Wangapi wamemuelewa Rais Samia katika hili?

Wangapi wamemuelewa Rais Samia katika hili?

Rambirambi milioni 1 lkn goli la Simba milioni 10. Wewe unaona ni sawa? Huyu mama ana dharau sana maisha ya watanganyika.
Rambirambi inatakiwa iwe ngapi tukiachana na magoli as long as sisapoti serikali kununua magoli ni ujinga fulani hivi
 
Erythrocyte hawezi kuona aibu kwasabb chadema haikusanyi Kodi na tozo toka kwa wananchi.
Sasa kiherehere cha kuzungumzia mambo ya hela kakitoa wapi akimjua hakusanyi Kodi na tozo kutoka kwa wananchi? Kwani angekaa kimya Mimi ningemsema? Anaona aibu sasa hivi kwasababu anajua kachemka. By the way, wale wazito wa Chadema wamechangia shilingi ngapi kwa Professor J Foundation? Ahahahahaha!!!!
 
Sasa kiherehere cha kuzungumzia mambo ya hela kakitoa wapi akimjua hakusanyi Kodi na tozo kutoka kwa wananchi? Kwani angekaa kimya Mimi ningemsema? Anaona aibu sasa hivi kwasababu anajua kachemka. By the way, wale wazito wa Chadema wamechangia shilingi ngapi kwa Professor J Foundation? Ahahahahaha!!!!
Mbowe ametoa 'pesa ndefu' sana kwenye hy foundation Ila ndo hvy Mwenyekiti wetu ana tabia za kusahau kuhesabu pesa anazotoa

CC mwanamama Erythrocyte
 
Rais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.

Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?

View attachment 2839872View attachment 2839873
$ milioni moja uturuki, $ milioni moja Malawi, chopa mbili na Tani elfu moja.ya chakula pamoja na magari ya jeshi kusambaza hup msaada. Ingekuwa nchi nyingine wangeshamtoa madarakani
 
Back
Top Bottom