Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Ukiwa muumini wa dini ya mnyazimungu,mvaa vipedo na makobazi, kichwa badala ya kutumia kufikiri, unatumia kufugia nywele na ndevu!
Nu ukiwa muumini wa mtu aliyetahiriwa siku ya nane baada ya kuzaliwa,kichwa unatumia kufanya nini!?
 
Hawa watu wa kwenda kula bikira hawanaga akili jombaa achana nao. Kuna sehem nilikuwa juz huku China walishaambiwa hakuna kuita watu kusali asubuhi kila mtu anajua Wakat wa kusali. Wakajichanganya. Mzee Baba usiombe. Xi Jin ping hafai. Hakuna cha msikitin wala ***** aliyebaki. Na hakuna vyombo vya habari watu ni kukamatwa tu bila sababu.
Na unaona Hilo ni Jambo la maana na kuamini una akili!?
 
Sasa sisi Wayahudi Israel toka Bonyokwa tutaficha wapi sura zetu [emoji2961][emoji2961][emoji2961] aibu naona mimi acha nilie kwa uchungu[emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
IMG_20231118_071452.jpg
 
We bibi unajipa matumaini hewa huku umejifungia Canada hapo unalea wajukuu na kunyoosha miguu mezani utajulia wapi vita.

Hapa US kulikuwa na jamaa wawili wa Kiisrael tangu vita ianze wiki 2 hivi nikawa siwaoni ndio nikamuuliza mmoja akaniambia hao wamerudi kwa hiyari yao kwenye reserve units zao.

Sasa Wapalestina wanaandama tu na kulia lia kuomba jumuiya na mashirika ya kimataifa kuomba vita isitishwe huku wanaishi na tatizo.

Hamas wanajificha kwenye majengo kama hospital, vituo vya kulea watoto, shule, na karibia na ofisi za mashirika ya UN na NGO zingine , wanaoumia kinyume chake ni wengine!

Viongozi wengine wa Hamas wanakula upepo tu nje ya nchi halafu wanamgambo wanajificha kushield raia wasio na silaha!

Ushindi gani huo bibi unaosema Hamas wamepata au ndio kama ule ushindi mnaojitangazia CCM miaka na miaka kumbe mmeshapiga kura zingine kabla mnaongezea kwenye masanduku ya kura halafu baadae mnasema mmeshinda kwa kishindo.?
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Hamas wamewaletea wapalestina wa Gaza maafa.

Ushindi gani huo ilihali mji wote umegeuzwa kifusi huku raia 12,000 wakiuliwa ?
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Panya wa HAMAS wakijisalimisha kwa Askari wa Israel- Leo 22-11-2023
 

Attachments

  • SaveInsta.App - 3241772130307143607.mp4
    2.9 MB
Vita haijaisha, wameshinda mapigano ya Ghaza na wamewalazimisha wazayuni kusimamisha mapigano (ceasefire) kwa masharti yao.

Nani alikwambia vita imeisha?

Hivi hizo shule mlienda kusimea ujinga?
Kusimea ndio kitu gani?

Huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Sijui kwa nn msomi kama wewe "kuna wakati unaandika and I know ni msomi na mwelewa sana" Unaweza kukubali kujidanganya kwa kiwango hicho.
Hukubali kama mapigano yamesitishwa kwa kukubaluliwa masharti ya Hamas ambayo mazayuni kwanza walikuwa wanayakataa? Au kipi unachokiona wewe ni "kujidanganya"?

Narudia: Huu ni ushindi kwa Hamas, kwa kukubaliwa masharti yao ya kusimamisha mapigano, vita inaendelea.

Ushahidi mwingine huu hapa:

 
..Hamas watakuwa wameshinda kama watakomboa ardhi yao na kusimika serikali ya taifa la Palestina.
Mbona yameshaanza kuongelewa hayo, waume zao israel sasa hivi wanaliongea hilo.
Kimbembe cha Wayemeni cha meli kimebadilisha kabisa lugha za wayahudi na wamerekani. Wanafahamu wakileta mdomo, uchumi wa USA unakufa.
 
Wewe shuleni ulisomea ujinga bila shaka.

Makubaliano hayakufikiwa kwa masharti ya magaidi ya Hamas, bali ni kutokana na juhudi za USULUHISHI wa Qatar na Misri, ili kutoa mwanya kwa misaada ya kibinadamu kama chakula, madawa, nk kufikishwa huko..
View attachment 2821874
Sasa ulifikiri mimi nakiongelea nini?

