herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
achana na hzo data za wzara ya afya, vp kitaa unachotoka wamekufa wangapi...?Inawezekana kabisa wanakufa sana lakini Serikali hairipoti idadi ya maambukizi mapya na idadi ya vifo pamoja na kuombwa kufanya hivyo na WHO..
Ungekuwa ukiambiwa kuna maralia unatishwa kusingekuwa na kuambiwa kuna Ugonjwa fulani acha kufananisha corona na magonjwa mengine kwa visingizio visivyo na tija, Tambua kuwa corona huua haraka na ndani ya mda mfupi imeleta maafa makubwa, kama huogopa corona acha kuvaa barakoa peke yako acha kuwashawishi watanzania wengine kuiga ujinga wako binafsiunataka niambia wote waliokufa kwa corona walikuwa hawavai barakoa...? sizan kama barakoa ndio inaweza kukuweka mbali na corona, afu msitutishe,mtuache tuishi maisha yetu
corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine
ok mm n jua haswaaaaπππ, ila nazan hujaelewa ulichoandika kwa mikono yakoπββοΈπββοΈπββοΈAcha ujinga wewe! Wapi nilipokutisha? Kama huna la maana la kuandika pita kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.
Kwa kukosoa tu watu watekwe halafu ionekane ni jambo la kawaida tu !
cjawai na sontokuja vaa barakoaUngekuwa ukiambiwa kuna maralia unatishwa kusingekuwa na kuambiwa kuna Ugonjwa fulani acha kufananisha corona na magonjwa mengine kwa visingizio visivyo na tija, Tambua kuwa corona huua haraka na ndani ya mda mfupi imeleta maafa makubwa, kama huogopa corona acha kuvaa barakoa peke yako acha kuwashawishi watanzania wengine kuiga ujinga wako binafsi
Acha ubwege acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni, Yaani kila anayekufa kwa Corona mtaani waje nyumbani kwako kukuarifu, upewe takwimu wewe binafsi kama nani? wewe hujaona kwa sababu ni mjinga na hakuna wa kukupa taarifa mtu mjinga kama weweachana na hzo data za wzara ya afya, vp kitaa unachotoka wamekufa wangapi...?
mm kitaani kwangu mpaka sasa sijaona aliyekufa kwa corona pamoja na kushinda sehemu zenye mikusanyiko since gonjwa linasemekana kuingia
Utakufa siku si nyingi kwa ujinga wakocjawai na sontokuja vaa barakoa
Vipimo vya kupima corona ni fake, barakoa ni fake, chanjo ya corona ni fake nasema uongo ndugu zangu?Kwani alie kufa alikua anavaa barakoa? Tuanzie hapo kwanza
Kama wewe ni Mungu tutaonaMkuu in two weeks wiki ya kwanza na ya pili April maambukizi yataongezeka sana na baadhi kuishia kaburini.
Tanzania hakuna kolona nasema uongo ndugu zangu?Kama wewe ni Mungu tutaona
ππππkufa ntakufa lakin si kwa sababu ya corona,kwan kila kiumbe kitauonja umautiUtakufa siku si nyingi kwa ujinga wako
Siyo kila aliyekwenda uwanja wa Uhuru alimpenda magufuli wengine wameenda kuthibitisha kama kafa kweli huku wengine wakienda kama mkumbo tuMagufuli walimpenda na kumwamini mana isingekua hivo wasingekubali kusongamana vile ku-risk maisha yao
Kama wewe ni Mungu tutaona
Siku chache utamfuata tuWacha tufe amekufa kamanda wetu sisi ni nani tusife
Tatizo ni kuwa waliaminishwa kuwa korona hakuna Tanzania kwakuwa Mungu ameiepusha Tanzania na korona. Hilo ndilo kosaNdani ya uwanja wa Uhuru ambako mwili wa aliyekuwa rais wa Tanzania Dr Magufuli unaagwa waagaji karibu 95% hawavai barakoa wala hawaonyeshi kama wanafahamu kama kuna uwepo wa corona duniani
Hivi ni nani kawadanganya kwamba hakuna Corona Tanzania ?
Kwani ukiwa Mungu ni kosa?ππππππππ wapi niliposema mimi ni Mungu?
Baada ya week tutashuhudia maafa makubwa NchiniWakitoka hapo labda watajifukiza
Siyo Mungu ni nabii huyo. Mbona Lema alitoa unabii wakampinga na kumshitaki kisha kumrundika magereza sasa leo nini kimetokea? Manabii tupo wengi sema huwa hatusemi tu!Kama wewe ni Mungu tutaona
Ndiyo hata ukiangalia watu wa kawaida ndiyo wanaanguka na hawajavaa barakoa machozi kamasi mate yanawachoruzikia wale Asikari kuna maambukizi ya kutisha sana hapo uwanja wa TaifaTatizo ni kuwa waliaminishwa kuwa korona hakuna Tanzania kwakuwa Mungu ameiepusha Tanzania na korona. Hilo ndilo kosa