Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Kipindi cha dikteta Magufuli tumepata majaji wengi wa hovyo kuliko wakati wowote
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Angesema Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu ndiyo ungeona kwamba ana uwezo mkubwa?

Wachunguze kwanza mawakili wa utetezi na ujilidhishe kama wanao uwezo mkubwa wa kuitafasili sheria. Kwani maswali waliyokuwa wakiwauliza mashahidi wa upande wa mashitaka hayakuwa yakihusiana na facts za kesi. Wengi wenu mkimuona shahid anajibu kwamba sijui mnachukulia kwamba amebugi kumbe anajibu hivyo kwa kuelewa kwamba swali aliloulizwa halihusiani na kesi inayobishaniwa.

Chukulia mfano maswali aliyekuwa akiulizwa Inspector Swila÷

[emoji117]Dr aliyekuwa alikutibu anaitwa nani [simjui]

Swali hilo linahusiana na kesi?
 
JAJI NI JAJI Ukianza tu KUMJAJI JAJI kwa mirengo ya kisiasa huwezi tambua maana ya JAJI,Nimefatillia sana kesi ya Mheshimiwa MBOWE toka inaanza ila honestly speaking from the beggining watoa taarifa hawakuwa objective

Ungeenda kutoa taarifa ili uwe objective.
 
Majaji michongo utawapata Tanzania hapo jirani Kenya hakuna uboya kama huu Jaji akizingua anapandishwa kizimbani mpaka uwe Jaji vigezo na masharti vina fuata sio bongo ukimfurahisha Mwenyekit wa ccm umeula

Kwenye nchi zenye mirengo ya kijamaa, kigezo cha kwanza kuwa kwenye taasisi za umma ni kiwango cha kujinyenyekeza kwa watawala, kisha sifa nyingine hufuata. Tatizo linakuwa kubwa zaidi kama serikali hiyo iko madarakani kwa kupora chaguzi za nchi. System inatengeneza mfumo wa kihalifu ili kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti.
 
Angesema Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu ndiyo ungeona kwamba ana uwezo mkubwa?

Wachunguze kwanza mawakili wa utetezi na ujilidhishe kama wanao uwezo mkubwa wa kuitafasili sheria. Kwani maswali waliyokuwa wakiwauliza mashahidi wa upande wa mashitaka hayakuwa yakihusiana na facts za kesi. Wengi wenu mkimuona shahid anajibu kwamba sijui mnachukulia kwamba amebugi kumbe anajibu hivyo kwa kuelewa kwamba swali aliloulizwa halihusiani na kesi inayobishaniwa.

Chukulia mfano maswali aliyekuwa akiulizwa Inspector Swila÷

[emoji117]Dr aliyekuwa alikutibu anaitwa nani [simjui]

Swali hilo linahusiana na kesi?

Sishangai kuwa na reasoning ya namna hii, maana elimu yetu inafundisha watu kujibu mtihani na sio logic. Hii ndio sababu unakutana na wasomi wengi wanaopigania ajira ili wakae ofisini, lakini hawana uwezo wowote wa kiutendaji. Ulichosema ww hapa ni maajabu ya hukumu za mahakama, lakini sio maamuzi yenye logic. Ni hivi, haki hutakiwa kutenda na ionekane inatendeka, na sio hakimu kuamua kutokana na utashi wa watunga kesi,kisha msememe kuna ufundi wa maajabu kwenye sheria.
 
Walifanya propaganda wakitegemea upepo wao ungebadili ukweli. Walimshambulia Magufuli sana wakitegemea huruma ya wazungu lakini hawakujua kuwa Tanzania ni taifa huru. Haya waliomba Magufuli aondoke duniani na Mungu akatenda huku wakidhani kesho yao itakuwa saaafi kwa njia zao za propaganda. Serikali ya Tanzania iko makini lazima msumeno ukate inavyotakiwa. Tii sheria bila shuruti utakuala mema ya nchi .POLENI

Sasa hivi ni tii shuruti bila sheria.
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Magu ndiye akiyefanya fani hii kuwa ya hovyo kwa kuteua wa michongo kama Siyani na mwingine kwa kuandika tuu hukumu kwa kiswahili ( hakuwa anaumahiri kwenye lugha ya kiingereza Kama aliye mteua)
Hivi majaji kama wale wa Tume ya uchaguzi na Msajili. Wa vyama si vituko tuu🤔
 
JAJI NI JAJI Ukianza tu KUMJAJI JAJI kwa mirengo ya kisiasa huwezi tambua maana ya JAJI,Nimefatillia sana kesi ya Mheshimiwa MBOWE toka inaanza ila honestly speaking from the beggining watoa taarifa hawakuwa objective
Unamaanisha nini?
 
