Toka Dar hadi Bagamoyo, kutoka Bagamoyo unapita Fukayosi ndio unaikuta Kiwangwa kilomita chache kufika Msata. Kama umepita njia ya Bagamoyo-Msata Kiwangwa ni pale unakuta kunauzwa mananasi mengi sana na pamechangamka sana.Kiwangwa ndio wapi ?
Ndio huko wanaposema wanajenga branch ya IFM ama?Toka Dar hadi Bagamoyo, kutoka Bagamoyo unapita Fukayosi ndio unaikuta Kiwangwa kilomita chache kufika Msata. Kama umepita njia ya Bagamoyo-Msata Kiwangwa ni pale unakuta kunauzwa mananasi mengi sana na pamechangamka sana.
IFM almost Msata, hio project ishajifia. Huko utapata heka zozote utakazo si porini tu.Ndio huko wanaposema wanajenga branch ya ifm ama?
Huko unaweza pata heka 15?
matapeli sijui watakwisha liniKipo chanika HOMBOZA
Robo heka (35 kwa 20)
Kinataka laki 9 tu.
AhaahaahaaaKwahio millio 2 labda ukute watu wanadaiwa bill mochware. Viginevyo we elekea Kisemvule tu au Vikindu
Kwamba bei haiendani kabisa na hadhi ya hilo eneo ahahahhamatapeli sijui watakwisha lini
Kile chuo nashangaaga hakiishagi tuuIFM almost Msata, hio project ishajifia. Huko utapata heka zozote utakazo si porini tu.
Kwa Vigwaza mbona hiyo bei kubwa sanaVigwaza
20*20 unapata 0755918095
Namba 0677089280.Nina kiwanja Ngunguti Vikimdu bei 2m,Chanika lokoni 3m,Nzasa 2m.Havina udalali nicheki.
Sorry mdau ndio wapi?Vigwaza
20*20 unapata 0755918095
Ni mbele ya Mlandizi kama unaenda ChalinzeSorry mdau ndio wapi?
Mbele ya Ruvu KidogoSorry mdau ndio wapi?
Ukiwa. Dar
Si Mkuranga hiyo mzee.Kwa 3M unapata huko Kigamboni Buyuni zaidi ya 50Kms toka Ferry. Jipange
Ukiwa huna hela unatupwa nje ya mji!!?Kama una mweyeji jaribu maeneo ya tundwi songani ,Ni mbele ya Mwasonga, Ni pazuri japo hapajajengeka bado
Vigwanza sio dsm.Vigwaza
20*20 unapata 0755918095