Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Tunawaona wengi tu wanaume wanapelekeshwa vibaya mno, Hadi huruma YaniDoh yaani unaishi na Mwanamke ndani kwa mashindano?aiseee mbona sipati hiyo chance jamani.
Sasa humu mtu akishupaza shingo kubisha eti haiwezekani unamsoma unasema ihiiiiiiiiiiii