Wapambe siku zijazo: Rais Samia ni jembe ameukataa mkataba wa bandari

Tumefika hapa tulipo kwasababu ya unyumbu unyumbu ni tabia ya watu wanao fikiri vizuri tulio wapa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi zao kwasabu ya malengo ya kundi fulani,(conflict of interest), ama kuogopa viongozi wao .
 
 
3 [emoji845]MUHIMU ISOME[emoji845]
#Tanzania
Katika ripoti ya @WorldBankAfrica ghafla DP World imeibuka [emoji2957]
Sasa ngoja niwaeleweshe [emoji1484]

Sehemu ya mkopo na msaada wa $421 milioni kuna pesa ya kujenga mfumo wa IT wa bandari kupitia TPA. Ripoti ya Benki ya Feb 2023 walisema hakuna maendeleo ILA TPA imesema imeingia makubaliano (MoU) na DP World kujenga mfumo huu wa IT [emoji845][emoji32]

ELEWENI: DP World watalipwa kutoka pesa hizi za mkopo wa Benki ya Dunia kusaidia “mifumo isomane” hawawekezi[emoji845]
Pili kwa mujibu wa serikali walisema ile MoU ya TPA na DPW ni kuhusu mfumo wa IT (tunaambiwa ilisainiwa Feb 2022)
Imekuwaje consultancy ya DPW ya IT imegeuzwa kuwa IGA na tunatoa bandari zetu kwa kusema eti DPW watatusaidia mifumo isomane alafu tunawapa uendeshaji wa bandari ambao UMESHAKAMILIKA kwa uwekezaji mkubwa wa mradi huu?
Hii dili ilianza kama CONSULTANCY na kugeuzwa UPORAJI
Sasa @WBTanzania nyie mnasemaje maana tuna kesi na ninyi pia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana DP World ndiyo kwanza wanaongeza bandari nyingine Somalia unasema kafukuzwa? Uongo si mzuri kwa maisha yako ya kila siku.

Jionee, hii website ya DP World Somalia:

 
Wewe ni MUISIHARAMU TENA MUISIHARAMU MPUMMBAVU ...... mimi napinga hata ijabu mashuleni ni upuuzi tu misingi ya dini ya kweli ni moyoni siyo mavazi ...leo watu wenye nyoyo chafu ..wafir.waji wafir j ,makahaba wezi matapeli walarushwa nk..ndiyo wanashabikia dini . Hivyo dini zimegeuka ushabiki siyo maisha ......sifa inayo mfanya mtu kuwa MUISIHARAMU NI KUWA SHABIKI WADINI AU KUSHABIKIA DINI tofauti na MUISLAMU AMBAYE AWEZI KUWA NA USHABIKI KWENYE DINI
 
Mahala fulani ulisema niache kukufatilia lakini haidhuru, tuendelee na mjadala.
 
 

Attachments

  • B266DDD1-9DA0-48C4-818A-B1D01FED59F3.jpeg
    33.9 KB · Views: 2
  • 84972A4B-AAF1-4308-AE75-9C8664704B48.jpeg
    37.4 KB · Views: 2
  • 85961424-AEB7-48B7-8725-7AB1D0F84EA5.jpeg
    32 KB · Views: 2
  • E3F2CC59-D93C-4F28-A914-2BD44835F22F.jpeg
    55.1 KB · Views: 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Una mambo jamaa weye
 
Taka taka.Prof.Issa Shivji mkatoliki?

katumwa na kanisa?

Mlivyo wajinga mnatuma sheikh Ubwabwa Mwaipopo amtukane Shivji.Kuweni na adabu na mwanamajui emeritus Prof. Shivji

sheikh wako,Magufuli ndo kaenda kumkata mguu huko jela?

Wakati masheikh wanakatwa 2014 Magufuli alikuwa Rais?

Wamekamtwa na Kiwete muislam mwenzako, wacha kuhamisha magoli.

Kibiti mnaleta harakati za ujihad,hii nchi ya kidini?

mmeua maaskari wangapi na kukimbilia msikitini?

usalama wa nchi katika geopolitical arena ndio primary interest.Mtu yoyote anayetaka kuvuruga amani ya nchi lazima adhibitiwe.

Samia ameonywa sana kuhusu usalama wa nchi na hizo harakati za Uamsho lakini sio kufa halisikii dawa...wacha yamtokee ndo atajua!

mje na hoja kujibu wataalam wa sheria,Shivji,Lissu,Kibatala,Kambole,TLS,etc

Mwisho ,usihusishe kuuzwa kwa mali za Tanganyika na uislam.
Waislam na Wakristo hawapendi mali zao ziuzwe kwanini mlazimishe?mnalazimisha kwa maslahi ya nani?

Watanzania hatutaki.Hatutaki!DP World waondoke!

Tutapinga hili kila mahali kila wakati!

Aluta continua!
 
ASKOFU KANISA KATOLIKI AIBUA TUHUMA KUWA MCHANGA UNACHIMBWA BONDE LA MTO MSIMBAZI NA KUPELEKWA VISIWANI!

