Ingekuwa hiyari 90 ya wanawake wangekuwa single bila watoto wala majukumu ya familia hawajui.Kuolewa si lazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanabisha ila ukweli unawasugua ....[emoji124][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah umeninyooshea kauli nzuri. Kweli kabisa sio lazima kama umeolewa ila kama bado kwann isiwe lazima.Si lazima kama ushaolewa na uko kwenye ndoatayari
Si umesema maisha ya kwenye movie ni uhalisia wa maisha yetu ya kila siku?!Mnh wewe una ujinga mwingi kumbe....
Kwahiyo wewe umeolewa ila unataka wenzako wasiolewe.....?Never count me in. Acha kuweka wanawake wote kwenye kapu moja. We differ. By the way nimeolewa ndoa tena kanisani na sherehe kama yote .Na watoto ninao wengi tu na bado nazaa. Ila siwezi kuwaona wanawake ambao hawajaolewa at their 30's eti wanakosa kitu. No. Kuolewa ni choice. Na wanawake wengi tu single wana furaha kuliko hata walio kwenye ndoa.
Sawa tumeelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanabisha ila ukweli unawasugua ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini unaweza kuvumilika sababu ukitoboa hata umri umeenda still maisha utayafurahia. Ila ndoa umri wake ni wakati wa ujana tena ukiwa kinda.Hebu achaneni na dada zetu.Huu ni upumbufu, utajiskiaje mtu akikuuliza unajiskiaje kuwa maskini? Halafu maswali yanaulizwa na watu wasiopata mademu wa maana.
Hakuna cha kufix hapa swala ni kwann haujalowa ndio tupo hapa kusikitika na wewe.Sasa kumbe soko halipo, wewe nini kujichosha at all ku fix????
Imagine kulala kama panga stoo.Kabisa Yani kugeuka geuka pekeyako kama kambale [emoji23]hainogi sana ila nafikiri ni makosa tu ya ujana ila muda ukishapita na ukikubalibiyo hali unaweza ona kawaida kama hapo juu wanavoeleza lkn kunastage lazima ulipitiwa kipindi Cha akili kuwaza sana kuwa na ndoa maana ndoa ndo familia yenyew Sasa
Unajua kuwa hii sio nonsense ni ukweli wa wazi.Karibuni siku nyingine kwa mjadala kama mnataka otherwise ndeleeni kuandika nonsense...mabando ni yenu...
Hakuna cha kufix hapa swala ni kwann haujalowa ndio tupo hapa kusikitika na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usikasirike sasa.Mnhhh kubwa zima unaandika nonsense kwenye forum,lol
Ni stage tu. Tukiipita tutakuwa tukiangalia nyuma na kushangaa jinsi tulivyokuw tunaona kuolewa ni mafanikioHakuna kitu kama hicho. Hili kundi litakuwa shamba darasa kwa wadogo zao na mabinti zao ambao wataona madhara ya kuleta ushubwada na udangaji kwenye maisha na mambo serious.
Vibinti vya kuzaliwa kati ya mwaka 1999 na 2000 kuja uku juu ndivyo vinakimbiza soko kwa sasa na vinaolewa mapema sana katika umri wa kati ya 20 hadi 25. Fuatilia.
Wameona dada zao wanavyozalishwa na kutupwa sababu ya kuendekeza udangaji na tamaa za mali.
Pia wameona hasara ya kuruka na wanaume tofauti kila mwaka.
So trust me it won't be accepted. Ila hawa sasa shamba darasa sasa hivi baada ya kuwa "Age go" wanaanza kuleta kauli za kishujaa ndio tunapita nao kinoko hivi kwa kuwapa makavu live.
Wanataka tusympathize nao kwani sisi ndio ambao tuliwaambia wawe micharuko kipindi wakiwa mabinti?
Hapa tunasukuma ndani wadangaji.... Sukuma ndani vicheche wastaafu ..... Sukuma ndani wale waliosema umepata wapi namba yangu..... Sukuma ndani wale wa koma kunifuatilia maisha yangu mimi sio type yako..... Sukuma ndani wale wa sihitaji ndoa mimi..... Sukuma ndani wale wa nitaolewa nikitaka kwasasa naishi nitakavyo..... Lazima watoke jasho.
Sukuma ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂
Huku hakuna wote tumeoza wana miji yao. Wewe umeshajielezea kuwa upo kwenye hiyo hali ndio tunaomboleza hapa kwapamoja tafadhali pokea salamu zangu za rambirambi.Unisikitikie wakati sijisikitii.....umekosa wa kuwasikitikia huko kwenu?
Unataka tena nirudie na jambo umeshalisoma?Ukweli upi??....embu utaje tuuone?
Huku hakuna wote tumeoza wana miji yao. Wewe umeshajielezea kuwa upo kwenye hiyo hali ndio tunaomboleza hapa kwapamoja tafadhali pokea salamu zangu za rambirambi.
Sent using Jamii Forums mobile app