Unaona sasa kumbe umeingilia hoja usiyoijua. Comment yangu uliyoinukuu na kujifanya unajua, nilikuwa nahoji Judge Warioba anaingiaje kwenye kundi la Majaji nguli kariba ya Mwalusanya au Lugakingila baada ya mtu mmoja humu kumtaja miongoni mwa majaji Bora.
Ndo nikataka alete Judgment hata moja aliyoandika.
Hata Mimi najua amewahi kuwa Jaji lakini kumuingiza kwenye kariba ya kina Lugakingira mnamuonea tu. Siku nyingine uache ujuaji!
Angalia comment yako ya kwanza!
Warioba ni Jaji ila hajawahi kuwa Fanya Ujaji katika mahakama za Tanzania
Masters yake alisomea usukuhishi wa migogoro ya baharini na baada ya kuhitimu alifanya kazi katika Tume moja huko Ujerumani ndio akapata cheo cha Ujaji.
 
Majaji michongo utawapata Tanzania hapo jirani Kenya hakuna uboya kama huu Jaji akizingua anapandishwa kizimbani mpaka uwe Jaji vigezo na masharti vina fuata sio bongo ukimfurahisha Mwenyekit wa ccm umeula
Mfumo wa kuwapata majaji ni dhaifu sana, baadhi ya majaji wana kadi za chama tawala
 
Nilitegemea, baada ya kupitia Maelezo ya Mashahidi 13, hakuna Ushahidi wa Moja kwa Moja pasipo shaka, kuwa Watuhumiwa walitenda Kosa. Shahidi A kasema hivi......hapo tungeona panapovuja. Mimi nashauri Washtakiwa wakodi Jaji toka Nchi Jirani. Otherwise Utetezi wa Mashahidi wao utatupiliwa mbali kama Kesi Ndogo zilizopita. Mwisho watafungwa. Inaumiza Judgement za Aina hii Bado zinaExist na Watu wananyamaza[emoji24][emoji24]
Kwa uchaguzi mkuu uliopita ulivyoibiwa hadharani watz wakasema tunamwachia Mungu, hata Mbowe akifungwa tutamwachia Mungu
 
Hapana mkuu.
Si kupewa tu! Hata Kingwendu anaweza kuwa CJ! si unapewa kirafiki... Idd Amin si alikuwa Rais wa Uganda na ni darasa la nne! ( najua ni kwa kijeshi, but alikuwa Rais)
 
Walifanya propaganda wakitegemea upepo wao ungebadili ukweli. Walimshambulia Magufuli sana wakitegemea huruma ya wazungu lakini hawakujua kuwa Tanzania ni taifa huru. Haya waliomba Magufuli aondoke duniani na Mungu akatenda huku wakidhani kesho yao itakuwa saaafi kwa njia zao za propaganda. Serikali ya Tanzania iko makini lazima msumeno ukate inavyotakiwa. Tii sheria bila shuruti utakuala mema ya nchi .POLENI
Wakoloni wote huwa na mawazo ya nyodo kama haya🙄
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Tatizo ni mhimili mmoja uliojichimbia chini sana umepoka mamlaka ya mihimili mingine.
Matokeo yake mihimili isiyo na mizizi mirefu inaburuzwa na kuendeshwa bila weledi!
 
Halafu wengine wanataka mpaka washinde wao ndo Jaji yuko fair.
Comment yako iwekwe lamination jamaa wanataka kila kitu washinde wao tu.iwe tofauti unatungiwa majina Kama yote Mara jaji wa michongo
 
Nikiwa nimemaliza form six Bab angu moja kwa moja alifika chuo Cha hija kwenda kunichukulia fomu ya kujiunga na chuo Cha HIJA nasikitika sna kwa kumdispoint mzee wangu kwani nilikatah hbr hzo
Leo ingekuta nawapeleka watu kifungoni yaani kwa maelekezo kutoka juu juu
 
Akihukumiwa sabaya, jaji anafanya kazi nzuri, mbowe akikutwa na mashtaka ya kujibu majaji wanaonekana wa hovyo. Yaani ni vituko