Mhashamu Baba Askofu Severine Niwemugizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara, Kagera ameibua tuhuma kuhusu uharibifu wa mazingira eneo la Segerea kando kando ya Mto Msimbazi, Dar es Salaam. Anasema kuwa kuna taarifa mchanga unachimbwa pale unapelekwa Visiwani. Anasema kuwa Mkuu wa Seminary ya Segerea alipofuatilia ili kukomesha zoezi hilo alipatiwa vitisho. Anasema kuwa hata Polisi wa Staki Shari wana taarifa lakini wanaogopa shari wamekaa kimya kwani mamlaka za juu zinajua na zimeruhusu. Je, mamlaka gani zilizoruhusu uharibifu huo? Sisi Askofu Mwamakula tuko na na Askofu Niwemugizi kupazia sauti jambo hili. Soma ujumbe wake hapa chini kisha sambaza:

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki.
Dar es Salaam, 3 Julai 2013; 13:30 pm.

"Hiyo picha chini inaonyesha janga la uharibifu wa mazingira eneo la Segerea, mto Msimbazi! Miaka 27 iliyopita mto huu haukuwa mpana hivi. Palikuwa na daraja unavuka toka pale seminari kuja Sitakishari. Daraja halikuzidi mita kumi na tano. Nimerudi kuona leo hali nikakuta panatisha. Daraja liliondoshwa na maji na mto umepanuka vya kutisha.

Mmomonyoko umeshika kasi. Lakini ungekuwa huo tu ingekuwa nafuu. Lakini sasa kuna uchimbaji wa kutisha wa mchanga. Nimekuta mashine ziko pale na magari ya kuusomba. Nilipouliza kulikoni nikaambiwa ni kazi ya kusafisha kingo za mto! Na mamlaka za juu kabisa zimeruhusu. Lakini za ndani zaidi zinasema mchanga huo unachimbwa kwenye huo mto na kusafirishwa hadi visiwa vya Karafuu! Hakuna wa kuzuia kazi hiyo, asiyejipenda tu ndiye atajaribu kupiga kelele za kuzuia.

Kumbe mamlaka ya Seminari Kuu ya Segerea yamejitahidi bila mafanikio kuzuia uharibifu huo. Na hata vitisho vimekwisha tolewa kwa Mkuu wa seminari alipojaribu kufuatilia ili uharibifu huo ukomeshwe. Polisi Sitakishari wakataarifiwa juu ya vitisho na sasa ni kimya lakini uharibifu unaendelea!

Hapa kuna utata kidogo. Huu usafishaji wa kingo za mto unafanyika eneo moja tu la Segerea? Viongozi wetu wanazungumza sana juu ya utunzaji wa mazingira, lakini kwa pale sauti hizo zinanyamaa!! Kuna ruhusa rasmi ya kuharibu, kwa nini? Wanaharakati wa mazingira hapo mmeishapaona? Kama bado nendeni mjionee na mfanye kitu tafadhali."

Na Askofu Severine Niwemugizi. 3 Julai 2023.
 

Attachments

  • E446E820-E869-42A4-BE5A-8796E9F96DDB.jpeg
    52 KB · Views: 3
Hilo lipo wazi, wanachimba mchanga maelfu kwa maelfu ya trip za Lorry , na kuepelekwa Tz Visiwani
 
Peno....
Wakili Rugemaliza Nshala mtazame anatoka kundi lipi utamwelewa.

Hapo ndipo kwa kuanzia.

Utaelewa pia kwa nini ameweza kutoa maneno hayo.

Anamtetea Prof. Shivji.

Ningekuwa na uwezo ningemwambia kabla ya kumweleza Prof. Shivji kama "mtetezi" wa haki asome historia ya Mussa Kwikima.

Mussa Kwikima alisimama kutetea haki mwaka wa 1968 akiwa Jaji kijana sana.

Akimaliza kumsoma Mussa Kwikima atueleze Kwikima alikuwa anatetea nini na Shivji anatetea nini na kwa nini Kwikima alipigwa vita hadi akaondaka serikalini.

Atueleze vipi Prof. Shivji amedumu hadi kastaafu kwa khiyari yake mwenyewe.

Kuna mengi tunayajua lakini tuko kimya kwa nini mishipa ya shingo imewasimama kuhusu Waarabu.

Nyimbo hii ni maarufu kwetu na wala haikuanza kusikika leo.

Tuko kimya kwa staha na heshima ya viongozi wengi waliopita kwani nchi itanufaika nini kwa kusambaza maneno?

Ushahidi wa maneno yao uko wazi kabisa.

Sisi si kama Wakili Nshala na mfano wa Wakili Nshala.

Tumefunzwa adabu kwetu na tunajua ustaarabu wa kueleza jambo.

Hatutokwi na maneno.

Muhimu ni kuwa akina Nshala wajue kuna kundi kubwa la watu liko kimya na wakati utakapofika litasimama kuzungumza ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…