Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kusoma stori ndefu kumbe kuna sehemu mwamba aliomba apikiwe uji 😅Hapana nakataa, watz wengi tunapenda mtelemko. Mtu hata hamjakaa jirani miezi miwili unataka mzoeane mpaka mpikiane uji?
🤣🤣🤣Nikafungua mlango, Akaniambia " nimedomdosha ufunguo, naomba niwekee hivi vitu kwako nikatafute ufunguo, nikavipokea alivyotoka ni nikafungua hayo mabahasha na magazeti nikakuta juice kubwa ya maembe na nyama choma nusu nikala na kunywa nikalala.
😁😁😁Mida ya saa mbili usiku nasikia mlio wa screwdriver fundi akibadilisha kitasa, manake alipokosa ufunguo akaenda kununua kitasa Cha zaidi ya elfu 65 pamoja na gharama ya fundi Ni approximately 80 elfu au zaidi plus juice na nyama choma niliyokula inaweza fika laki.
Asubuhi yake tulikuwa na seminar ya wiki nzima kwenye taasisi yetu nikawa nalala hotelini na kwa kuwa Hana number yangu tulikuja kuonana weekend, akauliza "ulikuwa wapi?" Nikamjibu " wewe ni ku** nini? Unaniuliza nilikuwa wapi kwani Mimi mume wako?" Kwa majibu hayo akajua tu amepigwa.
Dawa yao ni kuwatafuna, siyo kuwafanyia visa!Sasa kwa kuwa main switch ya umeme ipo room kwake, akaanza vituko vya kuzima umeme muda ambao hayupo nyumbani au usiku baada ya kumaliza Mambo yake. Nikavizia muda anaingia ndani nikamuonya akirudia kunizimia umeme atanitambua. Kisha nikampigia Mwenye nyumba naye akamkanya, akaacha huo Ujinga.
Hivi ndivyo ninavyodili na wadada wenye nyodo kisa makalio makubwa, hips na ajira ya kijungujiko.
Utamu wake kwenye kumgegedaYana msaada gani mkuu hayo makalio?
Ningependa nipate elimu hiyo ya umuhimu ili niondoke kwenye ujinga.
Na aliflash funguo wa jiran chooni, alikula chips nyama ya jirani. Yaani kwa kifupi jamaa ana shida. Kibaya zaidi hajijui🤣Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kusoma stori ndefu kumbe kuna sehemu mwamba aliomba apikiwe uji 😅
Sure,inawezekana kabisa yeye alitafsiri kua ulikua unamshobokea.Sijawahi kujipendekeza kwake tangu day one. Labda yeye alitafdiri hivyo
🤣🤣🤣 Restless Hustler unazingua mkuuNa aliflash funguo wa jiran chooni, alikula chips nyama ya jirani. Yaani kwa kifupi jamaa ana shida. Kibaya zaidi hajijui🤣
Dawa ya nyodo ni jeuri🤣🤣🤣 Restless Hustler unazingua mkuu
Dawa ya nyodo ni jeuriWe jamaa una vituko Sana pole
Na aliona mdada anaibiwa iphone akakaa kimya, huku yeye anataka ushirikiano🤣🤣🤣 Restless Hustler unazingua mkuu
Wewe tatizo unachagua cha kuelewa. Nilitoa sababu ya Kufanya hivyo lakini umechagua kutokuelewaNa aliona mdada anaibiwa iphone akakaa kimya, huku yeye anataka ushirikiano
Kuwa na makalio makubwa kunakupa fursa ya kutamba? [emoji28]Yaani wadada wawili ulikutana nao ndo kujumuidha wadada wote
Hebu waache watu na makalio yao watambe [emoji28][emoji28]
Kwa kifupi hutakiwi kulipa baya kwa ubaya. Lipa kwa wema ili wabaya wajifunze toka kwakoWewe tatizo unachagua cha kuelewa. Nilitoa sababu ya Kufanya hivyo lakini umechagua kutokuelewa
Huyu jamaa anawachukia bure hawa wenye mizigo na hipsNa aliona mdada anaibiwa iphone akakaa kimya, huku yeye anataka ushirikiano
😂😂😂kumbeHuyu jamaa anawachukia bure hawa wenye mizigo na hips
Lakini wewe unaonaje utamu wa hawa wenye mizigo ukiwa unampiga doggy style ile mitetemo yakeWewe tatizo unachagua cha kuelewa. Nilitoa sababu ya Kufanya hivyo lakini umechagua kutokuelewa
Anawachukia huku anawataka, sasa asichokijua ni kuwa hawa wanatakwa na wengi kwa hiyo anapaswa kuwa mvumilivuHuyu jamaa anawachukia bure hawa wenye mizigo na hips