Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

Wapalestina wamepata ushindi mkubwa vita ya Ghaza mpaka sasa. Nini kimepelekea ushindi wao huo?

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:

- Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:

- Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:





Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
 
Luloliyumi
 

Attachments

  • IMG-20231113-WA0001.jpg
    IMG-20231113-WA0001.jpg
    33.6 KB · Views: 5
Acheni ushabiki

Nimeangalia sana Al Jazeera na ccn Leo makubaliano yapo hivi

a)Hamas wataachia mateka 53 na Israel wataachia mateka 153 yaani Kila muisrael mmoja akiachiwa wapalestina watatu wanaachiwa

b) Israel amekubali matakwa hayo hapo juu kwa kusitisha vita
Kwa siku 4(nne) tu.... Baada ya hapo vita inaendelea kama kawaida

Ndani ya hizo siku nne, palestina watapokea misaada ya chakula na mafuta.... Kuna madaktari maalum wataingia palestina kuwatibu mateka wa Israel wataobaki ndani ya hizo siku 4 tu

c) mabadilishano ya mateka yatafanyika Egypt

d) baada ya hapo Israel wametoa ofa ya kusitisha vita kwa siku Moja Hamas wakiachia mateka 10.... Yaani baada ya siku hizo nne.... Israel anarudi vitani... Hamas wakitaka misaada ipite tena inatakiwa waruhusu mateka 10 wa Israel ili wasimamishe vita kwa siku Moja wapewe misaada Ina maana wakiachia watu 30 watapewa siku 3

Sasa kwa kuangalia hapo Hamas watabanwa mpaka wamalize mateka wote afu sasa sijui wataleta nini kwenye negotiation table.... Maana kinachomzuia Israel asifanye all out war ni hao mateka wake tu, sasa unaambiwa ukitaka kupumzika siku Moja upewe chakula na mafuta inatakiwa utoe watu 10, hao mateka si wataisha


Israel amekubali kusimamisha vita kwa siku 4 tu baada ya hapo vita ipo pale pale... Sioni mantiki ya kusema Hamas wameshinda chochote


NB: I don't condemn war at all

Vita sio ishu natamani wapate Amani ya kudumu Hali ni mbaya, Israel wameua wapalestina elfu 20 ndani ya mwezi mmoja wakati inakadiriwa marekani aliua wa Afghanistan elfu 70 kwa kipindi Cha miaka yote 20 aliyowakalia mabavu....
 
Umeua 1200 kauwa 13000 alafu Hamas kashinda. Akili nywele
Hizo hesabu wanakupa wao?

Halafu wao wanaua wagonjwa, kina mama na watoto wadogo. Kuna jeshi likapiga hospitali na kambi za wakimbizi?

Wao wameuliwa skari wao wa kizayuni, wengi sana, hawasemi.

Cheza na watu waliojitowa mhanga?

Si hao wajomba zake mungu wako walisema hawasitishi mapigano mpaka wawamalize Hamas? Kicha[o walichochezea wenyewe wamewachia, kwa aibu tena, hata kutangaza wanaona tabu.

Na hii inaweza kuwa ndiyo safari ya netanyahu.
 
Fatilia kurasa mbalimbali za balozi za palestine ktk nchi mbalimbali...!

Utapata kujielimisha wao wenyewe kama serikali wana semaje? Wana mtazamo gani? Kwanini wanaiomba dunia ipaze sauti? Na video mbalimbali kuonesha dunia/ulimwengu zidi ya mauaji na kadhia mbalimbali zifanyavyo na Israel dhidi ya wapalestine katika palestine na nchi kama Lebanon nk...!
 
Mazayuni wamekubali masharti yote ya kusitisha mapigano yaliyowekwa na Hamas kinyume ma matakwa yao.

Hivi sasa mapigano yamesimamishwa rasmi huko Ghaza. Jana niliandika hivi:


Siku za mwanzoni mwanzoniwa haya mapigano niliandika hivi:



Sasa tujadili ni nini kilichopekea mazayuni kushindwa mapigano na kusimamisha vita?

Hamas wanasema silaha zao za tabata ya ghaza ndizo zilizopelkea kuwainamisha mazayuni mpaka wasalimu amri. Jionee:


View attachment 2821803


Leo masaa kadhaa baada ya mazayuni kukubali kusimamisha vita na Wapalestina kutoka mafichoni Ghaza na kuanza kusherehekea ushindi, Netanyahu kageuka tena na kusema hajasitisha mapigano.

Haijulikani ni yeye mwenyewe kabadili maamuzi au mabwana zake wa Marekani wamemuamuru abadili maamuzi.

Vijana wa Kipalestina kusikia hivyo, wakalianzisha tena.

Video clips zinafatia.

Lakini
Hatari unaripoti ukitokea wapi mkuu maana hii tunashangilia pamoja kushindwa mazayuni na watu waliomtegemea Allah bila kujali majiguvu ni bebe ya mazayuni!
 
Fatilia kurasa mbalimbali za balozi za palestine ktk nchi mbalimbali...!

Utapata kujielimisha wao wenyewe kama serikali wana semaje? Wana mtazamo gani? Kwanini wanaiomba dunia ipaze sauti? Na video mbalimbali kuonesha dunia/ulimwengu zidi ya mauaji na kadhia mbalimbali zifanyavyo na Israel dhidi ya wapalestine katika palestine na nchi kama Lebanon nk...!
Wewe ulifikiri kazi ya balozi ni nini? Kutangaza mapigano?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Umeua 1200 kauwa 13000 alafu Hamas kashinda. Akili nywele
Aibu kapata israel na netanyahu kaua watoto kashindwa kuwaangamiza hamas , kashindwa kuwapata mateka , kakubali kuwaachi wafungwa 150 kwa mateka 50, neyanyahu kapoteza imani kwa waisrael na kwa forced kunegotiate ili alinde heshima yake kutokana na shinikizo kutoka kwa waisrael ,kiufupi kashindwa vita
 
Wizara ya Afya ya Palestina inatoa hizo hesabu. Hivi kumbe kushinda vita ni rahisi namna hii? Kwa nini Bongo tusilianzishe na Marekani? 😁
Vita haijaisha, wameshinda mapigano ya Ghaza na wamewalazimisha wazayuni kusimamisha mapigano (ceasefire) kwa masharti yao.

Nani alikwambia vita imeisha?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Aibu kapata israel na netanyahu kaua watoto kashindwa kuwaangamiza hamas , kashindwa kuwapata mateka , kakubali kuwaachi wafungwa 150 kwa mateka 50, neyanyahu kapoteza imani kwa waisrael na kwa forced kunegotiate ili alinde heshima yake kutokana na shinikizo kutoka kwa waisrael ,kiufupi kashindwa vita
Vita inaendelea, wamesitisha mapigano tu. Mpaka dakika hii israel kashindwa vibaya sana.
 
Back
Top Bottom