Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
MJINGA baba yako,mama yako na wewe mwenyewe...FURAHI BASI?!Alafu ukiwa unatoa disvalues kuhusu discussion za hapa usipende kuwataja wamama,
Huoni kwamba unajidhalilisha nakudhalilisha jinsia ya kike kwa ujumla.wataje wanaume sawa mpendwa.
Mfano ungenambia mimi ''MJINGA BABA ANGU''ingependeza sana.
Rare casesWe jamaa bhana
Kwamba unaamini kila aliyeko kwenye 20s ni mzuri na kila aliyeko kwenye 30s ni mbaya
Wakati kuna wengine tuna 20s ila tuna sura ngumu na wengine wana 30s ila wana sura nzuri tena kutuzidi
Umejibu vizuri sana, most of the ladies wanakuaga na stupid mind hasa kwenye ages ya 21-30yrs yaniSizan Kama Kuna mwanamke mzma kiafya na kiakili akawa hataki kuolewa!!! Ila sema weng wao wanataftaga mwanaume mweny class furan na wa daraja la chini hataki.
Wanakuja na vihoja vya kuchomelea hapa vya kizungu upuuzi mtupu.Wewe ni asexual? Hao Ace ni wangapi in a million katika jamii? Halafu kuna comment moja ya Samcezar ameelezea kuhusu lesbos Kwamba hamna jambo la hivyo bali ni ugonjwa wa akili tu! Akija mwenyewe atakutag!! Ukipigwa pu*mbu vizuri hakuna cha ulesbo wala nini!! Oleweni acheni vizisingizio!! Itasaidia katika ujenzi wa taifa!! Maendeleo ya taifa lolote basic yake ni kuanzia kwenye family level!! Ebo
Huoni tunazidi kukufahamu, asante kikongwe a.k.a SURIA MZEE.MJINGA baba yako,mama yako na wewe mwenyewe...FURAHI BASI?!
Utopolo per se,hafu hachokiii.....atakuja na liparagraph hilooooooooooooooo halina substance! 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁 😁We babu usiniquote tena, na maessay yako yaliyojaa utopolo
Kwani mkizidi kunifahamu nakonda???ulisema mimi ni mjinga ila sijakuzidi aisee...Huoni tunazidi kukufahamu, asante kikongwe a.k.a SURIA MZEE.
Sasa mwenyewe si ndo umetuambia una miaka 39 lakini Shangazi Anita mbona unakuwa mbogo kwa wapwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kuzunguka mbuyu mpuuzi wewe, posts zako zote umeziframe kuni attack, ziangalie tena mpuuzi tu wewe sijui huoni tangia uanze kuniattack kuwa anita ni 39 years of age na good thing about this is age to her has come with maturity, she knows kuna wajinga wajinga mnaochukia wanawake na wenye mawazo ya Kijima, hivyo ku attack ni kawaida yenu….humbabaishi!
Nimeongea vitu vitatu, moja Anita being a woman and being kundi lililotajwa ,nimetoa my own perspective as the topic is relevant to me,sasa wewe unayekuja na msimamo tofauti wangu unanipinga kwa basis zipi, na wakati hujawahi kuwa mwanamke wala kuwa above 35?
Mbili ku measure attitudes za watu huwezi kuja na jibu moja, sababu tuko tofauti, tuna upbringing tofauti, exposure tofauti n.k sasa topic imelenga kujua attitudes zetu sisi wanawake kuhusu ndoa,tumekuja tofauti kuna wanawake wanaona si sahihi na wengine sahihi, kama ilivyo ngumu kuja na jibu moja kuna pia wanaume wanaona tunaoona ni sawa tu tuachwe, sasa kama unashindwa ku observe kuwa jibu haliwezi kuwa moja,sijui tukusaidiaje…
Mwisho nimesema sio lazima watu waone things in the same lens as you are it is what it is, dunia yako ambayo ni ideal sio lazima iwe ideal kwa wote, kulazimisha dunia yako ambayo unaiona ni ideal ndio iwe dunia yetu wote,…ni ujinga…na hautakubalika….!
