wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Nzuri ukii-nyonga mwenyewe,ukisubiri kunyongewa na pusha wafaaaaaaa.Wavuta bange wanaonewa sana bange nisalama kuliko hizo kitoko na smart gin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri ukii-nyonga mwenyewe,ukisubiri kunyongewa na pusha wafaaaaaaa.Wavuta bange wanaonewa sana bange nisalama kuliko hizo kitoko na smart gin
Hio Ni maalum kwa akina dada tena wenye tatizo la upungufu wa nyege.Mmh, tunywe castle lite tu, inatosha
Konyagi, Kvant feki zipo nyingi pia mtaanitatizo mnapenda sna uzungu kwani ukinywa pombe ya ny umbani kama konyag unapungukiwa nini?. Ndo mwisho wa siku mnajikuta mnaanza kunenepa makalio
Aise [emoji2][emoji3]Mavi hayana shida,Ni Catalyst Ile.
Yes..kaplastic😪“Filter” kwa maana ya kale kaplastiki kanakaa chini ya kizibo?
Koh koh kooh kohh[emoji6]Sema hako ka wine ka Mohans
Kana turn on balaa
Nilikakimbia kwa sababu hiyo
UWiii🤣🤣🤣🤣nimechekaatatizo mnapenda sna uzungu kwani ukinywa pombe ya ny umbani kama konyag unapungukiwa nini?. Ndo mwisho wa siku mnajikuta mnaanza kunenepa makalio
Umesha jiuliza Ni watu wangapi duniani watakosa ajira kwa wazo Lako la kipuuz?Sio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Hayo stika ya TRA wanapofanya ambush mbona wanayakuta tuuAngalia stika ya tra na uhakiki
Juice za viwandani zina benzoate na ascorbic acid, angalia mfano juice ya embe ya Bakhressa inayopigiwa kelele.Sio lazima kuwa wanywaji wa pombe. Njia salama ni kuachana kabisa na pombe, mtaokoa pesa na afya zenu.
Sijapenda 🤣Koh koh kooh kohh[emoji6]
Wewe nawe sijui upo dunia gani, Konyagi si ndio ya kwanza kugushiwa, hiki unachokiona ni baada ya kupata uzoefu wa kufoji konyagi Sasa ndio wameamia kwenye pombe za wazungu.tatizo mnapenda sna uzungu kwani ukinywa pombe ya ny umbani kama konyag unapungukiwa nini?. Ndo mwisho wa siku mnajikuta mnaanza kunenepa makalio
Kuna upepo mbaya wa mafua na kifua elewa hivyo dogoSijapenda 🤣
Nakuletea dawaKuna upepo mbaya wa mafua na kifua elewa hivyo dogo
Sawa ila ndo uweke Uzi MMU?Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.
Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.
Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.
Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.
Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,
Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2523858View attachment 2523859View attachment 2523860View attachment 2523861View attachment 2523862View attachment 2523863
4 nephews 🤗Nakuletea dawa
🤣🤣 yan ww dada4 nephews 🤗