Wapalestina 200,000 wabaki bila makazi, wanaishi kwa misaada ya Umoja wa Mataifa (UN)


Unaongelea Watoto hawa waliozaliwa vitani?

Your browser is not able to display this video.


Au unaongelea wacheza kiduku wa kwenu?
 
Adithi zako bwana, hivi taifa ambalo lipo kwenye crippling siege linawezaje tena kutoa kupigo cha kushtukiza wa Natenyahu na Serikali yake - ndio maana nasemaga wakatimwingine huwa utafakari mambo kiundani una copy copy tu taarifa kutoka kwenye highly questionable sources mradi uwaseme vibaya Waarabu na Warusi- ndio ulivyo!
 
Na wanachapika haswa,ukienda kwa page zao Wapalestina kule Instagram wanalia mpaka sauti zinawakauka tena wanaume sasa.Mahospital wamejazana utadhani wako mtaa wa Congo K.koo.
Wao wanajifanya wanajua sana
 
Bado hawajasema, na ni upuuzi kuanza kumlaum Mu Israel.

Yani tujaribu kukaa chini tuache kutazama ya nyuma! Kama Hamas wasinge ivamia Israel on Saturday na kufanya unyama ule huku wakisema Allah Akbar, leo Gaza ingekuwa katika hali hiyo?

Israel ni viumbe wengine sio CCM wale, nq hapo Operation Iron Sword ndo inaanza, maana ni historia inatengenezwa na Israel ili vizazi vijavyo vya Palestina vikikaa kujadili uhuni dhidi ya [emoji1134], wakumbushane juu ya operation Iron Sword.

Hapo badooo, kwa ufupi ni kwamba, Israel inaenda kufuta magaidi eneo lile.

I STAND WITH ISRAEL [emoji1134]
 
Mungu huyo, Alishindwaje kuwasaidia kabla ya vita kuanza?

Mungu huyo Hayupo.

Mungu gani ana shuhudia vita na maelfu ya watu wakifa afu yeye katulia zake huko aliko?

Kama Mungu huyo yupo, Basi ni mkatili sana.
umekariri na vi information vyaku okoteza okoteza bado akili yako ni ndogo kujua haya mambo.
 
Hiyo ndiyo ukisikia free will.

Ufanye mema au ufanye mabaya, Mungu hayampunguzii wala hayamzidishii.

Kazi ni kwako.
Sasa kwa nini ukifanya mabaya akuadhibu?

Kama mabaya hayampunguzii na hayamzidishii kwa nini atake binadamu wote tumjue yeye na tutende mema?

Mema yanamsaidia nini?
 
umekariri na vi information vyaku okoteza okoteza bado akili yako ni ndogo kujua haya mambo.
Wewe Akili yako inajua nini?

Hujibu unacho ulizwa unajibu usivyo ulizwa, Kama una akili kubwa

Nakwambia hivi, 👇

Mungu huyo, Alishindwaje kuwasaidia watu hao kabla ya vita kuanza?

Jibu hoja hoja acha viroja.
 
[emoji298][emoji298]Update
Israeli death toll rises to more than 1,200
While 900 Palestinian have killed so far.

Source:BBC
Acha Israel ijilipizie kisasi chake. Haya mambo ya kuuwa wapelestina kibao yalianza enzi zile za akina mfalme Daudi. Hivyo sioni ajabu hawa watu kuendelea kuuwana hadi leo!
 
Tunamuomba Mungu aingilie kati vita hiyo iishe, kama HAMAS wangekuwa waungwana mbali na vifo hivyo 900 walivyosababisha inatakiwa waachie hao mateka waliowashikilia, huwezi kulalamika tunapigwa na tunataka vita iishe na huku mna mataka mikononi.
 

Hehehe Sheikh ningeshangaa huu mtanange unaisha haujaandika zile insha zako, poleni sana ila ndio hivyo, ndugu zako hao watachezea kichapo kitakachosuluhisha huo upumbavu wenu kwa miaka 50 ijayo, wanawahishwa kwa mabikira wale 72.
 
Waarabu (wageni) wamejazana North Africa na hakuna Mwafrika mweusi anayewasumbua. Hao Waarabu wa Kipalestina wawaache Wayahudi wakae kwa kutulia.
Kwanini huwakaribishi kwako?

Hao kondoo walikwenda kama wakimbizi waliokuwa wakiuliwa na wakatoliki wa Ulaya, sasa imekuwa nchi yao. hawana heri hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…