Wapambe siku zijazo: Rais Samia ni jembe ameukataa mkataba wa bandari

Wapambe siku zijazo: Rais Samia ni jembe ameukataa mkataba wa bandari

NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
Tumefika hapa tulipo kwasababu ya unyumbu unyumbu ni tabia ya watu wanao fikiri vizuri tulio wapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi zao kwasabu ya malengo ya kundi fulani,(conflict of interest), ama kuogopa viongozi wao .
 
NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
56416415-f378-406c-b883-c8fec3b87011.jpg
 
NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
3 [emoji845]MUHIMU ISOME[emoji845]
#Tanzania
Katika ripoti ya @WorldBankAfrica ghafla DP World imeibuka [emoji2957]
Sasa ngoja niwaeleweshe [emoji1484]

Sehemu ya mkopo na msaada wa $421 milioni kuna pesa ya kujenga mfumo wa IT wa bandari kupitia TPA. Ripoti ya Benki ya Feb 2023 walisema hakuna maendeleo ILA TPA imesema imeingia makubaliano (MoU) na DP World kujenga mfumo huu wa IT [emoji845][emoji32]

ELEWENI: DP World watalipwa kutoka pesa hizi za mkopo wa Benki ya Dunia kusaidia “mifumo isomane” hawawekezi[emoji845]
Pili kwa mujibu wa serikali walisema ile MoU ya TPA na DPW ni kuhusu mfumo wa IT (tunaambiwa ilisainiwa Feb 2022)
Imekuwaje consultancy ya DPW ya IT imegeuzwa kuwa IGA na tunatoa bandari zetu kwa kusema eti DPW watatusaidia mifumo isomane alafu tunawapa uendeshaji wa bandari ambao UMESHAKAMILIKA kwa uwekezaji mkubwa wa mradi huu?
Hii dili ilianza kama CONSULTANCY na kugeuzwa UPORAJI
Sasa @WBTanzania nyie mnasemaje maana tuna kesi na ninyi pia!
20230703_043247.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee, usiingie ktk mkumbo wa kimtandao. Tatizo siyo mwarabu. Ingekuwa tatizo mwarabu. DPW asingefukuzwa nchi zenye nasaba kubwa na waarab kuliko Tanzania. Nakuomba jiepushe na hii kadhia ya kuona tatizo ni uarab wa DPW au uislam wa waarab wa DPW. Kwa kuwa DPW kafurushwa Somalia. Je Tanzania kama nchi inashika uislam kuliko Somalia?

Kuhusu Tanzania na mikataba na taasisi za makanisa hili linawezekana kujadiliwa kabisa. Kwanza tujadili ukomo wa haya makubaliano ya URT na hizo taasisi. Na ikiwezekana kama hayana tija kwa serikali tuvunje hayo makubaliano. Simple. Lakini tusiingie ktk tatizo kisa kuna mtu alikosea pahala.

Tuyatafakari haya.
Kijana DP World ndiyo kwanza wanaongeza bandari nyingine Somalia unasema kafukuzwa? Uongo si mzuri kwa maisha yako ya kila siku.

Jionee, hii website ya DP World Somalia:

 
DR. SLAA ZUNGUMZA UKIBAKIZA MENGINE BUBU ALISEMA KWA UCHUNGU WA MWANAE

———————

WACHA TUSEME

TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO

Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World.

Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa shutuma kali kuwa bandari za Tanganyika zinauzwa na Wazanzibari yaani Waziri wa Ujenzi, Mhe Makame Mbarawa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Lakini ghafla mjadala ukahama kwenye Siasa na ukatawaliwa na hisia kali za kidini.

Sote tumeshuhudia namna viongozi wa dini ya Kikristo hasa wakatoliki wakiongozwa na Kadinali Pengo walivyokuwa wakilipigia kelele suala la Bandari.

Hoja zinazotawala mjadala huu ni mbili.

Hoja ya kwanza ni kwamba mkataba ule umesainiwa na Waziri Mzanzibari na Rais Mzanzibari na kwamba Wanzanzibari hawa wawili wanauza mali za Tanganyika. Hoja yao ya pili inadai kuwa mkataba hauna ukomo wa muda, yaani ni mkataba wa milele.

Hii hoja hii ya pili inashabikiwa sana na viongozi wa Kanisa.

Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa hakuna hata msemaji mmoja, awe mwanasiasa au kiongozi wa Kanisa aliyetoa hoja za kiuchumi na utendaji za kupinga makubaliano hayo.

Badala yake, viongozi wengine kama vile mama Anna Tibaijuka anadiriki kusema uwongo kuhusu sababu za DP World kukataliwa kuendesha Bandari za Marekani.

Mama Tibaijuka anajua vyema lakini hakutaka kusema kuwa sababu ya kukataliwa kuongoza Bandari za New York na New Jersey ni Uwarabu wao na wala si utendaji wao.

