Wapalestina 200,000 wabaki bila makazi, wanaishi kwa misaada ya Umoja wa Mataifa (UN)

Wapalestina 200,000 wabaki bila makazi, wanaishi kwa misaada ya Umoja wa Mataifa (UN)

Ndiyo maana mimi sasa hivi nikiwaona wanavyolia na kubeba maiti za watoto wao kuzionyesha hadharani naona kama wamechanganyikiwa tu.Wanakumbatia tatizo halafu wapo kupanua midomo yao hadi unaona makoromeo yao wakilia ili waonewe huruma.Wameamua kuwatoa sadaka watoto wao ili mradi tu wawafiche HAMAS.Acha wachapike mpaka akili ziwakae sawa.

Unaongelea Watoto hawa waliozaliwa vitani?



Au unaongelea wacheza kiduku wa kwenu?
 
Huku Waarabu weusi wa Bongo wakiendelea kuchekelea na kufurahia uchokozi wa HAMAS kisa ni ndugu zao katika dini, ifahamike wahanga wa hii vita ni hao hao Wapalestina ambao mabomu yamelipua makazi yao na wameishia kwenda kuishi kwa misaada ya wazungu.

Mataifa ya Waarabu na Iran wapo pembeni hawajui la kufanya...
======================

At least 200,000 Palestinians have been displaced in the Gaza Strip amid ongoing Israeli airstrikes, the UN humanitarian office said on Tuesday.

“In Gaza, at least 200,000 of the 2.2 million residents have been displaced after fleeing for fear of their lives or their houses were destroyed by airstrikes,” the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) said in a statement.

“Most of them are taking shelter in UNRWA (UN Relief and Works Agency) schools, at least two of which have already been damaged by airstrikes in the area,” it added.

The UN office feared that the number of displaced Palestinians in Gaza would increase amid continuing Israeli attacks and Hamas rocket fire.

The situation escalated in the Gaza Strip following an attack by Palestinian group Hamas on Israeli towns near the seaside territory. Israel retaliated with massive airstrikes in Gaza and placed the enclave under total blockade.

More than 1,800 people were killed in the violence, including at least 830 Palestinians and 1,000 Israelis.

Israel has also cut water and electricity supply to Gaza, inevitably worsening the already dire humanitarian situation.

Home to nearly 2.2 million people, the Gaza Strip has already been reeling under a crippling Israeli siege since 2007.
Adithi zako bwana, hivi taifa ambalo lipo kwenye crippling siege linawezaje tena kutoa kupigo cha kushtukiza wa Natenyahu na Serikali yake - ndio maana nasemaga wakatimwingine huwa utafakari mambo kiundani una copy copy tu taarifa kutoka kwenye highly questionable sources mradi uwaseme vibaya Waarabu na Warusi- ndio ulivyo!
 
Na wanachapika haswa,ukienda kwa page zao Wapalestina kule Instagram wanalia mpaka sauti zinawakauka tena wanaume sasa.Mahospital wamejazana utadhani wako mtaa wa Congo K.koo.
Wao wanajifanya wanajua sana
 
Bado hawajasema, na ni upuuzi kuanza kumlaum Mu Israel.

Yani tujaribu kukaa chini tuache kutazama ya nyuma! Kama Hamas wasinge ivamia Israel on Saturday na kufanya unyama ule huku wakisema Allah Akbar, leo Gaza ingekuwa katika hali hiyo?

Israel ni viumbe wengine sio CCM wale, nq hapo Operation Iron Sword ndo inaanza, maana ni historia inatengenezwa na Israel ili vizazi vijavyo vya Palestina vikikaa kujadili uhuni dhidi ya [emoji1134], wakumbushane juu ya operation Iron Sword.

Hapo badooo, kwa ufupi ni kwamba, Israel inaenda kufuta magaidi eneo lile.

I STAND WITH ISRAEL [emoji1134]
 
Mungu huyo, Alishindwaje kuwasaidia kabla ya vita kuanza?

Mungu huyo Hayupo.

Mungu gani ana shuhudia vita na maelfu ya watu wakifa afu yeye katulia zake huko aliko?

Kama Mungu huyo yupo, Basi ni mkatili sana.
umekariri na vi information vyaku okoteza okoteza bado akili yako ni ndogo kujua haya mambo.
 
