Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

usione watu wana tumbo ukaanza ku-comment tu bila kufanya research.. hii ni poor thinking! mwanaume gani wewe una erupt namna hii mkuu? kuna driving factors nyingi sana zinazofanya wanawake na wanaume wawe na vitambi (shangaa wewe umerukia upande mmoja tu.. walikunyima nini hao lakini?) yawezekana kuwa ni vyakula kwa kiasi kikubwa sana vinachangia hili tatizo, kutofanya mazoezi ili kupunguza mafuta na mambo mengineyo, actually, ulitakiwa kutoa alternatives which could solve this problem... what kind of dr are you? wagonjwa wako wanarudigi nyumbani salama kweli? si wanafia mapokezi kabla hawajakuona?
may his soul rest in peace!
 
hii ni a.k.a tu J.lee,

if he were a real doctor, vifo vingeongezeka kila siku, kesi za mikasi matumboni zisingeisha, operesheni za magoti badala ya tumbo zingekuwa gumzo tu duniani zikitokea TZ!

huyu sijui awe doctor wa nini ndio afit.. he dont deserve the profession..

kumbe we hunijui vema.

Name: Holygrail
o level: songea boys
div.olev: div 1 ptns 10
a level: kibaha sec
comb: pcb
div.alv: div 1 pnts 4
college: muhimbili
faculty: medicine
experience: 12 yrs

haya semeni sasa na mavitambi yenyu!!
 
Last edited by a moderator:
Kitambi kwa mwanamke ni noma asee...then kama umenotice.Vitambi vyao vinakuwa irregular...kitambi cha mwanaume kikivalishwa shati lililochomekewa vizuri kinaongeza mvuto...hawa wenzetu sasa tena usiombe wavae yale magauni yao yanayoitwa dera ai sijui dira....
 
Hasira zimenipanda hadi nachemkaa mkuu,

Huwa sipendi wanawake tukisemwa vibaya aisee

tena wewe nahish una tambi kama wasira!!..sifa kuu ya matambi girls ni kutokwa mapovu wanapoambiwa ukweli!!..piga zoezi then punguza kunywa kibuku na hiyo mishikaki ya 100!..free advice from dr.holygrail
 
kumbe we hunijui vema.

Name: Holygrail
o level: songea boys
div.olev: div 1 ptns 10
a level: kibaha sec
comb: pcb
div.alv: div 1 pnts 4
college: muhimbili
faculty: medicine
experience: 12 yrs

haya semeni sasa na mavitambi yenyu!!

--pu.mba.vu.----- mkubwa wewe!!

lini necta ikaapruvu matumizi ya A.K.A kwenye mitihani na official documents?

you must be sick?

are you out of charge? go and recharge little brat.. go and lie those who share common ideas with you!

not here..
 
kumbe we hunijui vema.

Name: Holygrail
o level: songea boys
div.olev: div 1 ptns 10
a level: kibaha sec
comb: pcb
div.alv: div 1 pnts 4
college: muhimbili
faculty: medicine
experience: 12 yrs

haya semeni sasa na mavitambi yenyu!!

kwenda zako weka mavyeti hapa tuthibitishe!!
 
Hasira zimenipanda hadi nachemkaa mkuu,

Huwa sipendi wanawake tukisemwa vibaya aisee

unajua mkuu, tatizo si kuwasema vibaya, tatizo ni pale mtu anapoona tatizo halafu anakuwa empty head and pumpkin oriented, anashindwa kulifikisha kwa muhusika kwa njia ambayo haiamshi hisia za ugomvi..!

mleta mada yuko off charge..
 
Desktop1-6.jpg

kama huyu ndo lara 1 basi mi natoa talaka leo
 
Last edited by a moderator:
------- mkubwa wewe!!

lini necta ikaapruvu matumizi ya A.K.A kwenye mitihani na official documents?

you must be sick?

are you out of charge? go and recharge little brat.. go and lie those who share common ideas with you!

not here..

wow!!...very interesting!!..so u want me to expose my actual id eeh!!...based on my experience as a doctor the probability of you being mentally unfit is 1!!...teh!teh!..but i doubt if understands math's lingua!!
 
Hili lisifumbiwe macho waziri wa Afya na Ustwi wa Jamii linamuhusu wa tz mnapoteza shape zunu bwanaaa!
 

Attachments

  • 1392573963380.jpg
    1392573963380.jpg
    6 KB · Views: 306
mh!...ama kweli nimegundue kumbe vitambi ni disasater ya nchi maana watu walivyo react!...sina hamu!
 
kumbe we hunijui vema.

Name: Holygrail
o level: songea boys
div.olev: div 1 ptns 10
a level: kibaha sec
comb: pcb
div.alv: div 1 pnts 4
college: muhimbili
faculty: medicine
experience: 12 yrs

haya semeni sasa na mavitambi yenyu!!


Nasikitika kuwa elimu yako haijakukomboa,

Matabibu ndo mnafundishwa kuwashauri wagonjwa kama ulivyo bwabwaja kama juha kwenye huo uzi wako?

Poor you!!

What I feel for you is pity!!
MORON!!
 
--pu.mba.vu.----- mkubwa wewe!!

lini necta ikaapruvu matumizi ya A.K.A kwenye mitihani na official documents?

you must be sick?

are you out of charge? go and recharge little brat.. go and lie those who share common ideas with you!

not here..

mhh mkuu vipi kuna nini?
 
Nina rafiki yangu toka Thailand mume wake mzungu...mwanaume ana kitambi kikuuubwa...mkewe ni flat si unajua wa Thai wanavyojipenda....

Sasa dada ana ugonjwa na 6 pack na mumewe analijua hilo...basi anasema wakiwa wanaangalia mpira ni ugomvi...maana mume anajua mkewe hapendi football ila anapenda wachezaji (6 pack)
Afu mdada anapenda wachezaji wa kiafrika lol....najiulizaga aliolewa na huyu jamaa kwa nini kama anamuona hana mvuto

Acha ubinafsi
Mbona nyie mna matumbo makubwa kama matenki lakini tunavumilia? Unadhani hatupendi 6 packs???
 
Back
Top Bottom