Ni kweli Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari hizo lakini walisema wazi kuwa Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama.

Hakuna asiejua msimamo wa Marekani kuhusu Waarabu na Waislamu.

Kwa makusudi kabisa, mama huyu anapotosha watu kwa kufananisha suala la bandari za Marekani na bandari za Dar es Salaam.

Kwenye suala la Dar es Salaam, DP World haikutaka kununua TPA.

Inachopendeza ni kuendesha na si kununua Bandari ya Dar es Salaam.

Suala hili la kuendesha si geni Tanzania.

Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20.

Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu.

Mbona hizi kelele hatukuzisikia?

Wakati wa utawala wa Donald Trump Marekani ilifika hatua ya kupiga marufuku baadhi ya Mataifa ya Arabuni kwa maana Waislamu kuingia Marekani.

Kwa hiyo mama Tibaijuka hakutaka kuwa mkweli kuhusu suala hili.

Ametumia kivuli chake cha kuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwa wakati ule kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye anafahamu zaidi kuhusu ubaya wa DP World.

Mama Tibaijuka amekosa uadilifu (moral authority) wa kuweza kukemea kile alichokiita mkataba mbovu kwa sababu wakati kampuni ya TICTS iliyokuwa inaendesha Bandari ya DSM kwa utendaji wa ovyo huyu mama alikaa kimya hata pale ambapo TICTS walipopewa nyongeza ya mkataba wa miaka 15 bila kufuata sheria za manunuzi.

Lakini jambo la pili, nani asiyejua kuwa mama Anna Tibaijuka alikiri hadharani kuwa alipokea shs 1.6 bilioni ya fedha za rushwa za ESCROW?

Huyu mama ambaye alisema kwa majigambo kuwa shs 1.6 bilioni ni pesa ya mboga ana uchungu gani wa kuwatetea Watanzania masikini?

Bado tunarejea kusema tena kwa kinywa kipana, mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyesema kwa kuonesha ushahidi kuwa DP World hawana uwezo kifedha au utendaji wao ni mbovu. Hakuna aliyesema kuwa hizo fedha ambazo tunaahidiwa ni ahadi hewa kwa sababu DP World hawana uwezo wa kuvutia mizigo kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa mjadala umetawaliwa na CHUKI za kidini na wasemaji wakubwa wamekuwa viongozi wa Kanisa.

Tukumbuke kuwa ni Wakristo hao hao ambao mmoja kati ya viongozi wao waliosema kuwa Rais Samia anafanana na muuza vitumbua!

Makanisa hawakukemea kauli hii ya kumkosea adabu Rais.

Kwa kuwa mjadala wa bandari una chuki za udini, naomba tujikumbushe nafasi ya Makanisa katika nchi hii.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT.

Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote:

Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu?

Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi.

Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa serikali inatoa fedha kwa makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele.

(Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu.

Huyu ni Mkristo.

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.

Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo?

Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU.

Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo.

Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake.

Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021.

Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao.

Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao.

Ukimya huu tuutafsiri vipi?

Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.

Watanzania hawajasahau wakati wa utawala wa Magufuli wameshuhudia mauwaji kule Kibiti na Rufiji ambayo ni Wilaya zenye Waislamu wengi.

Watanzania bado wanakumbuka viroba vyenye miili ya watu vilivyokuwa vinaokotwa Coco Beach kila uchao.

Kanisa lilikuwa wapi wakati Magufuli anatoa roho za watu wasio na hatia?

Masheikh wangapi wamepotea ambao mpaka leo hawajulikani walipo wakati wa utawala wa Magufuli?

Hao waliobahatika wametoka jela wakiwa vilema kama alivyo Sheikh Abdallah Maginga Wambura ambaye kakatwa mguu kutokana na vipigo vya Polisi?

Yuko wapi mwanasiasa Ben Saanane ambaye “kosa” lake ni kuandika kuwa PhD ya Magufuli ni feki?

Yuko wapi mwandishi Azory Gwanda ambaye “kosa” lake lilikuwa kuandika ukweli kuhusu mauwaji ya Kibiti?

Wakati wa utawala wa Magufuli, Mbunge wa Kilwa Kusini Mhe Selemani Bungara maarfu “Bwege” aliwahi kusema Bungeni kuwa raia wake walichukuliwa na askari msikitini na wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo.

Kanisa halikuyaona haya?

Kama Kanisa ilifumbia macho udhalimu na ukatili huu, leo wanapata wapi mdomo wa kukemea hicho wanachokiita mkataba usio na maslahi kwa wananchi?

Ni wananchi gani hao ambao leo Kanisa linajifanya kuwatetea?

Sasa Watanzania wanakumbuka kuwa pamoja na ukatili wote wa Magufuli, ni viongozi hao hao wa Kanisa waliokuwa wakimkaribisha kila Jumapili kwenye Makanisa yao na kumpa nafasi ya kuzungumza.

