Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Leo umemwaga SUMU sana lkn poa tu😂😂Sawa😅🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo umemwaga SUMU sana lkn poa tu😂😂Sawa😅🙌
OiiWe acha tu yani😃😂😂😂🙌
Una uhakika na kwamba mtoa mada alipigwa chini na mwajuma ndala ndefu au wewe ndio mwajuma mwenyeweTunasema ukweli
Mimi najua Leejay ni wa Mad Max tu🌚😂Acha kutuharibia please tusizibiane risk
Nambie my friend unaendeleaje
Leejay achana na dannion njoo kwanguNambie my friend unaendeleaje
Nawaleteaga pigo za dharau kaka na mimi show showKwa tabia hii itakuwa wamekukataa dogo au utakuwa wamekusuta
Chukua soda nitalipaKwani hutambui kwamba watu hutofautina kwa kila kitu kuanzia jina rangi tabia urefu, na mengineyo, hamna cha kushangaza hapo.
Akili ndogo haipimwi kwa salam.
Kuna watu wana akili mingi ila wana dharau vilevile.
Labda kwa tafsiri yako ulimwona wa hadhi ya chini ukategemea atakushobokea.
Mwenye shida niwewe kuweka expectation nyingi kwa watu usio wajua.
Sawa, tangulia nakujaLeejay achana na dannion njoo kwangu
Wachumba wenyewe hao wa uswahilini?we wajaze upepo hawa watoto wakose wachumba
Mad Max naemjua ni mlamba lips tu kama wengineMimi najua Leejay ni wa Mad Max tu🌚😂
😂😂Naona anataka aje alete uzi kuprove wrong tuliyoyasema hapa... namwelewa vizuri sana😅😅
Kwahiyo anataka wa ushuani😂?Wachumba wenyewe hao wa uswahilini?
Aah wacha tu wawapitie mbali
🤣🤣🤣😂😂
Huyo usipojibu pm yake hashindwi kuja kukuanzishia uzi akasema una miguu imechongoka kama chelewa
Ukiona mwanaume yeyote anamwelewa mwanamke kupitiliza jua anakaribia kufa.Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo
Na atakavyoikandia sasa kama sio yeye aliyesema amefall nayo in love 😂😂🤣🤣😂😂
Huyo usipojibu pm yake hashindwi kuja kukuanzishia uzi akasema una miguu imechongoka kama chelewa
Atleast yule hata ukimkataa anaelewa.Kwahiyo anataka wa ushuani😂?