Hiyo ndiyo ukisikia free will.

Ufanye mema au ufanye mabaya, Mungu hayampunguzii wala hayamzidishii.

Kazi ni kwako.
Sasa kwa nini ukifanya mabaya akuadhibu?

Kama mabaya hayampunguzii na hayamzidishii kwa nini atake binadamu wote tumjue yeye na tutende mema?

Mema yanamsaidia nini?
 
umekariri na vi information vyaku okoteza okoteza bado akili yako ni ndogo kujua haya mambo.
Wewe Akili yako inajua nini?

Hujibu unacho ulizwa unajibu usivyo ulizwa, Kama una akili kubwa

Nakwambia hivi, 👇

Mungu huyo, Alishindwaje kuwasaidia watu hao kabla ya vita kuanza?

Jibu hoja hoja acha viroja.
 
[emoji298][emoji298]Update
Israeli death toll rises to more than 1,200
While 900 Palestinian have killed so far.

Source:BBC
Acha Israel ijilipizie kisasi chake. Haya mambo ya kuuwa wapelestina kibao yalianza enzi zile za akina mfalme Daudi. Hivyo sioni ajabu hawa watu kuendelea kuuwana hadi leo!
 
Huku Waarabu weusi wa Bongo wakiendelea kuchekelea na kufurahia uchokozi wa HAMAS kisa ni ndugu zao katika dini, ifahamike wahanga wa hii vita ni hao hao Wapalestina ambao mabomu yamelipua makazi yao na wameishia kwenda kuishi kwa misaada ya wazungu.

Mataifa ya Waarabu na Iran wapo pembeni hawajui la kufanya...
======================

At least 200,000 Palestinians have been displaced in the Gaza Strip amid ongoing Israeli airstrikes, the UN humanitarian office said on Tuesday.

“In Gaza, at least 200,000 of the 2.2 million residents have been displaced after fleeing for fear of their lives or their houses were destroyed by airstrikes,” the UN Office for the Coordination of Humanitarian Affairs (OCHA) said in a statement.

“Most of them are taking shelter in UNRWA (UN Relief and Works Agency) schools, at least two of which have already been damaged by airstrikes in the area,” it added.

The UN office feared that the number of displaced Palestinians in Gaza would increase amid continuing Israeli attacks and Hamas rocket fire.

The situation escalated in the Gaza Strip following an attack by Palestinian group Hamas on Israeli towns near the seaside territory. Israel retaliated with massive airstrikes in Gaza and placed the enclave under total blockade.

More than 1,800 people were killed in the violence, including at least 830 Palestinians and 1,000 Israelis.

Israel has also cut water and electricity supply to Gaza, inevitably worsening the already dire humanitarian situation.

Home to nearly 2.2 million people, the Gaza Strip has already been reeling under a crippling Israeli siege since 2007.
Tunamuomba Mungu aingilie kati vita hiyo iishe, kama HAMAS wangekuwa waungwana mbali na vifo hivyo 900 walivyosababisha inatakiwa waachie hao mateka waliowashikilia, huwezi kulalamika tunapigwa na tunataka vita iishe na huku mna mataka mikononi.
 
Adithi zako bwana, hivi taifa ambalo lipo kwenye crippling siege linawezaje tena kutoa kupigo cha kushtukiza wa Natenyahu na Serikali yake - ndio maana nasemaga wakatimwingine huwa utafakari mambo kiundani una copy copy tu taarifa kutoka kwenye highly questionable sources mradi uwaseme vibaya Waarabu na Warusi- ndio ulivyo!

Hehehe Sheikh ningeshangaa huu mtanange unaisha haujaandika zile insha zako, poleni sana ila ndio hivyo, ndugu zako hao watachezea kichapo kitakachosuluhisha huo upumbavu wenu kwa miaka 50 ijayo, wanawahishwa kwa mabikira wale 72.
 
Waarabu (wageni) wamejazana North Africa na hakuna Mwafrika mweusi anayewasumbua. Hao Waarabu wa Kipalestina wawaache Wayahudi wakae kwa kutulia.
Kwanini huwakaribishi kwako?

Hao kondoo walikwenda kama wakimbizi waliokuwa wakiuliwa na wakatoliki wa Ulaya, sasa imekuwa nchi yao. hawana heri hata kidogo.
 
Back
Top Bottom