Leo Kanisa linataka kuwadanganya Watanzania kuwa lina maslahi na wananchi?

Kuna kitu kikubwa zaidi ya uhai?

Wakati watu wanatolewa roho zao na Magufuli Kanisa lilikuwa wapi?

KWANINI WAKRISTO WANAPINGA MKATABA WA BANDARI

Mpaka sasa si Makanisa wala wanasiasa ambao wametoa hoja ya kiuchumi.

Tofauti na Wamarekani ambao walisema hadharani kuwa hawawezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao, hapa Tanzania sababu haswa ya kupinga Mkataba haisemwi hadharani.

Vinatafutwa visingizio tu. Ukweli ni kuwa Mkataba wa Bandari unapingwa na kuwepo kwa fikra potofu za Kanisa kuwa:

Iwapo DP World watapewa zabuni ya kuendesha Bandari, uwepo wao Tanzania utawanufaisha Waislam kwa namna moja au nyingine.

Kuna wanaohofia kuwa iwapo Bandari itafanikiwa, na endapo itatokea fursa ya miradi mingine mikubwa ya kiuchumi, Dubai watakuwa na nafasi nzuri ya kupewa miradi hiyo. Kwa hiyo kuwepo kwao kutaimarisha Uislamu.

Ikiwa DP World watapata tenda ya Bandari, nchi itapata mafanikio makubwa ya kiuchumi ambayo kwa fikra zao potofu yatakuwa yameletwa na Rais Mwislamu. Kwa maana hiyo, Waislamu wanaweza kuongoza nchi kwa ufanisi.

Tayari kuna watu wanaosema kuwa Samia awe Rais wa mwisho Mwislamu Tanzania

Kuna wanaosema Bandari ikipata mafanikio itaonekana kuwa kumbe wanawake wanaweza kuongoza nchi vizuri
Kuna wasemao kuwa Bandari ikifanikiwa itaonekana Wanzanzibari nao wana uwezo sawa na wa Bara katika kuliongoza taifa letu.

Hoja zote hizo ni za kipuuzi.

Mafanikio yakiletwa na Rais Mwislamu au mwanamke au Mzanzibari wataonufaika ni wananchi wote.

Fedha za Bandari zitawanufaisha WOTE kwani anaepanga matumizi ya fedha ni Bunge letu ambalo lina Wabunge Waislamu, Wakristo na wasiokuwa na dini.

MWISHO

Nchi hii Waislamu wamekuwa wakidai kuwa Tanzania ni NCHI YETU SOTE

Waislamu wamekuwa wakidai kuwa idadi yao ni kubwa

Waislamu wanajigamba kuwa wamesoma lakini hawapewi fursa sawa

Kinachoshangaza ni kuwa tokea Mjadala wa Bandari uanze na hata mijadala mingine inayohusu UDINI huwasikii Waislamu kusema lolote.

Wao ni kimyaaaaaaaaaa.

Mjadala wa Bandari umetawaliwa na viongozi wa dini ya Kikristo, Wasomi Wakristo, Taasisi za Kikristo na hata wanasheria waliofungua kesi Mahakamani ni Wakristo.

Kwenye mjadala wa Bandari kuna mafunzo kwa Waislamu.

Sote tujiulize maswali yafuatayo:

Hao Wasomi Waislamu wanaolalamika hawapati fursa leo wako wapi?

Mbona hawapazi sauti zao?

Au Usomi wao ni wa makaratasi na kutafuta ajira tu?

Hiyo haki wanayoidai inaenda na WAJIBU.

Lazima watimize wajibu wao kwa kutumia taaluma na vipawa vyao kupaza sauti zao.

ZIKOWAPI TAASISI ZA KIISLAMU

Au zinasubiri mwezi wa Ramadhani kuomba msamaha wa kodi za tende?

WAKO WAPI MABARAZA YA ULAMAA

Au wanasubiri mwezi wa Ramadhani kualikwa futari IKULU?

WAKO WAPI VIJANA WA KIISLAMU

Hivi kweli nchi hii hakuna hata Waislamu wa kawaida kwenye magenge na vijiwe wakajibu hoja za Wakristo?

Bwana Mtume SAW Anatufundisha tunapoona uovu tuuondoe kwa mikono yetu. Kama hatuwezi basi tukemee.

Na kama hatuwezi kukumea basi angalau tuchukie ingawa kuchukia ni imani dhaifu.

Leo Waislamu kwa mamilioni yetu tunashindwa hata KUSEMA?

Tumeamua kuwa na imani dhaifu na kuwaacha waseme Wakristo peke yao?

