DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
tatizo mnapenda sna uzungu kwani ukinywa pombe ya ny umbani kama konyag unapungukiwa nini?. Ndo mwisho wa siku mnajikuta mnaanza kunenepa makalio
Wewe nawe sijui upo dunia gani, Konyagi si ndio ya kwanza kugushiwa, hiki unachokiona ni baada ya kupata uzoefu wa kufoji konyagi Sasa ndio wameamia kwenye pombe za wazungu.

Hii ndio sababu kuna watu wanalewa mpaka wanazimika na kesho hana memory yoyote kumbe sababu ni haya matakata yasiyo na tbs.
 
Sawa ila ndo uweke Uzi MMU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…