zizi moja haijawahi tokea,.

Mwanamke aliletwa duniani kuja kumsaidia mume wake majukumu, kumuheshimu, kumtii n.k (hata vitabu vya dini vinasisitiza hilo)

Hii jeuri wanawake majumbani wanaitoa wapi siku hizi, sometimes unakuta jamaa mpole kweli lakini bado atakukoroga kichwa akae hapo juu..

Wanaume tunaogopa kuwahi majumbani kupumzika inabidi kunazuga bar, kwa washkaji, vibanda umiza, pengine kuchepuka kabisa( maana hata ratiba ya tendo la ndoa unapangiwa) ili mradi muda uende ukifika tu kula kulala..

Njoo tushare experience hapa na kubadilisha mawazo [emoji41][emoji41]

No offence[emoji124][emoji124]
Mkuu kula maji baridi kubwa hapo kwa mangi nitalipia mimi wewe weka namba ya m-pesa hapa.nashukuru kwa uzi huu kwa maana changamoto za wife ni kelele mwanzo mwisho kiasi kwamba nimeshawaza kuita vijana tumfunge kamba kisha nimpeleke moja kwa moja kwenye ward ya vichaaa ili wamdunge zile sindano za machizi za kuvimbisha ulimi labda atajirekebisha au nikamtupe kwenye gari la taka
 
Oohh kwahiyo mkiwa nazo ninyi ni kiburi ila wakiwa nazo wao ni roho mbaya siyo? Kinachofanya kwenu iwe ni kiburi na kwao iwe ni roho mbaya ni kipi hasa yaani tofauti yake hapo iko wapi?

Wanaroho mbaya mkuu we chunguza, Ukioa wadada wajanja wajanja waliojaa mjini usipokuwa na pesa na yeye hana pesa anaachia na kutembea na wenye nazo kisingizio ww hutimizi majukumu.

Akiwa na pesa usipokuwa nazo atatembea na serengeti boy kisingizio we humpi penzi kama anavyotaka🤣🤣.

Ukiwa nazo yeye hana wewe ni baby ila tatizo kibamia. 🤣🤣🤣🤣

Ila wanaume akiwa na pesa na mkewe akiwa mstaarabu mara chache sana kuleta figisu. Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake.
 
Jamani jamani jamani mtusameheee jamani tusameheni na sisi ni binadamu..nyie mna madhaifu yenu nasi pia vivyo hivyo. Nadhani kuzaa kunyonyesha na majukumu ya familia na ulezi watt ni kitu kimoja kigumu sana. Nadhani kupitia hizi hatua kuna some hormones zinaisha au kuongezeka kupelekea tabia zetu zibadilike. Lakini wanawake wenzangu hakuna kitu kizuri kama kujishusha na kuomba msamaha mimi kuomba msamaha nipo vzr kwa sbb naweza kulipukaaa kama mtungi wa gas ila nikikaa na kutafakari naona kabisa namakosa nitaomba radhi aisee. Yani mm kugombana na Mr au kumletea kiburi na akakasirika huwa inanipa tabu sana yani nijiskia vibaya kama niko uchi so mara nyingi hukumbuka kuomba msamaha yaishe.
Ndoa..mmmh. tuache tu hii kitu. Malezi yanachangia sana... Ni swala la kutokujali na kuthaminiana.. siku hizi hakuna benefit of the doubt.. mnaingia kwenye ndoa kutafutiana makosa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wanaroho mbaya mkuu we chunguza, Ukioa wadada wajanja wajanja waliojaa mjini usipokuwa na pesa na yeye hana pesa anaachia na kutembea na wenye nazo kisingizio ww hutimizi majukumu.

Akiwa na pesa usipokuwa nazo atatembea na serengeti boy kisingizio we humpi penzi kama anavyotaka[emoji1787][emoji1787].

Ukiwa nazo yeye hana wewe ni baby ila tatizo kibamia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila wanaume akiwa na pesa na mkewe akiwa mstaarabu mara chache sana kuleta figisu. Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake.
"Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake"! Wow kwahiyo kwa mwanaume kuchepuka ni sahihi eh?
 
Mkuu bongo hii hao wanaume wanaoweza kuwapangishia mahawara apartments na kuwapandisha ndege ni asilimia ngapi? Kuwa tu mkweli!
Mkumbushe kwamba kwa maisha haya ya sasa wanaume wa hivyo wachache Sana, na je ni kila siku utapanda ndege kwenda na kurudi... 🤓🤓🤓
 
Wanaroho mbaya mkuu we chunguza, Ukioa wadada wajanja wajanja waliojaa mjini usipokuwa na pesa na yeye hana pesa anaachia na kutembea na wenye nazo kisingizio ww hutimizi majukumu.

Akiwa na pesa usipokuwa nazo atatembea na serengeti boy kisingizio we humpi penzi kama anavyotaka🤣🤣.

Ukiwa nazo yeye hana wewe ni baby ila tatizo kibamia. 🤣🤣🤣🤣

Ila wanaume akiwa na pesa na mkewe akiwa mstaarabu mara chache sana kuleta figisu. Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake.
Hawa ndugu hawajawahi kuridhika na haijawahi fahamika wanataka nini mpaka sasa🤔🤔

Jamaa mmoja anasemaga unaweza mpenda mwanamke ukamnunulia gari, kesho yake akatembea na mshkaji aliyemwekea mafuta ya elfu kumi..😇😇
 
"Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake"! Wow kwahiyo kwa mwanaume kuchepuka ni sahihi eh?
Kuna interview moja ya dokta mwaka aliwahi kuzungumzia swala hili ngoja niilete😎😎😎
 
"Anaweza chepuka ila mke wake ni kila kitu kwake"! Wow kwahiyo kwa mwanaume kuchepuka ni sahihi eh?
Si sahihi ila huwa inatokea. Ni kama kuoa wake wawili na kuolewa na wanaume wawili. Imekaaje hiyo?
 
Back
Top Bottom