MWENYEZIMUNGU ASHUHUDIE TUMEFIKISHA
Wewe ni MUISIHARAMU TENA MUISIHARAMU MPUMMBAVU ...... mimi napinga hata ijabu mashuleni ni upuuzi tu misingi ya dini ya kweli ni moyoni siyo mavazi ...leo watu wenye nyoyo chafu ..wafir.waji wafir j ,makahaba wezi matapeli walarushwa nk..ndiyo wanashabikia dini . Hivyo dini zimegeuka ushabiki siyo maisha ......sifa inayo mfanya mtu kuwa MUISIHARAMU NI KUWA SHABIKI WADINI AU KUSHABIKIA DINI tofauti na MUISLAMU AMBAYE AWEZI KUWA NA USHABIKI KWENYE DINI
 
Kijana DP World ndiyo kwanza wanaongeza bandari nyingine Somalia unasema kafukuzwa? Uongo si mzuri kwa maisha yako ya kila siku.

Jionee, hii website ya DP World Somalia:

Mahala fulani ulisema niache kukufatilia lakini haidhuru, tuendelee na mjadala.
 
 

Attachments

  • B266DDD1-9DA0-48C4-818A-B1D01FED59F3.jpeg
    B266DDD1-9DA0-48C4-818A-B1D01FED59F3.jpeg
    33.9 KB · Views: 2
  • 84972A4B-AAF1-4308-AE75-9C8664704B48.jpeg
    84972A4B-AAF1-4308-AE75-9C8664704B48.jpeg
    37.4 KB · Views: 2
  • 85961424-AEB7-48B7-8725-7AB1D0F84EA5.jpeg
    85961424-AEB7-48B7-8725-7AB1D0F84EA5.jpeg
    32 KB · Views: 2
  • E3F2CC59-D93C-4F28-A914-2BD44835F22F.jpeg
    E3F2CC59-D93C-4F28-A914-2BD44835F22F.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
 
NAPE: "Tukiwaambia Rais yupo kwa ajili ya maslahi ya umma muwe mnaelewa. Rasmi amekaa upande wa Wananchi na ameamrisha huo mkataba usimamishwe kwanza. Samia, oyeee!"

GERSON MSIGWA: "Niliwaambia tokea mwanzo Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan ni msikivu na katika hili nalo kawasikia Wananchi wake. Rais Samia oyee!"

WABONGE: "Ni vizuri mihimili hii ikasikilizana kama Rais Samia aliivyosikilizana nasi kwenye hili. Kama mnavyojua waheshimiwa wabunge wengi walikuwa hawaridhishwi na huo MKATABA kabisa."

MSUKUMA: "Nilishawaambia toka mwanzo rasimali za nchi lazima tuzilinde kwa gharama yeyote ile na kwa hili nampongeza sana mheshimiwa Rais kwa kuwa upande wa Wananchi."

CCM: "Nani kama mamaaaaaaaaa!"

UVCCM: "Tunaandaa maandamano ya amani ili tumpongeza mheshimiwa Rais Samia kwa kuwa msikivu kwenye hili jambo."

NB: ALIYETUROGA!
Una mambo jamaa weye
 
DR. SLAA ZUNGUMZA UKIBAKIZA MENGINE BUBU ALISEMA KWA UCHUNGU WA MWANAE

———————

WACHA TUSEME

TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO

Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World.

Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa shutuma kali kuwa bandari za Tanganyika zinauzwa na Wazanzibari yaani Waziri wa Ujenzi, Mhe Makame Mbarawa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan.

Lakini ghafla mjadala ukahama kwenye Siasa na ukatawaliwa na hisia kali za kidini.

Sote tumeshuhudia namna viongozi wa dini ya Kikristo hasa wakatoliki wakiongozwa na Kadinali Pengo walivyokuwa wakilipigia kelele suala la Bandari.

Hoja zinazotawala mjadala huu ni mbili.

Hoja ya kwanza ni kwamba mkataba ule umesainiwa na Waziri Mzanzibari na Rais Mzanzibari na kwamba Wanzanzibari hawa wawili wanauza mali za Tanganyika. Hoja yao ya pili inadai kuwa mkataba hauna ukomo wa muda, yaani ni mkataba wa milele.

Hii hoja hii ya pili inashabikiwa sana na viongozi wa Kanisa.

Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa hakuna hata msemaji mmoja, awe mwanasiasa au kiongozi wa Kanisa aliyetoa hoja za kiuchumi na utendaji za kupinga makubaliano hayo.

Badala yake, viongozi wengine kama vile mama Anna Tibaijuka anadiriki kusema uwongo kuhusu sababu za DP World kukataliwa kuendesha Bandari za Marekani.

Mama Tibaijuka anajua vyema lakini hakutaka kusema kuwa sababu ya kukataliwa kuongoza Bandari za New York na New Jersey ni Uwarabu wao na wala si utendaji wao.

Ni kweli Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari hizo lakini walisema wazi kuwa Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama.

Hakuna asiejua msimamo wa Marekani kuhusu Waarabu na Waislamu.

