Wapangaji waijulishe TRA kuwa nyumba si zao ili TRA isifanye kosa kuwatoza kodi ya jengo

Tafuta hela mdogo wangu uwe na financial freedom hutalia Lia kila kitu.
Ni umasikini tu ndio unawatoa mishipa ya Shingo, na umasikini sio sifa.
 
Easier said than done
 
Easier said than done
Easier said than done sababu ya bongo zilizoridhika na maisha sababu wanaishi 5 star lifestyle!
Kama wameweza kupachika hayo maelfu ina maana kuyapunguza ikabaki sh.50 au sh.100 inashindikana vipi?
 
Easier said than done sababu ya bongo zilizoridhika na maisha sababu wanaishi 5 star lifestyle!
Kama wameweza kupachika hayo maelfu ina maana kuyapunguza ikabaki sh.50 au sh.100 inashindikana vipi?
Mkuu tuko kwenye Kodi ya majengo ambayo kimsingi ilikuwepo sema imewekewa njia ambayo ni yenye ufanisi zaidi ktk kuikusanya.
Hayo maelfu unayosema nadhani umelenga tozo za miamala ambayo Hata mimi naona ni kiwango kikubwa sana
 
Wewe unafikiri Watanzania wote mil 60 wana uwezo wa kulipa hiyo 1,000/= kwa mwezi? You are out of touch. hiyo 1000 kwa miaka 30, itakuwa shilingi ngapi kwa mtu wa kijijini? Hata trilioni inahesabiwa kwa shilingi moja moja. Acha mawazo ya kijinga. Watanzania wana haki ya kulalamika. Kuna watu vijijini huko wanategemea kilimo tu - wanatoa chakula shambani, wanajenga kwa miti na matofali ya kujitengenezea. Hawana pesa. Sasa wewe ukiwataka wakupe elfu 1 kila mwezi, unaona ni haki hiyo?
 
Mkuu tuko kwenye Kodi ya majengo ambayo kimsingi ilikuwepo sema imewekewa njia ambayo ni yenye ufanisi zaidi ktk kuikusanya.
Hayo maelfu unayosema nadhani umelenga tozo za miamala ambayo Hata mimi naona ni kiwango kikubwa sana
Kumbe tunaelewana ila nikikwambia hao tozo za majengo hata wangeweka 500TZS kwa mwaka hela ambayo wangeikusanya ingezidi hio 12,000TZS
 
Mkuu kwanza Ukitaka kujenga hoja uwe na taarifa Sahihi.
Kodi ya majengo Haipo vijijini, na hiyo sio Kodi mpya imebadilishwa tu njia ya kuikusanya Kwa ufanisi sasa unacholalamika ni nini?
 
Regardless mzee watu si wanadharau buku na kuiona ndogo sana! Wakati kuna watu wanaitafuta kwa tochi
Kwahio ujenge nyumba ya kawaida halafu 1,000/- Kwa mwezi iwe issue? Jamani msikufuru Mungu
 
Kwahio ujenge nyumba ya kawaida halafu 1,000/- Kwa mwezi iwe issue? Jamani msikufuru Mungu
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wapangaji ndio wanaolalamika yani kwa sababu nyumba sio yao
 
1000*12=12,000
12,000*30=360,000
Miaka 30 ni 360,000/-
 
Hii kodi haibagui vijiji na miji. Wewe ndio hauna taarifa. Mi natoka kijijini kwa taarifa yako. Inabagua permanent structures v/s temporary structures. Vijijini pia kuna permanent structures zinazolipiwa hii kodi. Kwa unafikiri umeme wa REA unahusu watu gani kama siyo hao wa vijijini?
Mkuu kwanza Ukitaka kujenga hoja uwe na taarifa Sahihi.
Kodi ya majengo Haipo vijijini, na hiyo sio Kodi mpya imebadilishwa tu njia ya kuikusanya Kwa ufanisi sasa unacholalamika ni nini?
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wapangaji ndio wanaolalamika yani kwa sababu nyumba sio yao
Utaratibu upo. Wakaripoti TRA(sijui kama mwenye nyumba atawaacha salama πŸ˜‚πŸ˜‚)
 
Wewe ndio juha muna. Mwananchi anahaki ya kuihoji serikali yake kwa kupata ufafanuzi. Wewe unaona 1000 ndogo sana kwa kuwa inakatwa kwenye simu kwa kununua umeme? 1000 kwa wengine ni mlo kamili.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Halafu siyo huko tu. Kuna mafuta ya taa, ya kula nk, makato ya miamala, bei ya sukari, cement nk. Kuhoji na haki ya Watanzania.
Wewe ndio juha muna. Mwananchi anahaki ya kuihoji serikali yake kwa kupata ufafanuzi. Wewe unaona 1000 ndogo sana kwa kuwa inakatwa kwenye simu kwa kununua umeme? 1000 kwa wengine ni mlo kamili.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa hajui hata mfanyabiashara tu ukimuongezea sh.10 au 50 kwenye kodi bidhaa yake analalamika na ana fanya tax avoidance

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…