Sabaya wala haiukuhutajika kujua kuwa alikuwa ni muovu aliyekuwa anatumikia siasa za kidhalimu za Magu. Na kwa taarifa yako kama hiyo mahakama ingekuwa huru, Sabaya alitakiwa kunyongwa na sio kufungwa. Watu hawaisifii mahakama kwa kumfunga Sabaya, bali wanasema kuna mahali Sabaya alileta dharau kwa chief Hangaya kipindi cha yule kiongozi muovu wa chattle. Hivyo hilo suala la watu kuisifia mahakama kutokana na hukumu wa Sabaya ni ww unasema, Lakini hakuna mtu mwenye akili timamu anaisifia hiyo mahakama ccm.
 
Tunachotakiwa kufahamu, ni kwamba jaji hupatikana kutoka jamii yetu. Rais anapatikana kutoka jamii yetu.

Jamii ikiwa na watu wengi wanafiki, waongo, wala rushwa, waoga, basi uwezekano mkubwa:

1) Rais atakuwa na sifa hizo hizo
2) Mawaziri watakiwa wa namna hiyo hiyo
3) Majaji watakuwa wa namna wa namna hiyo hiyo
4) Polisi watakuwa wa namna hiyo hiyo

Inakuwa ni kwa bahati sana, kumpata mtu tofauti na walio wengi katika jamii. Watu hao waliowahi kuwa tofauti na walio wengi, ndiyo kama Mwalimu Nyerere, Warioba, Jaji Lugakingira, Jaji Samata, Jaji Augutino Ramadhani, Jaji Nyalali. Sasa kwa vile walio tofauti ni wachache, ni lazima kuwe na mfumo unaolazimisha kwenye nafasi kama za Urais, jaji, wapatikane watu kama hao. Bahati mbaya mfumo huo hatuna.

Bahati mbaya zaidi, uchaguzi wa mwaka 2015, ulimwingiza Rais asiye na vigezo kabisa, aliyeamini kuongoza kwa kutumia nguvu, udikteta na hila. Ili atawale kwa namna anayoitaka bila bugudha, aliua Bunge, aliua mahakama. Mahakamani akawajaza maofisa wa TISS. Hawa wote waliohusika na kesi ya Mbowe, siyo majaji, ni maofisa wa TISS ambao marehemu aliwajaza mahakamani ili kuua mhimili wa mahakama.

Siku tukibahatika kumpata kiongozi jasiri, mwenye hekima, upeo mkubwa na weledi, hawa maaifa wa TISS, wote wanatakiwa kuondolewa mahakamani. Lakini cha muhimu zaidi ni katiba mpya ambayo italazimisha upatikanaji wa majaji kwa vigezo vya sifa na uwezo.

Bahati mbaya jamii yetu pia imejengwa na watu waoga, na wanafiki kupindukia. Huu ujinga mwingi unaofanywa na watawala, mahakama na bunge, ni matokeo ya unafiki na uoga wa sisi wananchi.

Angalia hata hapa jukwaani, watazame watu kama Jingalao, Cremia, Chinembe, Stroke, qnd the like, ukitazama michango yao unaweza kudhani ni brainless, lakini yawezekana wana akili timamu lakini akili yote imemezwa na unafiki. Wao hata kitu ambacho ni dhahiri kabisa kuwa ni cha hovyo, alimradi kimefanywa na mtu wa CCM, au kiongozi ndani ya Serikali, hata kiwe takataka kwa kiwango gani, watasifia. Hata huko mitaani, watu wa namna hiyo ni wengi. Kuwategemea watu wa namna hiyo kuleta mabadiliko nchini mwetu, ni ndoto. Wao kila kitu hakuna cha muhimu, kikubwa ni matumbo yao. Wengi wanawaza fedha na vyeo.

Kwa ujumla, kwa sasa, majaji wengi hawa waliochongwa na mwendazake ni wala rushwa wakubwa, weledi ni zero, kujipendekeza 100%. Baadhi ya ninaowafahamu, pamoja na hawa walioendesha kesi ya Mbowe na wenzake, ni hovyo kabisa, hata kama wangeondolewa huko TISS, wakabakizwa mahakamani, uwezo wao ni mdogo kuliko hata mahakimu wa Wilaya, wale wenye uwezo.
Hongera unesema vizuri snaa.
 
Back
Top Bottom