Kwa makusudi kabisa, mama huyu anapotosha watu kwa kufananisha suala la bandari za Marekani na bandari za Dar es Salaam.

Kwenye suala la Dar es Salaam, DP World haikutaka kununua TPA.

Inachopendeza ni kuendesha na si kununua Bandari ya Dar es Salaam.

Suala hili la kuendesha si geni Tanzania.

Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20.

Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu.

Mbona hizi kelele hatukuzisikia?

Wakati wa utawala wa Donald Trump Marekani ilifika hatua ya kupiga marufuku baadhi ya Mataifa ya Arabuni kwa maana Waislamu kuingia Marekani.

Kwa hiyo mama Tibaijuka hakutaka kuwa mkweli kuhusu suala hili.

Ametumia kivuli chake cha kuwa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa kwa wakati ule kuwaaminisha Watanzania kuwa yeye anafahamu zaidi kuhusu ubaya wa DP World.

Mama Tibaijuka amekosa uadilifu (moral authority) wa kuweza kukemea kile alichokiita mkataba mbovu kwa sababu wakati kampuni ya TICTS iliyokuwa inaendesha Bandari ya DSM kwa utendaji wa ovyo huyu mama alikaa kimya hata pale ambapo TICTS walipopewa nyongeza ya mkataba wa miaka 15 bila kufuata sheria za manunuzi.

Lakini jambo la pili, nani asiyejua kuwa mama Anna Tibaijuka alikiri hadharani kuwa alipokea shs 1.6 bilioni ya fedha za rushwa za ESCROW?

Huyu mama ambaye alisema kwa majigambo kuwa shs 1.6 bilioni ni pesa ya mboga ana uchungu gani wa kuwatetea Watanzania masikini?

Bado tunarejea kusema tena kwa kinywa kipana, mpaka sasa hakuna mtu hata mmoja aliyesema kwa kuonesha ushahidi kuwa DP World hawana uwezo kifedha au utendaji wao ni mbovu. Hakuna aliyesema kuwa hizo fedha ambazo tunaahidiwa ni ahadi hewa kwa sababu DP World hawana uwezo wa kuvutia mizigo kupitia Bandari ya Dar es Salaam.

Kwa kuwa mjadala umetawaliwa na CHUKI za kidini na wasemaji wakubwa wamekuwa viongozi wa Kanisa.

Tukumbuke kuwa ni Wakristo hao hao ambao mmoja kati ya viongozi wao waliosema kuwa Rais Samia anafanana na muuza vitumbua!

Makanisa hawakukemea kauli hii ya kumkosea adabu Rais.

Kwa kuwa mjadala wa bandari una chuki za udini, naomba tujikumbushe nafasi ya Makanisa katika nchi hii.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT.

Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote:

Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu?

Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi.

Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa serikali inatoa fedha kwa makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele.

(Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu.

Huyu ni Mkristo.

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.

Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo?

Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU.

Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo.

Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake.

Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021.

Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao.

Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao.

Ukimya huu tuutafsiri vipi?

Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.

Watanzania hawajasahau wakati wa utawala wa Magufuli wameshuhudia mauwaji kule Kibiti na Rufiji ambayo ni Wilaya zenye Waislamu wengi.

Watanzania bado wanakumbuka viroba vyenye miili ya watu vilivyokuwa vinaokotwa Coco Beach kila uchao.

Kanisa lilikuwa wapi wakati Magufuli anatoa roho za watu wasio na hatia?

Masheikh wangapi wamepotea ambao mpaka leo hawajulikani walipo wakati wa utawala wa Magufuli?

Hao waliobahatika wametoka jela wakiwa vilema kama alivyo Sheikh Abdallah Maginga Wambura ambaye kakatwa mguu kutokana na vipigo vya Polisi?

Yuko wapi mwanasiasa Ben Saanane ambaye “kosa” lake ni kuandika kuwa PhD ya Magufuli ni feki?

Yuko wapi mwandishi Azory Gwanda ambaye “kosa” lake lilikuwa kuandika ukweli kuhusu mauwaji ya Kibiti?

Wakati wa utawala wa Magufuli, Mbunge wa Kilwa Kusini Mhe Selemani Bungara maarfu “Bwege” aliwahi kusema Bungeni kuwa raia wake walichukuliwa na askari msikitini na wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo.

Kanisa halikuyaona haya?

Kama Kanisa ilifumbia macho udhalimu na ukatili huu, leo wanapata wapi mdomo wa kukemea hicho wanachokiita mkataba usio na maslahi kwa wananchi?

Ni wananchi gani hao ambao leo Kanisa linajifanya kuwatetea?

Sasa Watanzania wanakumbuka kuwa pamoja na ukatili wote wa Magufuli, ni viongozi hao hao wa Kanisa waliokuwa wakimkaribisha kila Jumapili kwenye Makanisa yao na kumpa nafasi ya kuzungumza.

Leo Kanisa linataka kuwadanganya Watanzania kuwa lina maslahi na wananchi?

