WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Nani atulie?
 
Ila kiukweli hata RC no zinasomeka sasa hivi,sadaka ziko hoi,vyuo vyao wanavyomiliki siku hizi inapita hata miezi 4 wahadhiri hawajalipwa hela zao ni Changamoto pia wanazipitia.
Kama umeusoma huo waraka vizuri usingeandika mambo ya ajabu kiasi hiki...!!!
 
Hivi hapo dawa ni kutokuwa dikteta au kufuatilia wanaolalamika kuminya demokrasia?........kwa phd feki utaona kuanzia kesho kifuatacho Azam TV!!
 
Unapowalinganisha Kakobe na Gwajima na hao mapadre unakosea sana, they are two different people. Wakati kundi la kwanza wanafuata mafundisho ya Yesu as they are, kama kuponya magonjwa, kutoa pepo, kuhubiri injili ya wokovu just like what Jesus and the disciples did, hawa wengine hawayafanyi hayo na infact wanayapinga.
Hawa watu hawalingani kabisa, usidanganyike.
By the way, Yesu alikaa na wanafunzi wake for only 3 years na baada ya kuondoka waliuwasha moto wa injili vibaya sana mpaka leo hii tunamjua Mungu anayeokoa japokuwa walipingwa na kuuawa sana na utawala wa KIRUMI. So, again hawa hawalinganishwi kabisa na off course wanatumikia deities tofauti kabisa, japo at face value huwezi kulijua hilo, limefichwa machoni pako.
 
Aliye karibu na Kadinali Pengo aniambie yupo katika hali gani

Kardinali Pengo na Maaskafu wenzake wajiandae kuhojiwa Uraia wao na Mapato ya Sadaka!!!Na wasipochukua hatua za maksudi watapotezwa katika mazingira yasiyojulikana na watu wasiojulikana.....!
 
Umefafanua vizuri sana Mkuu! Asante.
 
CHONDE CHONDE BANDUNGU SIZONJE HAJARIBIWI.ATAZIFUNGIA HIZO TAASISI ZENU
 
BARAZA KUU LA MAASKOFU (TEC)

Baraza hilo limesema, “Kwa mwaka huu wa 2018 kipindi hiki ni cha kujitafakari mbele ya Mungu na kufanya toba hususan uhai wa amani yetu kwa njia ya matendo ya huruma, haki upendo na amani kwa jirani zetu.”

ASKOFU MKUU KAKOBE

"Rais John Pombe Magufuli, nawe unatakiwa kutubu leo. Unaposherekea sikukuu ya Christmas, ili uridhiwe na Mungu unatakiwa nawe utubu".

"Leo ni siku ya watawala wa Tanzania kutubu. Leo tumeanza kuona misingi ya amani ya nchi yetu ikitikiswa. Amani iliyojengwa kwa gharama kubwa na waasisi wetu. Tumeanza kuona nchi hii ni ya chama kimoja na huu ni uovu. Mungu mwenyewe anaheshimu sheria basi kama na sisi tumeweka sheria tunapaswa kuheshimu sheria tulizojiwekea wenyewe. Hii si nchi ya chama kimoja. Kama mnataka kubadilisha si mbadilishe tu mara moja kupitia wabunge wenu wa CCM, si mko wengi?".

"Sheria ni lazima zizingatiwe! Na kwa hili nitapiga kelele mpaka Mlima Kilimanjaro. Huwezi kusema wewe huwezi kusemwa, wewe ni nani? Mungu anasemwa vibaya sembuse wewe?".

"Mungu mwenye nguvu kuliko Magufuli, ana nguvu kuliko majeshi yote ya nchi, lakini anatukanwa na bado hatumii majeshi yake. Hata wewe unaweza ukawa mvumilivu" amenukuliwa akisema Kakobe.
 
Asante sana mkuu.
 
wata m tundulisu kakobe

hawa jamaaaa damu damu wanashindana kumwaga
 
Usilinganishe kanisa katoliki na hivyo vikundi vya kihuni (ministries).
 
Kardinali Pengo na Maaskafu wenzake wajiandae kuhojiwa Uraia wao na Mapato ya Sadaka!!!Na wasipochukua hatua za maksudi watapotezwa katika mazingira yasiyojulikana na watu wasiojulikana.....!
Thubutu..!!!
Hawezi ligusa Kanisa Katoliki kamwe na wenyewe wanalijua hilo.
 
Kwahivyo atubu au maana sijaelewa...awape na watumishi haki zao kama wanavyo stahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…