Wewe umedhihirisha ujinga wako ila mimi unajitahidi kuutafuta ukisubiri sana upate japo tusi ila umenoa.Kwani mkizidi kunifahamu nakonda???ulisema mimi ni mjinga ila sijakuzidi aisee...
Hebu acha hasira bwana seriously hili ni swala mtambuka. No body is attacking you. Tunaongea na wewe kwa lugha elekezi. Fanyia utekelezaji. UOLEWE.Acha kuzunguka mbuyu mpuuzi wewe, posts zako zote umeziframe kuni attack, ziangalie tena mpuuzi tu wewe sijui huoni tangia uanze kuniattack kuwa anita ni 39 years of age na good thing about this is age to her has come with maturity, she knows kuna wajinga wajinga mnaochukia wanawake na wenye mawazo ya Kijima, hivyo ku attack ni kawaida yenu….humbabaishi!
Nimeongea vitu vitatu, moja Anita being a woman and being kundi lililotajwa ,nimetoa my own perspective as the topic is relevant to me,sasa wewe unayekuja na msimamo tofauti wangu unanipinga kwa basis zipi, na wakati hujawahi kuwa mwanamke wala kuwa above 35?
Mbili ku measure attitudes za watu huwezi kuja na jibu moja, sababu tuko tofauti, tuna upbringing tofauti, exposure tofauti n.k sasa topic imelenga kujua attitudes zetu sisi wanawake kuhusu ndoa,tumekuja tofauti kuna wanawake wanaona si sahihi na wengine sahihi, kama ilivyo ngumu kuja na jibu moja kuna pia wanaume wanaona tunaoona ni sawa tu tuachwe, sasa kama unashindwa ku observe kuwa jibu haliwezi kuwa moja,sijui tukusaidiaje…
Mwisho nimesema sio lazima watu waone things in the same lens as you are it is what it is, dunia yako ambayo ni ideal sio lazima iwe ideal kwa wote, kulazimisha dunia yako ambayo unaiona ni ideal ndio iwe dunia yetu wote,…ni ujinga…na hautakubalika….!
Wewe umedhihirisha ujinga wako ila mimi unajitahidi kuutafuta ukisubiri sana upate japo tusi ila umenoa.
Hebu acha hasira bwana seriously hili ni swala mtambuka. No body is attacking you. Tunaongea na wewe kwa lugha elekezi. Fanyia utekelezaji. UOLEWE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mwenyewe si ndo umetuambia una miaka 39 lakini Shangazi Anita mbona unakuwa mbogo kwa wapwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi sana kuficha real ID yako(inner emotions)kuhusu mada yoyote ikiwa ipo hapa jamvin, kinyume na hapo utajiweka uchi mwenyewe kama ambavyo umefanya hapa.Proof tosha huwezi ku argue.
Pole we, usinipangie cha kuposti hapa JF, kutokuolewa mbona ni mimi mwenyewe nilisema pamoja na umri wangu kwenye posti yangu ya kwanza kwenye topic hii....unajichosha bure kutaka kuniattack ,nitadeal na wewe vilivyo....kama wewe una muda wa kuandika use.nge...so do i!Jitahidi sana kuficha real ID yako(inner emotions)kuhusu mada yoyote ikiwa ipo hapa jamvin, kinyume na hapo utajiweka uchi mwenyewe kama ambavyo umefanya hapa.
Tayari hapa wengi wameshafahamu wewe ni mhanga wa tatizo la kutokuolewa au umeolewa ukaachika, pole sana jifanyie tathimin unakosea wapi then ukishajirekebisha chapisha bango tutakuja.
Wee jiheshimu, aliyesema kunakauka nani labda mama yako ndo kakauka , kitoto kichanga weweHivi kufikia muda umri huo kinakuwa kimekauka eti?
Honestly ni mawazo yngu piaAisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
Misogynists work overtime to put women under controlExactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!