Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Hizo hesabu wanakupa wao?

Halafu wao wanaua wagonjwa, kina mama na watoto wadogo. Kuna jeshi likapiga hospitali na kambi za wakimbizi?

Wao wameuliwa skari wao wa kizayuni, wengi sana, hawasemi.

Cheza na watu waliojitowa mhanga?

Si hao wajomba zake mungu wako walisema hawasitishi mapigano mpaka wawamalize Hamas? Kicha[o walichochezea wenyewe wamewachia, kwa aibu tena, hata kutangaza wanaona tabu.

Na hii inaweza kuwa ndiyo safari ya netanyahu.
Unawaza unafiki wa waarabu wanao pia wayahudi. Wameshasema mpaka malengo yao yatimie.
Kuwa

Mkuu kwani kuuwa wengi ndo ushindi?

Ushindi ni kufikia malengo yao ambayo ni kuifuta Hamas pamoja na kuwaokoa mateka bila ya majadiliano.

Kuifuta Hamas bado maana mapigano yanaendelea na pia mateka bado hawajaokolewa ndiyo maana kulikuwepo na majadiliano ya kusimamisha vita kwa muda ili wawaachie baadhi ya mateka.
Hayo majadiliano wamefanya na marekani siyo na israel
 
Aibu kapata israel na netanyahu kaua watoto kashindwa kuwaangamiza hamas , kashindwa kuwapata mateka , kakubali kuwaachi wafungwa 150 kwa mateka 50, neyanyahu kapoteza imani kwa waisrael na kwa forced kunegotiate ili alinde heshima yake kutokana na shinikizo kutoka kwa waisrael ,kiufupi kashindwa vita
Tumia akili mazungumzo kafanya marekani siyo Israel. Na ndiyo maana Israel wamesema Vita itaendelea
 
Siyo zoezi la kichapo. Zoezi la mauwaji ya watoto na wanawake.

Kama waliamini wapiganaji/wanamgambo wa Hamas wapo chini ya hizo hospital na imegundulika siyo kweli, huoni kuwa ni genocidal campaign?
Mashimo ya nini hospital. Hakuna genocidal campaign. Sababu hata hamas waliua watoto wanawake pia. Au maroketi yalichagua wanajeshi?
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Hizo bange mnazovuta ndio maana IDF inatwanga hata Wanawake. Acha bange
 
Wanaume wakifa wanapewa bikra 72 ila wewe bibi ukifa unapata nini waume 72 wenye miguvu au mbwa 72 wakushughulikie?
 
Mashimo ya nini hospital. Hakuna genocidal campaign. Sababu hata hamas waliua watoto wanawake pia. Au maroketi yalichagua wanajeshi?
Hakuna hospital kule ambayo hakuna mashimo. Na mengi yalikuwa ya Israel.

Sijui unazungumzia vita ipi? Lakini Hamas wamewateka. Niwekee picha au video za hao watoto waliouwawa October 7.

Au unazungumzia watoto wa vita zilizopita?
 
Ww Ajuza sidhani kama una akili timamu, vyanzo vyako vya habari ni kutoka kwenye Uislamu sasa unategemea wataongea chcht kupinga Waislamu wenzao.?
Ww n mwanamke mpumbavu kama Wapumbavu wemgine
Waislam siyo kama wewe, hawasemi uongo.
 
Tumia akili mazungumzo kafanya marekani siyo Israel. Na ndiyo maana Israel wamesema Vita itaendelea
Kwani hujui kwamba marekani ndio ana act on behalf of israel na hujui kama gharama za vita zote anagharamia marekani? Basic things kama hizi pia huzijui
 
1.5 million displaced,
No working hospital,
No food, no fuel, no water, no electricity.
Still won the war?
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Hivi mpaka sasa wajomba zako Wapalestina wamekufa wangapi ukilinganisha na wababe zao Wayahudi? Hivi umeona jinsi Palestina ilivyoteketea lakini, unafuatilia hizi habari kwa ukaribu kweli? Kwa taarifa yako basi, hii vita imesitishwa tu kwa siku kadhaa ili kubadilishana mateka na baada ya hapo Israel wataendelea kuwabamiza Wapalestina kama kawa. Fuatilia taarifa ya habari vizuri mke wa Hamas, unapotoka kikongwe wewe.
 
Hamas wapo consistency wanajuwa nin wanafanya wakishamaliza mateka wanajua watamshika wapi Israel
 
Sijui kwa nn msomi kama wewe "kuna wakati unaandika and I know ni msomi na mwelewa sana" Unaweza kukubali kujidanganya kwa kiwango hicho.
Muddy(56) mme wa bi. Asha(6) amempofusha macho huyo.
FB_IMG_1700453646719.jpg
 
Back
Top Bottom