Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

usijaribu na mshukuru Mungu kwa kusaaidia mipango igonge mwamba

Mlee mwanao huko huko akiwa kwa mama ake.
Ni Vizuri kuwa na Mifano hai wanaume tuliozaa kabla ya ndoa mkuje mm nina mtoto mkubwa amelelewa kabla wengine hawajazaliwa mambo mengine ni nadharia zaidi na kukuzwa
 
Binti yangu mkubwa nimempata kwingine nimeishi nae toka akiwa na miaka 4 yuko kidato cha 3 zipi changamoto ila ni ndogo sana kama ulivyosema mara nyingi watoto ndo wana tatizo la Kujimwambafy ila tumekuza ......likizo anaenda kwa mama yake na sis tuna wasiliana openly kuhusu makuzi ya mtoto
 
Uko sawa Mkuu.....Haswaaaa
 
Mkuu Umemaliza kabisa
 
Unamwogopa mwanamke unayeishi naye ndani, unamwamini mwanamme mwingine aliyemuoa huyo ex akulelee mwanao nawe unakenua kwa amani kabisa.... huwezi kuwa sawa kichwani kuna namna dishi limecheza tu.
Yani wanaume sisi ni watu wa ajabu sana, mkeo au demu wako unaweza usimwachie simu, Mwanao au ATM card yako, ila UNAMPA DUSHE ANYONYE, bila kuhofia analing'ata abaki na kipande mdomoni.
 
Miss you na nakuunga mguu. Kuna ile hali kama ya kuviziana/kutokuchukuliana mapungufu maybe kwa sababu ya kutokuwa na Ile "natural bond" kati yenu. Mama anaweza akamkosea mtoto ile kikawaida tu, lakini mtoto akachukulia kuwa kanifanyia hivi kwa kuwa sio mama yangu. Na kuna wakati mtoto anakosea tu, ila mama anaona huyu mtoto ananifanyia makusudi kwa sababu mimi sio mama yake. Au mtoto akidevelop tabia mbaya fulani, mama anahisi ooh anataka kunikomesha au atakuwa alifundishwa vibaya kwa mama ake alivyoenda likizo ili anikomeshe; so watanikoma.

Na hata sisi jamii na ndugu tunachangia kuleta migogoro kati yao, kwa kupenda kufuatilia au kujudge nini kinafanyika humo ndani na wakati mwingine hadi tunauliza kabisa "eeh anakupa chakula, hakufokei"? etc. Hivi kuna mzazi ambaye hajawahi kumfokea mwanae?. Kuna wamama wapo strict tu kwa nature yao, hata watoto wake wenyewe wanamuogopa, lakini akileta huo ustrict kwa watoto wake wa kambo, inaonekana kama anamfanyia roho mbaya. Na hata watoto hawawezi wote kuwa wema wakati wote, na wao wana mapungufu yao; ila ni rahisi kwa mama wa kambo kusema "huyu mtoto kanishinda simtaki kwangu" at the same time unaweza akawa na mtoto kibaka lakini kwa sababu ya upendo akasimama naye katika usumbufu wake wote na akamvumilia.

Ubaya sasa kwa mfano mtoto akienda kushtaki kwa ndugu huko, hakuna atakayetaka kuleta suluhisho, rather atachochea moto zaidi. Ni rahisi kuuchukulia/kuuignore udhaifu wa mtoto/mzazi yako, lakini akiwa wa mwenzako hali inakuwa tofauti kabisa. Hapa pana tatizo kubwa sana, na panabomoa sana.
 
Asante sana mkuu kwa ujumbe.
Hakika umeongea ukweli mtupu sijui kwanini viumbe hawa wanaroho mbaya kiasi hicho
 
Heaven Sent Say it no more mam, lazima sote tujifunze misingi mizuri ya kufanya judgments ama sivyo tutabomoa vitu vingi badala ya kujenga, Hii mada ni ya kitambo kidogo, hope umechelewa kufika kama kawaida yako 😀😀. Missing you more....
 
Kiufupi tu kaeni mkijua hakuna kiumbe cha kike kinacho mpenda mtoto wa mwanamke mwenzie iwe mbuzi kuku ndio usisemee... Yaaani wanyama wote
 
Kama ni Mimi kwa mfano,mke wangu Ana mtoto wake kazaa huko namlea vizuri halafu yeye amzingue mwanangu,aiseeeee ! Namtimua siku hiyo hiyo Bora nibaki na mwanangu,sitaki ujinga mimi,
Siwezi kumuacha mwanangu kwa Bibi yake kiss namuhofia mke wangu wakati Mimi ndo fadher house?
Namuambia kabisa,ukikaa vizuri na huyu mtoto ndo Visa yako ya kuishi hapa utaendelea kurenew,ukikaa nae vibaya happy ndo mwisho na nampa taarifa hiyo live mbele ya watoto wake na wangu, sitaki uficho.
 
Wanawake wanaojifanya wacha Mungu hao hua ni hatari sana mkuu hao wanakuwaga na roho mbaya sana yani katika maisha usikosee mahesabu na kumzalisha mwanamke halafu usije muoa huyo utake kuoa mwanamke mwingine..
 
Kwa ninavyojifahamu huyo mwanamke ningemuacha hata kama sina mtoto...
 
Mzee ukija kutoa hio sentensi mtoto wako atateseka dunia nzima
 
Kunao wanawake wengi wazuri ambao wamelea watoto wasio wao. Si sahihi kujumlisha wanawake wote eti ni makatili wasioweza kuishi na watoto wa kambo. Kunao akina mama walio kwenye viwango vya pekee wasiobagua wana waliozaliwa na wake wengine tofauti na wao.Mgalla muue lakini haki mpe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…