Kuna kitu kikubwa zaidi ya uhai?

Wakati watu wanatolewa roho zao na Magufuli Kanisa lilikuwa wapi?

KWANINI WAKRISTO WANAPINGA MKATABA WA BANDARI

Mpaka sasa si Makanisa wala wanasiasa ambao wametoa hoja ya kiuchumi.

Tofauti na Wamarekani ambao walisema hadharani kuwa hawawezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao, hapa Tanzania sababu haswa ya kupinga Mkataba haisemwi hadharani.

Vinatafutwa visingizio tu. Ukweli ni kuwa Mkataba wa Bandari unapingwa na kuwepo kwa fikra potofu za Kanisa kuwa:

Iwapo DP World watapewa zabuni ya kuendesha Bandari, uwepo wao Tanzania utawanufaisha Waislam kwa namna moja au nyingine.

Kuna wanaohofia kuwa iwapo Bandari itafanikiwa, na endapo itatokea fursa ya miradi mingine mikubwa ya kiuchumi, Dubai watakuwa na nafasi nzuri ya kupewa miradi hiyo. Kwa hiyo kuwepo kwao kutaimarisha Uislamu.

Ikiwa DP World watapata tenda ya Bandari, nchi itapata mafanikio makubwa ya kiuchumi ambayo kwa fikra zao potofu yatakuwa yameletwa na Rais Mwislamu. Kwa maana hiyo, Waislamu wanaweza kuongoza nchi kwa ufanisi.

Tayari kuna watu wanaosema kuwa Samia awe Rais wa mwisho Mwislamu Tanzania

Kuna wanaosema Bandari ikipata mafanikio itaonekana kuwa kumbe wanawake wanaweza kuongoza nchi vizuri
Kuna wasemao kuwa Bandari ikifanikiwa itaonekana Wanzanzibari nao wana uwezo sawa na wa Bara katika kuliongoza taifa letu.

Hoja zote hizo ni za kipuuzi.

Mafanikio yakiletwa na Rais Mwislamu au mwanamke au Mzanzibari wataonufaika ni wananchi wote.

Fedha za Bandari zitawanufaisha WOTE kwani anaepanga matumizi ya fedha ni Bunge letu ambalo lina Wabunge Waislamu, Wakristo na wasiokuwa na dini.

MWISHO

Nchi hii Waislamu wamekuwa wakidai kuwa Tanzania ni NCHI YETU SOTE

Waislamu wamekuwa wakidai kuwa idadi yao ni kubwa

Waislamu wanajigamba kuwa wamesoma lakini hawapewi fursa sawa

Kinachoshangaza ni kuwa tokea Mjadala wa Bandari uanze na hata mijadala mingine inayohusu UDINI huwasikii Waislamu kusema lolote.

Wao ni kimyaaaaaaaaaa.

Mjadala wa Bandari umetawaliwa na viongozi wa dini ya Kikristo, Wasomi Wakristo, Taasisi za Kikristo na hata wanasheria waliofungua kesi Mahakamani ni Wakristo.

Kwenye mjadala wa Bandari kuna mafunzo kwa Waislamu.

Sote tujiulize maswali yafuatayo:

Hao Wasomi Waislamu wanaolalamika hawapati fursa leo wako wapi?

Mbona hawapazi sauti zao?

Au Usomi wao ni wa makaratasi na kutafuta ajira tu?

Hiyo haki wanayoidai inaenda na WAJIBU.

Lazima watimize wajibu wao kwa kutumia taaluma na vipawa vyao kupaza sauti zao.

ZIKOWAPI TAASISI ZA KIISLAMU

Au zinasubiri mwezi wa Ramadhani kuomba msamaha wa kodi za tende?

WAKO WAPI MABARAZA YA ULAMAA

Au wanasubiri mwezi wa Ramadhani kualikwa futari IKULU?

WAKO WAPI VIJANA WA KIISLAMU

Hivi kweli nchi hii hakuna hata Waislamu wa kawaida kwenye magenge na vijiwe wakajibu hoja za Wakristo?

Bwana Mtume SAW Anatufundisha tunapoona uovu tuuondoe kwa mikono yetu. Kama hatuwezi basi tukemee.

Na kama hatuwezi kukumea basi angalau tuchukie ingawa kuchukia ni imani dhaifu.

Leo Waislamu kwa mamilioni yetu tunashindwa hata KUSEMA?

Tumeamua kuwa na imani dhaifu na kuwaacha waseme Wakristo peke yao?

MWENYEZIMUNGU ASHUHUDIE TUMEFIKISHA
Taka taka.Prof.Issa Shivji mkatoliki?

katumwa na kanisa?

Mlivyo wajinga mnatuma sheikh Ubwabwa Mwaipopo amtukane Shivji.Kuweni na adabu na mwanamajui emeritus Prof. Shivji

sheikh wako,Magufuli ndo kaenda kumkata mguu huko jela?

