Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Mkuu, ingekuwa hivo basi lazima na kwa Wasafwa wangekuwemo, hao ni Wandali waliohamia Unyakyusani ndio wakaleta hiyo shida ya uchawi uliokithiri.

Ushawahi kuwasikia "Wasangule"??
Mkuu huku kwetu umalila msangule ni mtu aliyefariki afu baadae anaonekana anaishi sehemu nyingine tena japo kwa miaka hii sisikii sana.
Ila for sure issue ya wala nyama za watu ni complex sababu nazijua baadhi ya koo za kimalila zinasemekana ni masalia ya wanyamanyafu.
 
Mkuu, ingekuwa hivo basi lazima na kwa Wasafwa wangekuwemo, hao ni Wandali waliohamia Unyakyusani ndio wakaleta hiyo shida ya uchawi uliokithiri.

Ushawahi kuwasikia "Wasangule"??
🤣😅
 
Tumugoje tumuleshe?

Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"

Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke anaweza kukuacha ndani u taabani, kwa kuumwa, akaenda kanisani akarudi usiku kisha akapitilizia kulala
Japo siwafahamu ila jina la kabila limekaa kimafia
 
Mkuu huku kwetu umalila msangule ni mtu aliyefariki afu baadae anaonekana anaishi sehemu nyingine tena japo kwa miaka hii sisikii sana.
Ila for sure issue ya wala nyama za watu ni complex sababu nazijua baadhi ya koo za kimalila zinasemekana ni masalia ya wanyamanyafu.
Wamanyanyafu wanaofanya vitu gani? Kwanini wanaogopwa sana?
 
Mna roho mbayaaa nimesoma nao mbozi mission secondary school kote mlowo, vwawa, idiwili, itaka , igamba, mahenge, isansa mmejaa nyie tu mnaroho mbayaaa ya maviii hamfaiii na ndiyo maana mnajitenga mnaishi wenyewe Kwa wenyewe hata mbeya mjini hampo mmejificha maporini yaani nyie hamna tofauti na wasafwa wa uyole sijuii mliumbwa Kwa lengo gani hapa duniani? hamtaki kuchangamana na watu ni wabinafsi hampendi mtu asiye wa kabila lenu afanikiwe kazi tu kusema shonii, mwakata.... Mwakata uli .. haansiii wapuuzi wakubwa mlimteka kaka yangu mkamkata miguu Kisa alikatisha kwenye shamba la alizeti kule matula nawalaani miaka ALFU LELA ULELA.

Ndomana nilifirahi sana mkoa wa mbeya ulivyotenganishwa na liwilaya la mbozi lililojaa mahayawani watupu wasiojielewa.

Hebu nitajie ni myiha gani kashawahi kushika ngazi za juu za uongozi katika nchi hii!!!?? Mnaishia kuwa mamonita tu kwenye madarasa mliyojaa nyie watu wa hovyo miso na mfano..

Kwa kifupi nyie ni wapumbavu tu.
Duh umewalipua.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
N
Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Senjele walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu na pia huko Mbozi palikua na Mzee alikua anakodisha Bunduki na kutengeneza siraha ambazo Majambazi wengi wamezitumia kwenye utekaji Mkoa wa Mbe

Tumugoje tumuleshe?

Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"

Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke anaweza kukuacha ndani u taabani, kwa kuumwa, akaenda kanisani akarudi usiku kisha akapitilizia kulala
Kwa niaba ya Wanyiha, nasema sio kweli hizo sifa.
 
Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Senjele walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu na pia huko Mbozi palikua na Mzee alikua anakodisha Bunduki na kutengeneza siraha ambazo Majambazi wengi wamezitumia kwenye utekaji Mkoa wa Mbeya...
Naona kabila langu linashambuliwa
 
Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Senjele walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu na pia huko Mbozi palikua na Mzee alikua anakodisha Bunduki na kutengeneza siraha ambazo Majambazi wengi wamezitumia kwenye utekaji Mkoa wa Mbeya...
Hawa itakuwa ni viongozi wa chama fulani kule Kagera
 
Back
Top Bottom