Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rambirambi milioni 1 lkn goli la Simba milioni 10. Wewe unaona ni sawa? Huyu mama ana dharau sana maisha ya watanganyika.Rambirambi 1 m sio mbaya, hiyo wala sio fidia maana hakuna kinachofidiwa,
Rambirambi inatakiwa iwe ngapi tukiachana na magoli as long as sisapoti serikali kununua magoli ni ujinga fulani hiviRambirambi milioni 1 lkn goli la Simba milioni 10. Wewe unaona ni sawa? Huyu mama ana dharau sana maisha ya watanganyika.
Kwenye magoli zishakaribia milioni 200. Lakini rambirambi, kila marehemu milioni 1. Hatari na nisiPesa zilizotoka kwenye magoli ni sh ngapi na pesa za hao marehemu ni sh ngapi
Em piga hesabu serikali imetoa jumla ya pesa ngapi hapoKwenye magoli zishakaribia milioni 200. Lakini rambirambi, kila marehemu milioni 1. Hatari na nisi
CHADEMA na Yanga nani katoa pesa ndefu?Hela zinazotolewa na Samia siyo zake ni za serikali , kule kizimkazi hana hata shamba la pilipili
Sasa kiherehere cha kuzungumzia mambo ya hela kakitoa wapi akimjua hakusanyi Kodi na tozo kutoka kwa wananchi? Kwani angekaa kimya Mimi ningemsema? Anaona aibu sasa hivi kwasababu anajua kachemka. By the way, wale wazito wa Chadema wamechangia shilingi ngapi kwa Professor J Foundation? Ahahahahaha!!!!Erythrocyte hawezi kuona aibu kwasabb chadema haikusanyi Kodi na tozo toka kwa wananchi.
Ahahahahaha!Kama namuona vile mrembo Erythrocyte anavonishtaki kwa uongozi wa JF 😂
Na mimi niweke huko. Mbona mimi nilimuweka Mshana Jr kwenye ignore list yangu zaidi ya mwaka na maisha yangu ndani ya JF yanaendelea tu? Za uso utakula sana!Huyo mjinga mwenzio tayari yuko kwenye ignore list bado wewe
Hujaelewa wapi?Rais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.
Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?
View attachment 2839872View attachment 2839873
I love our president Samia with all my heart and soul. I pray for her to live a very long and healthy life.Rais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.
Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?
View attachment 2839872View attachment 2839873
Marehemu wapo 80 tu ×milioni 1 = milioni 80. Lkn kwenye magoli kishatoa zaidi ya milioni 200. Huyu rais ama kituko?Em piga hesabu serikali imetoa jumla ya pesa ngapi hapo
Mbowe ametoa 'pesa ndefu' sana kwenye hy foundation Ila ndo hvy Mwenyekiti wetu ana tabia za kusahau kuhesabu pesa anazotoaSasa kiherehere cha kuzungumzia mambo ya hela kakitoa wapi akimjua hakusanyi Kodi na tozo kutoka kwa wananchi? Kwani angekaa kimya Mimi ningemsema? Anaona aibu sasa hivi kwasababu anajua kachemka. By the way, wale wazito wa Chadema wamechangia shilingi ngapi kwa Professor J Foundation? Ahahahahaha!!!!
Chawa pro+I love our president Samia with all my heart and soul. I pray for her to live a very long and healthy life.
$ milioni moja uturuki, $ milioni moja Malawi, chopa mbili na Tani elfu moja.ya chakula pamoja na magari ya jeshi kusambaza hup msaada. Ingekuwa nchi nyingine wangeshamtoa madarakaniRais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.
Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?
View attachment 2839872View attachment 2839873
Ahahahahaha!!Mbowe ametoa 'pesa ndefu' sana kwenye hy foundation Ila ndo hvy Mwenyekiti wetu ana tabia za kusahau kuhesabu pesa anazotoa
CC mwanamama Erythrocyte
Cc tulizuiliwa tusiende kutoa mkono poleSawa nmekuelewa, haya Nambie chadema walitoa mamilioni mangapi huko Manyara na zilitoka wapi mana nyie hamkusanyi kodi wala tozo
CC Erythrocyte
Kwani Chadema inakusanya kodi au tozo?CHADEMA hata milioni 10 tu mmetoa kusaidia wahanga? Unajua kazi inayofanyika Hanang au umengalia tu hiyo mkono wa pole?
Katibu wa itikadi na uenezi wa chadema ndugu Erythrocyte amesema Mbowe ametoa mamilioni, sasa hizo pesa zimetolewa wapi.?Cc tulizuiliwa tusiende kutoa mkono pole
Nyie chadema mbona narudia rudia hili swali, em rudi usome comments na sio kuvamiavamia comment za wanaumeKwani Chadema inakusanya kodi au tozo?