Naongelea huo ushindi wa kusitisha mapigano.
 
Ushindi gani unaongelea wewe bibi tarabushi FaizaFoxy wakati Gaza kaskazini inakaliwa na Israeli.Majengo yote ya serikali,makao makuu ya Hamas,mahospitali,shule ,misikiti yote ipo chini ya Israeli;Pande zote,ardhini,majini na angani!
Naongelea ushindi wa kusimamisha mapigano, misada ya mahitaji muhimu ya kibinaadam iingie, mateka waanze kuwachiwa, yote hayo ambayo wayahudi walikuwa wanasema hawataki mpaka wawamalize Hamas.

Hamas wapo na masharti yao ypote ndiyo yaliyokubaliwa, ndiyo ushindi wenyewe.
 
Acheni ushabiki

Nimeangalia sana Al Jazeera na ccn Leo makubaliano yapo hivi

a)Hamas wataachia mateka 53 na Israel wataachia mateka 153 yaani Kila muisrael mmoja akiachiwa wapalestina watatu wanaachiwa

b) Israel amekubali matakwa hayo hapo juu kwa kusitisha vita
Kwa siku 4(nne) tu.... Baada ya hapo vita inaendelea kama kawaida

Ndani ya hizo siku nne, palestina watapokea misaada ya chakula na mafuta.... Kuna madaktari maalum wataingia palestina kuwatibu mateka wa Israel wataobaki ndani ya hizo siku 4 tu

c) mabadilishano ya mateka yatafanyika Egypt

d) baada ya hapo Israel wametoa ofa ya kusitisha vita kwa siku Moja Hamas wakiachia mateka 10.... Yaani baada ya siku hizo nne.... Israel anarudi vitani... Hamas wakitaka misaada ipite tena inatakiwa waruhusu mateka 10 wa Israel ili wasimamishe vita kwa siku Moja wapewe misaada Ina maana wakiachia watu 30 watapewa siku 3

Sasa kwa kuangalia hapo Hamas watabanwa mpaka wamalize mateka wote afu sasa sijui wataleta nini kwenye negotiation table.... Maana kinachomzuia Israel asifanye all out war ni hao mateka wake tu, sasa unaambiwa ukitaka kupumzika siku Moja upewe chakula na mafuta inatakiwa utoe watu 10, hao mateka si wataisha


Israel amekubali kusimamisha vita kwa siku 4 tu baada ya hapo vita ipo pale pale... Sioni mantiki ya kusema Hamas wameshinda chochote


NB: I don't condemn war at all

Vita sio ishu natamani wapate Amani ya kudumu Hali ni mbaya, Israel wameua wapalestina elfu 20 ndani ya mwezi mmoja wakati inakadiriwa marekani aliua wa Afghanistan elfu 70 kwa kipindi Cha miaka yote 20 aliyowakalia mabavu....
Very well presented
 
Naongelea ushindi wa kusimamisha mapigano, misada ya mahitaji muhimu ya kibinaadam iingie, mateka waanze kuwachiwa, yote hayo ambayo wayahudi walikuwa wanasema hawataki mpaka wawamalize Hamas.

Hamas wapo na masharti yao ypote ndiyo yaliyokubaliwa, ndiyo ushindi wenyewe.
Mpaka mateka waachiwe
 
Agenda ya kuifuta HAMAS haijabadilika na mipango ya muda mrefu kuhusu Gaza ilishapangwa kinachoendelea ni UTEKELEZAJI tu
 
Kuwa
Umeua 1200 kauwa 13000 alafu Hamas kashinda. Akili nywele
Mkuu kwani kuuwa wengi ndo ushindi?

Ushindi ni kufikia malengo yao ambayo ni kuifuta Hamas pamoja na kuwaokoa mateka bila ya majadiliano.

Kuifuta Hamas bado maana mapigano yanaendelea na pia mateka bado hawajaokolewa ndiyo maana kulikuwepo na majadiliano ya kusimamisha vita kwa muda ili wawaachie baadhi ya mateka.
 
Shughuli ya KUBADILISHA mateka ikiisha zoezi la Kichapo linaendelea kama kawaida
Siyo zoezi la kichapo. Zoezi la mauwaji ya watoto na wanawake.

Kama waliamini wapiganaji/wanamgambo wa Hamas wapo chini ya hizo hospital na imegundulika siyo kweli, huoni kuwa ni genocidal campaign?
 
Back
Top Bottom