Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Na mimi nilie si single hapa ngoja nipate kujua maswala fulani fulani kabla sijaingia kwenye hii taasisi...siti ya mbele kabisa nachukua notice.
Huwezi jua yote mkuu😅 kesi yako itakuja mpya kabisa, na utakuja kutuomba ushauri. Ila Kuna kitabu kinaitwa Pandora's Box. Nakushauri ukisome, 😅
 
Sasa inakuwaje tena mwanaume kuchepuka ionekane sawa? Na wengine wanakwendaga mbali zaidi na kutolea hadi mifano ya watu ambao ni binadamu kama sisi?
Hii ni sawa sawa na mwanamke mwenyewe kutembea na wanaume wengi kuitwa Malaya... Upande wa pili kwa mwanaume kuwa na wanawake wengi inakuwa ni sifa na wala kijamii haijawahi kuonekana ni tatizo... Siyo sawa kabisa
 
Wanaume wengi pia hatujui namna ya kuwa viongozi kwenye ndoa zao. Utii kutoka kwa mwanamke hauji tu ati kwa kuwa umemuoa.

Kuna namna unapaswa kuishi kama mwanaume unayejielewa, kiongozi, baba na mlinzi wa familia. Mkeo mwenyewe ana-salute kwako anajua kweli yuko na mme jembe lazima akuheshimu tu.

Lakini mwanamke akikubishia jambo dogo tu, tayari unaamua ukitoka kazini unapitia bar unarudi akishalala ati unaogopa kelele za mkeo.
Hapo mkeo lazima akushangae na akuone una mapungufu hasa ya kiuongozi.
Mwanamke anaweza kukuhoji kuhusu jambo lolote lile maana naye ni mwanadamu na ni partner wako kwenye maisha.
Sasa wewe badala ya kuonesha uanaume wako wa kutoa hoja zenye majibu na kuweka msimamo na uonvozi juu ya hoja hiyo unaishia kukimbilia bar.

Ni shida kubwa wanaume tunayo.
Hatujielewi haswa na tumekuwa waoga mno wa maisha na debate za kwenye ndoa. Mwanamke mpaka anashindwa kuelewa aishije na wewe maana huonekani kujua lolote na wala humuongozi kujua na kuufuata uelekeo wenu.

Sasa mwanaume anachelews kurudi nyumbani ati kisa hapendi mkewe anavyokagua simu yake[emoji3][emoji3][emoji3]. Wakati ukichukulia positively ni kwamba inawezekana anakupenda huyo na anaogopa kuibiwa baaaas.
Kwahiyo kama una mambo yako jua jinsi ya kuyaficha kwenye simu asiyaone au yafute. Akikagua anakukuta swafi baadae anazoea tu.

Tushaambiwa tuishi nao kwa akili. Akili asipoziona kwako anakudharau.
Angalau wenye akili bado mpo.
 
Mlishashauriwa msioe wanawake walioajiriwa, mkadai ooh kusaidiana pumbavu sana mkone mwanamke alieajiriwa atakupanda kichwani tu hawana adabu niwakorofi VIBURI NA JEURI wanajazana maujinga uko makazini usawa bla bla 50/50 anaweka kupanga ratiba ya kuosha vyombo leo yeye kesho wewe na ukigoma matusi kama yote ukimkaripia anakwambia kesho anakwenda dawati ya jinsia na kweli ataenda.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aisee
 
Kusema kweli kuhusu ndoa acha nikae kimya tu. Tena usiombe sasa uwe umeoa mtu mnalingana umri na wote mna ka bachelor degree au zaidi, na wote mna ka kazi au mwanamke ana ka kazi ka uhakika.. Kwa kweli acha ninyamaze tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] so unawaunga mkono wanaooa darasa la saba
 
Wanaume mnavyojikutaga malaika sasa, muwavurugeeee wake zenu then wakireact mnajikuta victims. Haya endeleeni kujazana ujinga.
Wake tunanawavuruga kivipi tena jamani
 
