Laki mbili wamekosa Makazi baada ya kichapo Cha Siku 3 ....na badoWapalestina million 9 hawana makazi, siyo laki mbili.
Million 6 ni wakimbizi nje ya Palestina.
Kumbuka hilo.
Punguwani wahed.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki mbili wamekosa Makazi baada ya kichapo Cha Siku 3 ....na badoWapalestina million 9 hawana makazi, siyo laki mbili.
Million 6 ni wakimbizi nje ya Palestina.
Kumbuka hilo.
Punguwani wahed.
Usijidanganye, Millioni 9 hawana makazi tokea mwaka 1948.Laki mbili wamekosa Makazi baada ya kichapo Cha Siku 3 ....na bado
huwezi kupata jawabu kwani hao wanaochekelea Israel kuwapiga wapalestina wanawazia upande wa dini fulani tu na wala hawasomi historia wakafunguka ubongo.Hii vita suluhu iwe ni nini?
Maana wayahudi wanazidi kutanua makazi tofauti na mkataba wa awali wa mgawanyo. Na wamekua wakiwatesa majirani zao. Hebu toa neno.
Mind you mimi sina ushabiki hapa. Yangu, ya ndugu zangu na ya nchi hii tu yananitosha.
Anaendelea kuamini hiyo statistic ? Majengo na mabomu yanayorushwa? Majengo yote yataangushwa halafu utaambiwa waliokuwa ni 1000 tu.. hizo ndizo propaganda wakati uhalisia ni maelfu wamekula ionekane Israel watu wake ndio wamekula zaidi usiamini vyombo vya habari sana fatilia live uione Gaza inavyoteketea[emoji298][emoji298]Update
Israeli death toll rises to more than 1,200
While 900 Palestinian have killed so far.
Source:BBC
vipi wewe umeweza kuikataa CCM ??kwann wasiwakatae hao HAMAS ?
Sijidanganyi,mleta mad aliwazungumzia 200,000.ambao wamekosa Makazi baada ya kulichokoza dude!
Bahati mbaya sana sina muda wa kufungua hivyo vi clip vyako.Ninaangalia Live,asante lakini kwa kutaka kunijuzaUnaongelea Watoto hawa waliozaliwa vitani?
View attachment 2778461
Au unaongelea wacheza kiduku wa kwenu?
Huyu dikteta anayeongea hivyo alikuwa ni dini gani, tuanzie hapo kwanza.
Kwani duniani kuna "dini" gani wewe?Huyu dikteta anayeongea hivyo alikuwa ni dini gani, tuanzie hapo kwanza.
Nonsense.Kwani duniani kuna "dini" gani wewe?
We kibibi hata akili huna,mnajazwa Ujinga tu na dini yenu yenye fitina.Hamas ndiye aliyewafata ashkenazi ulaya?