Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

Basi me nyoka itabidi abaki hukohuko tu asitoke 😁😁
Asipotoka utaanza kulaumu tena, ooh huyu nyoka nimemfata hadi huku lakini kasinzia, kumbe shida ni sauti yako.
 
Sasa mijanajike unayokutana nayo ya bar tu, makoo yao yameshaunguzwa na pombe, hiyo sauti nzuri utaitolea wapi?

Unanshangaza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…