..atleast the Bible is the Only book ambayo haijicontradict Unlike vingi,alafu the Bible was not written by Jews ni manabii wengine wakavikusanya pamoja
hapo kuwwekwa wazi baadae wakati kwa wapagani ilijulikana karne mbili kabla inafanya tuamini ukristo ulikopi huko. pia mwanzo 1: 2 inataja Roho takatifu (mtakatifu). inamana hata daudi alipokuwa akiandika zaburi 11:5 alijua kuna roho lakini akasema nafsi yake si nafsi zake. kwanini? kwasababu alijua Mungu ni mmoja na nafsi moja...Nafsi ya Mungu(the father) ndo Ilikua dhahiri nyakati hizo Jesus and the spirit wameweka wazi baadae ndo maana ametumia umoja hapo
But an hour is coming, and now is, when the true worshipers shall worship the Father in spirit and truth; for such people the Father seeks to be His worshipers” (John 4:21-23). Bila kumuabudu in spirit huwez kumfikia because he is spiritual
Weka reference mkuu, holy trinity haikuwapo bali ilikopiwa kutoka kwa Egyptians...wee constatine wa Juzi tuu,Jaman the Holy trinity has existed kabla hata Ya uumbaji wa dunia
..we Nionyeshe ushahidi unaonyesha Bible imetokana na Traditional judaismKwenye swala la contradictions inategemeana na unazungumzia mada gani lakini zipo contradictions katika mada mbalimbali.
Biblia imetoka kwenye nakala za Traditional Judaism. Au una ushahidi kuwa Biblia ni independent book and not from Traditional Judaism?
GENESIS 1Weka reference mkuu, holy trinity haikuwapo bali ilikopiwa kutoka kwa Egyptians.
..we Nionyeshe ushahidi unaonyesha Bible imetokana na Traditional judaism
kwanini siyo kwa Mungu Roho au kwake mwenyewe, si wote ni sawa? sababu ni kuwa Baba ndiye Mungu peke yake na ni mkuu hata yesu mwenyewe alisema. yohana 14:28..the Father na alipokua anasali kwa Mungu he was 100% Human pale maana Yesu alikuaja 100% human na 100% God
Achaga uongo kwa vitu ambavyo huna ushahidi navyo... Mpo wengi sana watu Wa aina yako mnaweza kujaza tafsiri ya kila neno la biblia kana kwamba biblia ilikosewa na nyie ndio mpo sawa mnaielewa na fact biblia ilitambua uwepo wenu watu kama nyingi ikawaonya ole wao wabadilishao neno au maneno katika kitabu..Kaka neno MUNGU ni cheo,Its not the Father tu au mwana tu au Roho mtakatifu tu ni wote,kwaio Mungu ni mmoja mwenye Nafsi Tatu!!!!
..Kwanza ujue kwamba Judaism sio upagani as u say it sema they Beleive in salvation by physical efforts lakini tunajua huwez kuepuka dhambi and Yes Origin ya Biblia ni Hebrew BibleAgano la kale katika Christian Bible limetoka katika Hebrew Bible (Tanakh). Pia Chronology ya Christian bible ilikujaa baada ya Tanakh ya Traditional Judaism.
Unaposema Yesu alikuwa anaenda kwenye Sinagogi na kusali na kulikuwa na vitabu vya imani unafikiri ilikuwa Christian Bible hii uliyoishika wewe? Hii christian bible imechukua vitabu vya Tanakh.
Haiwezi kumake sense kwa anayeona Biblia ya Kale na ya sasa ni sawa na waandishi ni walilenga kuandika Biblia ya Kikristu. Ukimuuliza Moses juu ya Ukristu hajui wala hakujua kutakuja kuwa na Christian Bible kutoka katika vitabu vyake vya Torah.
..kaka Umenielewa au unadandia vitu tu?!Achaga uongo kwa vitu ambavyo huna ushahidi navyo... Mpo wengi sana watu Wa aina yako mnaweza kujaza tafsiri ya kila neno la biblia kana kwamba biblia ilikosewa na nyie ndio mpo sawa mnaielewa na fact biblia ilitambua uwepo wenu watu kama nyingi ikawaonya ole wao wabadilishao neno au maneno katika kitabu
..Kaka wamegawana majukumu,thats not the Role of the Holy spirit ndo maana unaona Biblia ilimdhirisha Baba then Jesus akaja alafu akabaki Roho till date na sio Mungu roho hakuna kitu kama hichikwanini siyo kwa Mungu Roho au kwake mwenyewe, si wote ni sawa? sababu ni kuwa Baba ndiye Mungu peke yake na ni mkuu hata yesu mwenyewe alisema. yohana 14:28
28 Kumbukeni nilivyowaambia, ‘Ninakwenda, na nitarudi.’ Kama kweli mngalinipenda mngefurahi, kwa kuwa nakwenda kwa Baba; na Baba yangu ni mkuu kuliko mimi.
Hapana aliyesema Mungu ni watano,kumi au wawili..yes Mungu ni mmoja tu ktk utatu Mtakatifu wale wanaoamini hivi waachwe waaamini na wasioamini hivi waachwe maana kila mmoja ana haki ya kuamini akitakacho.Mungu ni Mmoja tu
Mkuu unaishi ilala?..Ukisema MUNGU its already the Holy trinity kwaio kutoka mwanzo utatu mtakatifu ulikuepo,wapagani ndo wakaDraw concept hio hapa na kuanza kuitumia visivyo
..ndio MkuuMkuu unaishi ilala?