Tunawaona wengi tu wanaume wanapelekeshwa vibaya mno, Hadi huruma YaniDoh yaani unaishi na Mwanamke ndani kwa mashindano?aiseee mbona sipati hiyo chance jamani.
👏👏👏Vijana wa siku hizi ndio maana Wanawake wanawapanda kichwani,ukishaingia kwenye ndoa fedha haina nafasi ya kuamua hatima ya ustawi wa ndoa yenu bali ni upendo,nidhamu,kuheshimiana,utii na Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume kimamlaka na maamuzi.
Umeanza kujipa kazi ya utabiri naona, Nimezungukwa na ndugu jamaa na marafiki,Nahisi huyo Mwanamke utakuwa ni wewe
Vipi hali NoeliaUmeanza kujipa kazi ya utabiri naona, Nimezungukwa na ndugu jamaa na marafiki,
😂😂😂Uzuri wenu siku hizi ni waoga mnaogopa kuusimamia uanaume wenu 😂😂😂 mnakimbia wanawake!!!!! Mmekuwa wepesi mno, hebu msomeni Frank, anajibu hoja kwa kuelezea misimamo yake haleti shutuma kwangu na hivyo ndivyo mnatakiwa kuwaWe are so smart enough hatuez kaa na lisumbufu ndani.... jitu kila siku ugomvi .. aisee utasikiamsafari kila aiku ubishane na watoto.. no time for stupid arguments kwanza kubishana na nyie ni kutokujiheshimu.. wenye akili ya ugomvi kila siku hiwaga wajinga hata kama lizuri
Bibilia imesema mwanamke mpumbavu.......malizia basiKubadilika tabia baada ya ndoa ni kwa pande zote mbili mume na mke na siyo wanawake peke yao.
Huyo hakua mwanamke wa maana na Bora aliondoka huyo jamaa kaepushwa kikombe kibaya Sana bila kujua..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekucheka kwa jinsi ulivyo jeuri, iliwahi kutokea hii jeuri and guess what hun, yule mwanamke aliolewa kwa heshima zote jamaa akabaki kuhaha na kuweweseka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kimoyo moyo
😂😂😂😂😂 KwakweliHuyo hakua mwanamke wa maana na Bora aliondoka huyo jamaa kaepushwa kikombe kibaya Sana bila kujua..
Wewe hujakutana na wanaume au labda hao unaowaongelea ni wavulana ila si wanaume.....mwanaume aliejikamilisha hata siku kiumbe anaekojoa mpaka achuchumae kamwe hawezi mtetelesha...Kiburi cha kwenye keyboard unafikiri kinatutisha!!![emoji23] Huku kitaa mnaogopa hata nyumba mnashinda bar mpk usiku mnene ili ukute wife kalala, alfajiri umesepa,[emoji23] nicheke Tena!!!!
Muhimu Ni kuishi kwa kuheshimiana tu Kuna wenye hela na bado mapenzi yanawacharaza sawia, omba usipate mwanamke mbabe ama ubabe wako wa kiume uutumie kiakili kwa mkeo, ukipandisha mabega akikuamulia utayashusha tu, achana na mwanamke kabisa
Sahihi mkuuVijana wa siku hizi ndio maana Wanawake wanawapanda kichwani,ukishaingia kwenye ndoa fedha haina nafasi ya kuamua hatima ya ustawi wa ndoa yenu bali ni upendo,nidhamu,kuheshimiana,utii na Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume kimamlaka na maamuzi.
Hapa ndo huwa nawadharau Yani hamuwezi kutetea uanaume wenu pasipo kutukana wanawake😂😂😂 na ukiona mwanaume unatumia nguvu nyingi kuonyesha uanaume wako Basi hapo ushafeli na utaendeshwa tuWewe hujakutana na wanaume au labda hao unaowaongelea ni wavulana ila si wanaume.....mwanaume aliejikamilisha hata siku kiumbe anaekojoa mpaka achuchumae kamwe hawezi mtetelesha...
Asante [emoji4][emoji4]Hapa ndo huwa nawadharau Yani hamuwezi kutetea uanaume wenu pasipo kutukana wanawake[emoji23][emoji23][emoji23] na ukiona mwanaume unatumia nguvu nyingi kuonyesha uanaume wako Basi hapo ushafeli na utaendeshwa tu
Pole Sana mkuu,Mm natamani kusilimu nioe mke wa pili maana duh. Siku hizi naenda kazini siku 7 za wiki na wala sina kazi kule naenda kukaa tu ofisini. Sinywi pombe sivuti sigara sishabikii mpira na wala huwa sikai kwenye makundi mm huwa ni job nyumbani ndo sehem za ratiba yangu kwa siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Home sweet homeView attachment 1752771
Picha imeeleza zaidi ya maneno ya mfungua uzi.Home sweet homeView attachment 1752771
Ndio hivyo Mwanaume unatakiwa uwe flexibly,penye uzuri unauendeleza na kwenye ubaya unauondoa.Ooh Frank umeniquote sehemu nyingi, ila wewe ndio mwenye msimamo wa kiume Sasa, kwa comment yako ya Kwanza kabisa sikuelewa akili yako ila kwa hizi comments nyingine Basi nimekupata vyema,
Ukishindwana na mke unaacha na haurudi nyuma mpo wachache wenye hii misimamo,