Waraka kwa Rais Samia kuhusu vilio vyetu sisi Wahandisi tulioajiriwa kama Walimu

Technical school hadi uwe na cheti cha ualimu ushamba wa wapi huo kosa waboreshe hizo shule ziweze kutoa fani mbalimbali kisasa zaidi wao wamelala vyeti havileti maendeleo sijui hao viongozi wenu walisomea wapi ?
 
Kwa mwezi kama laki nne , dah! Changamoto sana. Tunasafari ndefu kuwa sela nzuri ya ajira
Alafu na taasisi yetu ya ERB haijatilia mkazo, ukisoma mwongozo utaona tunavyopaswa kulipwa malipo mazuri zaidi, kama sijakosea Ukiwa PEng unapaswa kulipwa zaidi ya Dollar 250 kwa siku.

Waliokuwa na mishahara mizuri walau Wazungu, nakumbuka wakati nafanya nao kazi kwenye project yao moja walikuwa wakinilipa 50,000 kwa siku

Ila ukija kwa wenzetu Wachina na Wahindi ndiyo disaster 🙆
 
Dalili ya mvua ni mawingu mnatakiwa kutoka haraka huko almashauri hakuna issue

yaani engineer unaenda kushika chalk kizalendo kabisa ila hakuna mwenye mpango na wewe huko sio pa kufanya kazi.

Hizo ni dharau na kusababishana depression zisizo za msingi.
 
Utakuwa umeninukuu vibaya Mkuu, naomba unisome tena kwenye post iliyopita.
 
Kuna wenzenu walikuwa nafanya kazi mradi mmoja mkubwa ila wasimamizi wachina graduated engineer wanalipwa laki na kumi na nae kwa wiki..

From there nilijua maana halisi ya ile point maaruf ya kikoloni "African cheap labour"
 
Dalili ya mvua ni mawingu mnatakiwa kutoka haraka huko almashauri hakuna issue

yaani engineer unaenda kushika chalk kizalendo kabisa ila hakuna mwenye mpango na wewe huko sio pa kufanya kazi.
Usimkatishe tamaa huyo Mhandisi/Mkufunzi. Kupitia huko alipo anaweza kufanyiwa recategolization akarudi kwenye taaluma yake ya Uhandisi
 
Usimkatishe tamaa huyo Mhandisi/Mkufunzi. Kupitia huko alipo anaweza kufanyiwa recategolization akarudi kwenye taaluma yake ya Uhandisi
Ndio maana ya kumwambia atoke ajiongezee sasa..
 
Kuna wenzenu walikuwa nafanya kazi mradi mmoja mkubwa ila wasimamizi wachina graduated engineer wanalipwa laki na kumi na nae kwa wiki..

From there nilijua maana halisi ya ile point maaruf ya kikoloni "African cheap labour"
Hao jamaa wahuni sana kwenye malipo, they don't care kabisa. Ingawa hili linafanyika kwa kuwa Mamlaka zimelala
 
Nimekuelewa
 
Aisee [emoji119]
Kuna wenzenu walikuwa nafanya kazi mradi mmoja mkubwa ila wasimamizi wachina graduated engineer wanalipwa laki na kumi na nae kwa wiki..

From there nilijua maana halisi ya ile point maaruf ya kikoloni "African cheap labour"
 
Hata sijajua leseni ya kufundishia unaipataje?

Naomba Tips Mkuu
Utaratibu hapo ni utatakiwa kuwa na Mkataba na mwajiri, then utajaza Fomu Na. RT 4 ambayo ndio fomu ya maombi ya leseni pamoja na Fomu Na. RS 3 ambayo ni fomu ya kuwekwa kwenye rejesta.

Changamoto ninayoiona hapo ni kama hauna mkataba wa ajira, ila kama unao utakuwa umeruka kiunzi kikubwa.

Kama utaona changamoto cheki na Wakili aliye karibu akufanyie hiyo kazi. Tofauti na hapo itabidi ukomae kibingwa ndugu yangu.

Kila la kheri.
 
Pole mkuu nje ya mada, sisi tulioajiriwa Nirc kama Agriculture engineer (civil) tukipata nafasi ya kuamia taasisi nyingine itabidi tufanye recategorization?
 
Hapo ndiyo utaipenda serikal... Hata muishinikize vipi haiwezi kufanya mnavyotaka ninyi... Niwashauri pamoja na kuandika barua ombeni kikao kazi na Katibu Mkuu TAMISEMI mtapatiwa majibu mazuri zaidi... Kuna sehem umeandika kuna utaratibu maalum mmeambiwa unaandaliwa, amini huo utaratibu upo, maana serikal haiwezi kuajiri watu na kuwaacha hewani... Sikuzote taratibu za serikal si za haraka hupitia chanels mbalimbali... Ushauri mwingine kama kuna mtu ana afford kwenda kusoma Postgraduate akasome ni mwaka 1 tu... All in all serikal ni sikivu sikuzote
 
Asante Kwa ushauri wako Mkuu, tumekusikia
 
Re-categorization kwani unatoka kutoka uhandisi kwenda kada nyingine?

Kama sio basi ni transfer Tu utafanya
Pole mkuu nje ya mada, sisi tulioajiriwa Nirc kama Agriculture engineer (civil) tukipata nafasi ya kuamia taasisi nyingine itabidi tufanye recategorization?
 
Kama nyie siyo walimu ilikuwaje mkaajiriwa

Pili kwaani mtumishi asiye mwalimu hathibitishwi mpaka akasome?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…