Hapa ndio mwisho uzi ufungweKwa ulipofikia utampa tu hakuna namna ....
I'm sorry kusema hivyo!
Ww unataka akae?Ok, naamini anataka kupita tuu
😂😁😆😅😄Ww unataka akae?
Ungamwimaga unnino mpe ubhunyafu mweeUkoo tofauti kabisa hata majina ya mwisho dear. Yeye wa Kyera mimi wa tukuyu.
Watoto wangu hawamjui .
Ila yeye anawaona tuu.
Unasengenya marehemu wewe😂Umri ni namba Tu, umri sio busara...ndo hivo marehemu hasemwi vibaya Ila ningekusimulia mtu flani aliyekuwa na umri mkubwa lakini matendo ya hovyo🤣🤣
Wewe ndo unamjua huyo jamaa, wanawake tumejaaliwa jicho la kuona mbali, mpime, muangalie Kwa Hilo jicho....Kama anafaa nenda kampe yote🤸🏿♀️🤣
Alijua ni ndg yake😂😂Sasa pamoja na kukufanyia yote hayo ulidhani anakusaidia Bure tu? Ina maana hukufikiri ataomba umpe penzi?