Wewe dada hujawai kukutana na watu wenye misimamo wewe!!, tupo na sitegemei kuja kusumbuliwa na mwanamke abadani...
Wala haina haja ya kunionyesha misimamo yako humu mtandaoni sababu Ni ngumu Sana kuweza kuprove misimamo yako, nadhani utakuwa umenielewa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekucheka kwa jinsi ulivyo jeuri, iliwahi kutokea hii jeuri and guess what hun, yule mwanamke aliolewa kwa heshima zote jamaa akabaki kuhaha na kuweweseka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kimoyo moyo
Huyo Mwanaume alikuwa hajielewi,ndio maana huyo Mwanamke/Mke wake alikuwa anamchezea. Mwanaume unatakiwa uwe kiongozi mwenye msimamo kwa mazuri mabaya. Yaani Mwanamke kazingua ukamwambia aende kwao huko akapata Mwanaume mwingine halafu uanze kuhangaika nae tena?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekucheka kwa jinsi ulivyo jeuri, iliwahi kutokea hii jeuri and guess what hun, yule mwanamke aliolewa kwa heshima zote jamaa akabaki kuhaha na kuweweseka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kimoyo moyo
Nahisi huyo Mwanamke utakuwa ni wewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii misimamo inapatikana nyuma ya keyboards tu in real life hamnaga jeuri hiyo
Apia kabisa!! Duh mnakutanaga na Wanaume suruali nyie ambao wanaongozwa kwa ujinga eti wa Moyo kupenda,ukikutana na Mwanaume anaejitambua then umletee mapichapicha mbona utakuwa hadithi kwenye ukoo wenu na mtaani.
 
Mwanaume akishajiweza kifedha kiburi ni asili yetu ni vile tu hujakutana na anayejiweza. Yaani tuna kiburi cha asili labda mfukoni kuwe empty. Ila na mipesa asilimia 95% humwambii kitu we NENDA tu kaolewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo ndio Vijana wa siku hizi mnafeli,Mwanaume hata ukiwa huna pesa ya kutosha heshima ya ndoa lazima itawale,ukizingua unafunga virago.
 
Kiburi cha kwenye keyboard unafikiri kinatutisha!!![emoji23] Huku kitaa mnaogopa hata nyumba mnashinda bar mpk usiku mnene ili ukute wife kalala, alfajiri umesepa,[emoji23] nicheke Tena!!!!

Muhimu Ni kuishi kwa kuheshimiana tu Kuna wenye hela na bado mapenzi yanawacharaza sawia, omba usipate mwanamke mbabe ama ubabe wako wa kiume uutumie kiakili kwa mkeo, ukipandisha mabega akikuamulia utayashusha tu, achana na mwanamke kabisa
Doh yaani unaishi na Mwanamke ndani kwa mashindano?aiseee mbona sipati hiyo chance jamani.
 
Ndugu yangu, ni ngumu sanaaaa mwanaume aliyekamilika na mwenye uwezo kifedha akaendeshwa na mwanamke. Kaa na bibi zako watakuambia. Kama wapo ni less than 2%.

Ashinde bar sababu ya mke[emoji1787][emoji1787] kisha arudi nyumbani? Huyo ujue hana pa kulala, kwani Appartment mjini zimekwisha? Au tiketi za kusafiri za ndege hakuna?

Na wadada wanavyopenda wanaume wa watu wenye pesa sasa, hapo nyumbani utamuona mara moja kwa mwezi siku akikuletea risiti za watoto za ada anaowasomesha nje huko.

Hujatujua wanaume. Sikia, kuna jambo moja tu la kumnyong'onyesha mwanaume, FEDHA. Kinyume na hapo labda awe mvulana si mwanaume.

USHAURI: usiwe mkorofi kwa mume anayejiweza. Kuna wenzio watapangiwa appartment mjini na kupandishwa ndege sababu wanajua kumsahaulisha ukorofi wako.
Vijana wa siku hizi ndio maana Wanawake wanawapanda kichwani,ukishaingia kwenye ndoa fedha haina nafasi ya kuamua hatima ya ustawi wa ndoa yenu bali ni upendo,nidhamu,kuheshimiana,utii na Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume kimamlaka na maamuzi.
 
Baeleze...mwanaume na hela zake na anajitambua kamwe hawezi sumbuliwa na mbususu. Kikubwa kuwa nanhela tuu.
Hizo hela labda kama hujaoa ndio utatumia kuwagonga but ukishakuwa ndani ya ndoa fedha haina nafasi eti ya kuleta heshima,upendo na nidhamu bali ni akili na msimamo wa Mwanaume.
 
Back
Top Bottom