inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nu ukiwa muumini wa mtu aliyetahiriwa siku ya nane baada ya kuzaliwa,kichwa unatumia kufanya nini!?Ukiwa muumini wa dini ya mnyazimungu,mvaa vipedo na makobazi, kichwa badala ya kutumia kufikiri, unatumia kufugia nywele na ndevu!
Na unaona Hilo ni Jambo la maana na kuamini una akili!?Hawa watu wa kwenda kula bikira hawanaga akili jombaa achana nao. Kuna sehem nilikuwa juz huku China walishaambiwa hakuna kuita watu kusali asubuhi kila mtu anajua Wakat wa kusali. Wakajichanganya. Mzee Baba usiombe. Xi Jin ping hafai. Hakuna cha msikitin wala ***** aliyebaki. Na hakuna vyombo vya habari watu ni kukamatwa tu bila sababu.
Hamas wamewaletea wapalestina wa Gaza maafa.Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.
Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:
- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi
Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:
- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza
Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?
Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:
View attachment 2821803
Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.
Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.
Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.
Video clips zinafatia.
Lakini
Panya wa HAMAS wakijisalimisha kwa Askari wa Israel- Leo 22-11-2023Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.
Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:
- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi
Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:
- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza
Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?
Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:
View attachment 2821803
Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.
Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.
Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.
Video clips zinafatia.
Lakini
Kusimea ndio kitu gani?Vita haijaisha, wameshinda mapigano ya Ghaza na wamewalazimisha wazayuni kusimamisha mapigano (ceasefire) kwa masharti yao.
Nani alikwambia vita imeisha?
Hivi hizo shule mlienda kusimea ujinga?
Hukubali kama mapigano yamesitishwa kwa kukubaluliwa masharti ya Hamas ambayo mazayuni kwanza walikuwa wanayakataa? Au kipi unachokiona wewe ni "kujidanganya"?Sijui kwa nn msomi kama wewe "kuna wakati unaandika and I know ni msomi na mwelewa sana" Unaweza kukubali kujidanganya kwa kiwango hicho.
Mbona yameshaanza kuongelewa hayo, waume zao israel sasa hivi wanaliongea hilo...Hamas watakuwa wameshinda kama watakomboa ardhi yao na kusimika serikali ya taifa la Palestina.
Sasa ulifikiri mimi nakiongelea nini?Wewe shuleni ulisomea ujinga bila shaka.
Makubaliano hayakufikiwa kwa masharti ya magaidi ya Hamas, bali ni kutokana na juhudi za USULUHISHI wa Qatar na Misri, ili kutoa mwanya kwa misaada ya kibinadamu kama chakula, madawa, nk kufikishwa huko..
View attachment 2821874
Naongelea ushindi wa kusimamisha mapigano, misada ya mahitaji muhimu ya kibinaadam iingie, mateka waanze kuwachiwa, yote hayo ambayo wayahudi walikuwa wanasema hawataki mpaka wawamalize Hamas.Ushindi gani unaongelea wewe bibi tarabushi FaizaFoxy wakati Gaza kaskazini inakaliwa na Israeli.Majengo yote ya serikali,makao makuu ya Hamas,mahospitali,shule ,misikiti yote ipo chini ya Israeli;Pande zote,ardhini,majini na angani!
Very well presentedAcheni ushabiki
Nimeangalia sana Al Jazeera na ccn Leo makubaliano yapo hivi
a)Hamas wataachia mateka 53 na Israel wataachia mateka 153 yaani Kila muisrael mmoja akiachiwa wapalestina watatu wanaachiwa
b) Israel amekubali matakwa hayo hapo juu kwa kusitisha vita
Kwa siku 4(nne) tu.... Baada ya hapo vita inaendelea kama kawaida
Ndani ya hizo siku nne, palestina watapokea misaada ya chakula na mafuta.... Kuna madaktari maalum wataingia palestina kuwatibu mateka wa Israel wataobaki ndani ya hizo siku 4 tu
c) mabadilishano ya mateka yatafanyika Egypt
d) baada ya hapo Israel wametoa ofa ya kusitisha vita kwa siku Moja Hamas wakiachia mateka 10.... Yaani baada ya siku hizo nne.... Israel anarudi vitani... Hamas wakitaka misaada ipite tena inatakiwa waruhusu mateka 10 wa Israel ili wasimamishe vita kwa siku Moja wapewe misaada Ina maana wakiachia watu 30 watapewa siku 3
Sasa kwa kuangalia hapo Hamas watabanwa mpaka wamalize mateka wote afu sasa sijui wataleta nini kwenye negotiation table.... Maana kinachomzuia Israel asifanye all out war ni hao mateka wake tu, sasa unaambiwa ukitaka kupumzika siku Moja upewe chakula na mafuta inatakiwa utoe watu 10, hao mateka si wataisha
Israel amekubali kusimamisha vita kwa siku 4 tu baada ya hapo vita ipo pale pale... Sioni mantiki ya kusema Hamas wameshinda chochote
NB: I don't condemn war at all
Vita sio ishu natamani wapate Amani ya kudumu Hali ni mbaya, Israel wameua wapalestina elfu 20 ndani ya mwezi mmoja wakati inakadiriwa marekani aliua wa Afghanistan elfu 70 kwa kipindi Cha miaka yote 20 aliyowakalia mabavu....
Mpaka mateka waachiweNaongelea ushindi wa kusimamisha mapigano, misada ya mahitaji muhimu ya kibinaadam iingie, mateka waanze kuwachiwa, yote hayo ambayo wayahudi walikuwa wanasema hawataki mpaka wawamalize Hamas.
Hamas wapo na masharti yao ypote ndiyo yaliyokubaliwa, ndiyo ushindi wenyewe.
Mkuu kwani kuuwa wengi ndo ushindi?Umeua 1200 kauwa 13000 alafu Hamas kashinda. Akili nywele
Siyo zoezi la kichapo. Zoezi la mauwaji ya watoto na wanawake.Shughuli ya KUBADILISHA mateka ikiisha zoezi la Kichapo linaendelea kama kawaida