Wapalestina 200,000 wabaki bila makazi, wanaishi kwa misaada ya Umoja wa Mataifa (UN)

Mwanamgambo wa Ukraine umehamia huku
 
We kibibi hata akili huna,mnajazwa Ujinga tu na dini yenu yenye fitina.
Wewe achana na ujinga wangu binafsi, jibu hoja zangu. Ukishindwa kujibu elewa kuwa umeikalia nondo ya moto iliyokuingia vizuri kabisa.
 
[emoji298][emoji298]Update
Israeli death toll rises to more than 1,200
While 900 Palestinian have killed so far.

Source:BBC
Hizo ni mbinu za kivita, Israel wanatafuta huruma kwamba wameuwawa wengi ila ukweli unajulikana ni wakina nani wanakufa sana.

"War tactics"
 
Mungu huyo, Alishindwaje kuwasaidia kabla ya vita kuanza?

Mungu huyo Hayupo.

Mungu gani ana shuhudia vita na maelfu ya watu wakifa afu yeye katulia zake huko aliko?

Kama Mungu huyo yupo, Basi ni mkatili sana.
Acha asiendelee kuwepo kwa kuwa wewe ni mpumbafu, vita ikiisha atarudi
 
Binyamin Netanyahu was very clear; wala hakumung'unya maneno; anataka atoe funzo vizazi kwa vizazi vipate reference ya kudumu!
Ila hayo majamaa hadi yapate funzo la kudumu, labda ayaue yote na halafu yatolewe pale kabisa!! Hakuna hata mzoga kubaki.
 
Acha asiendelee kuwepo kwa kuwa wewe ni mpumbafu, vita ikiisha atarudi
Hujibu unacho ulizwa, unajibu usivyo ulizwa.

Another petty bloated, entitled brat throwing tantrums.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
 
Hujibu unacho ulizwa, unajibu usivyo ulizwa.

Another petty bloated, entitled brat throwing tantrums.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Bado nitakuita mpumbafu kwa sababu hautambui uwepo wa Mungu. Mimi sina ligi na mtu asiye na akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…