Wakati masheikh wanakatwa 2014 Magufuli alikuwa Rais?

Wamekamtwa na Kiwete muislam mwenzako, wacha kuhamisha magoli.

Kibiti mnaleta harakati za ujihad,hii nchi ya kidini?

mmeua maaskari wangapi na kukimbilia msikitini?

usalama wa nchi katika geopolitical arena ndio primary interest.Mtu yoyote anayetaka kuvuruga amani ya nchi lazima adhibitiwe.

Samia ameonywa sana kuhusu usalama wa nchi na hizo harakati za Uamsho lakini sio kufa halisikii dawa...wacha yamtokee ndo atajua!

mje na hoja kujibu wataalam wa sheria,Shivji,Lissu,Kibatala,Kambole,TLS,etc

Mwisho ,usihusishe kuuzwa kwa mali za Tanganyika na uislam.
Waislam na Wakristo hawapendi mali zao ziuzwe kwanini mlazimishe?mnalazimisha kwa maslahi ya nani?

Watanzania hatutaki.Hatutaki!DP World waondoke!

Tutapinga hili kila mahali kila wakati!

Aluta continua!
 
ASKOFU KANISA KATOLIKI AIBUA TUHUMA KUWA MCHANGA UNACHIMBWA BONDE LA MTO MSIMBAZI NA KUPELEKWA VISIWANI!

Mhashamu Baba Askofu Severine Niwemugizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara, Kagera ameibua tuhuma kuhusu uharibifu wa mazingira eneo la Segerea kando kando ya Mto Msimbazi, Dar es Salaam. Anasema kuwa kuna taarifa mchanga unachimbwa pale unapelekwa Visiwani. Anasema kuwa Mkuu wa Seminary ya Segerea alipofuatilia ili kukomesha zoezi hilo alipatiwa vitisho. Anasema kuwa hata Polisi wa Staki Shari wana taarifa lakini wanaogopa shari wamekaa kimya kwani mamlaka za juu zinajua na zimeruhusu. Je, mamlaka gani zilizoruhusu uharibifu huo? Sisi Askofu Mwamakula tuko na na Askofu Niwemugizi kupazia sauti jambo hili. Soma ujumbe wake hapa chini kisha sambaza:

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki.
Dar es Salaam, 3 Julai 2013; 13:30 pm.

"Hiyo picha chini inaonyesha janga la uharibifu wa mazingira eneo la Segerea, mto Msimbazi! Miaka 27 iliyopita mto huu haukuwa mpana hivi. Palikuwa na daraja unavuka toka pale seminari kuja Sitakishari. Daraja halikuzidi mita kumi na tano. Nimerudi kuona leo hali nikakuta panatisha. Daraja liliondoshwa na maji na mto umepanuka vya kutisha.

Mmomonyoko umeshika kasi. Lakini ungekuwa huo tu ingekuwa nafuu. Lakini sasa kuna uchimbaji wa kutisha wa mchanga. Nimekuta mashine ziko pale na magari ya kuusomba. Nilipouliza kulikoni nikaambiwa ni kazi ya kusafisha kingo za mto! Na mamlaka za juu kabisa zimeruhusu. Lakini za ndani zaidi zinasema mchanga huo unachimbwa kwenye huo mto na kusafirishwa hadi visiwa vya Karafuu! Hakuna wa kuzuia kazi hiyo, asiyejipenda tu ndiye atajaribu kupiga kelele za kuzuia.

Kumbe mamlaka ya Seminari Kuu ya Segerea yamejitahidi bila mafanikio kuzuia uharibifu huo. Na hata vitisho vimekwisha tolewa kwa Mkuu wa seminari alipojaribu kufuatilia ili uharibifu huo ukomeshwe. Polisi Sitakishari wakataarifiwa juu ya vitisho na sasa ni kimya lakini uharibifu unaendelea!

Hapa kuna utata kidogo. Huu usafishaji wa kingo za mto unafanyika eneo moja tu la Segerea? Viongozi wetu wanazungumza sana juu ya utunzaji wa mazingira, lakini kwa pale sauti hizo zinanyamaa!! Kuna ruhusa rasmi ya kuharibu, kwa nini? Wanaharakati wa mazingira hapo mmeishapaona? Kama bado nendeni mjionee na mfanye kitu tafadhali."

Na Askofu Severine Niwemugizi. 3 Julai 2023.
 

Attachments

  • E446E820-E869-42A4-BE5A-8796E9F96DDB.jpeg
    E446E820-E869-42A4-BE5A-8796E9F96DDB.jpeg
    52 KB · Views: 3
ASKOFU KANISA KATOLIKI AIBUA TUHUMA KUWA MCHANGA UNACHIMBWA BONDE LA MTO MSIMBAZI NA KUPELEKWA VISIWANI!

