Wapi mnapata pesa za kujenga wandugu? Mbona kwangu naona chenga tu?


Nzuri sana hii
 
NImegundua kwamba wazaliwa wa chuga hawaoi, wao ni sogea tuishi tu..tabia mbaya sana.
Pole lakini, endelea kupambana
Kwani kuoa ni nini?? Unasubiri matarumbeta??mkishaelewana na kukubaliana na mwnzako wazazi wakawatambua ni ndoa tosha!!tupo nje ya muda

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kuoa ni nini?? Unasubiri matarumbeta??mkishaelewana na kukubaliana na mwnzako wazazi wakawatambua ni ndoa tosha!!tupo nje ya muda

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Matarumbeta ni harusi.
Nimezungumzia ndoa.
Kuchukuana tu na kuishi huyo hajafata taratibu za wazazi wake. Angekuwa amefata taratibu asingesema kwamba wamefanya sogea tuishi.
 
Matarumbeta ni harusi.
Nimezungumzia ndoa.
Kuchukuana tu na kuishi huyo hajafata taratibu za wazazi wake. Angekuwa amefata taratibu asingesema kwamba wamefanya sogea tuishi.
Kuoa ni makubaliano ya pande mbili kati ya mwanaume na mwanamke sasa hivi watu wanaoana wawili na mchungaji wa 3 au hujaona watu wanaoana kwa kuptia mtandao yani mchungaji yupo mbali anaongeza ibada ya harusi.
 
Kuoa ni makubaliano ya pande mbili kati ya mwanaume na mwanamke sasa hivi watu wanaoana wawili na mchungaji wa 3 au hujaona watu wanaoana kwa kuptia mtandao yani mchungaji yupo mbali anaongeza ibada ya harusi.
Najua.
Hao hawajaenda kwa mchungaji. Unajua maana ya sogea tuishi?
 
Kabla ya kuingia kwenye ndoa muwe mnawaona waonaji wanaona ndani mtu alivyo kama ni sahihi au garasa thus wahindi na waarabu hawaowani hovyo just tu mnafanya mazoezi pamoja kitandani.
Pana watu wamebeba laana na mikosi utoboi,
 
Umeme na Kodi ni kikwazo
 
Wengi tunapitia hayo na mengine ni mazito zaidi ya hayo....lakini suluhisho ni roho...kama ukiweza nenda kkkt kimara korogwe....Mungu atakusaidia.
 
Tunapenda kuoa ila wanawake wengi akili hawna,ukijifunga kwenye kuoa kaa ukijua umedumbukia kwenye tanuru la moshi,na majuto yake utayaona baadaye.
Kwani ujawasikia wanandoa wameuwana??
Hasa wanawake wengi wa Kikristo hawajitambui wao wanapenda zaidi Harusi kuliko ndoa.
Waislamu wamepewa option akikusumbua fukuza kama una huruma oa mke wa pili,watatu hadi umpate mtulivu.
Ukristo labda uishi nae uchumba sugu
 
Ndio maisha yetu vijana yalivyo story yako imefanana na ya yule jamaa ambaye ni mwenyekiti wa mabaunsa Dar es salaam.
 
Imepita siku kadhaa toka niandike huku,wengine walitaka muendelezo ila kwa kuwa nilikuwa bize sana sikuweza kuandika.
Kusema kweli kama nilivyosema huko mwanzo mimi ni hustler sana,kwenye swala la kutafuta pesa sinaga haibu na utani kabisa,
Baada ya kusoma comments zenu humu nilipandwa na mzuka wa kusaka pesa kwa njia yoyote bila ya kumtoa mtu roho,nimegundua mtu usijionee huruma ikane nafsi yako.

Kama nilivyosema mwanzo nilichokiandika kina uhalisia wa maisha yangu sijatunga chochote haya ni maisha yangu fo real.
Week 2 zilizopita kuna biashara nimepiga ya magendo na nihatari sana,nimegundua biashara zote hatari zina pesa nyingi.


Hiyo biashara siiwezi kuitaja hapa.......


Baada ya kupiga hiyo biashara nimeipata pesa nikanunua robo heka ya kiwanja huko pwani,
Hii ni hati ya kiwanja changu.
Nmenunua tarehe 29,MUNGU NI MWEMA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…