herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
achana na hzo data za wzara ya afya, vp kitaa unachotoka wamekufa wangapi...?Inawezekana kabisa wanakufa sana lakini Serikali hairipoti idadi ya maambukizi mapya na idadi ya vifo pamoja na kuombwa kufanya hivyo na WHO..
mm kitaani kwangu mpaka sasa sijaona aliyekufa kwa corona pamoja na kushinda sehemu zenye mikusanyiko since gonjwa linasemekana kuingia