Mhashamu Baba Askofu Severine Niwemugizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara, Kagera ameibua tuhuma kuhusu uharibifu wa mazingira eneo la Segerea kando kando ya Mto Msimbazi, Dar es Salaam. Anasema kuwa kuna taarifa mchanga unachimbwa pale unapelekwa Visiwani. Anasema kuwa Mkuu wa Seminary ya Segerea alipofuatilia ili kukomesha zoezi hilo alipatiwa vitisho. Anasema kuwa hata Polisi wa Staki Shari wana taarifa lakini wanaogopa shari wamekaa kimya kwani mamlaka za juu zinajua na zimeruhusu. Je, mamlaka gani zilizoruhusu uharibifu huo? Sisi Askofu Mwamakula tuko na na Askofu Niwemugizi kupazia sauti jambo hili. Soma ujumbe wake hapa chini kisha sambaza:

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki.
Dar es Salaam, 3 Julai 2013; 13:30 pm.

"Hiyo picha chini inaonyesha janga la uharibifu wa mazingira eneo la Segerea, mto Msimbazi! Miaka 27 iliyopita mto huu haukuwa mpana hivi. Palikuwa na daraja unavuka toka pale seminari kuja Sitakishari. Daraja halikuzidi mita kumi na tano. Nimerudi kuona leo hali nikakuta panatisha. Daraja liliondoshwa na maji na mto umepanuka vya kutisha.

Mmomonyoko umeshika kasi. Lakini ungekuwa huo tu ingekuwa nafuu. Lakini sasa kuna uchimbaji wa kutisha wa mchanga. Nimekuta mashine ziko pale na magari ya kuusomba. Nilipouliza kulikoni nikaambiwa ni kazi ya kusafisha kingo za mto! Na mamlaka za juu kabisa zimeruhusu. Lakini za ndani zaidi zinasema mchanga huo unachimbwa kwenye huo mto na kusafirishwa hadi visiwa vya Karafuu! Hakuna wa kuzuia kazi hiyo, asiyejipenda tu ndiye atajaribu kupiga kelele za kuzuia.

Kumbe mamlaka ya Seminari Kuu ya Segerea yamejitahidi bila mafanikio kuzuia uharibifu huo. Na hata vitisho vimekwisha tolewa kwa Mkuu wa seminari alipojaribu kufuatilia ili uharibifu huo ukomeshwe. Polisi Sitakishari wakataarifiwa juu ya vitisho na sasa ni kimya lakini uharibifu unaendelea!

Hapa kuna utata kidogo. Huu usafishaji wa kingo za mto unafanyika eneo moja tu la Segerea? Viongozi wetu wanazungumza sana juu ya utunzaji wa mazingira, lakini kwa pale sauti hizo zinanyamaa!! Kuna ruhusa rasmi ya kuharibu, kwa nini? Wanaharakati wa mazingira hapo mmeishapaona? Kama bado nendeni mjionee na mfanye kitu tafadhali."

Na Askofu Severine Niwemugizi. 3 Julai 2023.
Hilo lipo wazi, wanachimba mchanga maelfu kwa maelfu ya trip za Lorry , na kuepelekwa Tz Visiwani
 

Peno....
Wakili Rugemaliza Nshala mtazame anatoka kundi lipi utamwelewa.

Hapo ndipo kwa kuanzia.

Utaelewa pia kwa nini ameweza kutoa maneno hayo.

Anamtetea Prof. Shivji.

Ningekuwa na uwezo ningemwambia kabla ya kumweleza Prof. Shivji kama "mtetezi" wa haki asome historia ya Mussa Kwikima.

Mussa Kwikima alisimama kutetea haki mwaka wa 1968 akiwa Jaji kijana sana.

Akimaliza kumsoma Mussa Kwikima atueleze Kwikima alikuwa anatetea nini na Shivji anatetea nini na kwa nini Kwikima alipigwa vita hadi akaondaka serikalini.

Atueleze vipi Prof. Shivji amedumu hadi kastaafu kwa khiyari yake mwenyewe.

Kuna mengi tunayajua lakini tuko kimya kwa nini mishipa ya shingo imewasimama kuhusu Waarabu.

Nyimbo hii ni maarufu kwetu na wala haikuanza kusikika leo.

Tuko kimya kwa staha na heshima ya viongozi wengi waliopita kwani nchi itanufaika nini kwa kusambaza maneno?

Ushahidi wa maneno yao uko wazi kabisa.

Sisi si kama Wakili Nshala na mfano wa Wakili Nshala.

Tumefunzwa adabu kwetu na tunajua ustaarabu wa kueleza jambo.

Hatutokwi na maneno.

Muhimu ni kuwa akina Nshala wajue kuna kundi kubwa la watu liko kimya na wakati utakapofika litasimama kuzungumza ukweli.
 
Back
Top Bottom