Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

Purukushani iliyomwondoa Zito ndani ya Chadema imegundulika kuwa ni mkakati wake wa kutaka kuwa Mwenyekiti wa Chama na kusimamishwa kugombea Urais kwa tiketi ya CDM,mpango uliokuwa ukifadhiliwa na kupangiwa mkakati wa hali ya juu na CCM.
Sasa ni wazi kuwa mission hiyo ime fail ila kwa vile inaonyesha anakubalika sana ndani ya CCM (Hata naibu katibu mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba amelionyesha hilo katika thread yake humu JF) nafasi ya kugombea Urais anaweza kuipata huko anakopendwa sana kama inavyoelezwa.
Sasa jee hali itakuwaje kwa zile kambi zinazofahamika dhahiri kuwa zimekuwa katika mkakati wa kuhakikisha mtu wao anapata nafasi ya uteuzi kupeperusha bendera ya chama? Tukumbuke Lowasa,Membe,Sita nk wanafahamika kuwa wametumia nguvu kubwa na rasilimali nyingi,jee watakubali kumwachia "wakuja" kirahisi tuu eti kwa vile anaungwa mkono na akina Mwigulu?
Au watamwogopa kwa vile Zito anatembea na orodha ya mabilioni ya Uswiss "mfukoni".
Nimeleta swali hili la kizushi baada ya kukumbuka hadithi ya Mwarabu na ngamia aliyeomba kuhifadhi kichwa tuu ndani ya banda wakiwa jangwani. Jee huo muziki utakuwaje?
 
Thubutu! CCM walikuwa wanamtumia Zitto kama kondomu tu!! Sasa kondomu imekwisha matumizi yake! Imechafuka kiasi chake! Hawana haja nayo tena! Sasa mahali pake ni jalalani! Hiyo ndiyo siasa! Kwa maelezo zaidi muulize Mwigulu Nchemba.
 
Chakaza unaakili fupi kama mwili wako kweli, yaani nayo nihoja hiyo?

Mkuu kwanza mie sio mfupi, pili nimekuambia swali la kizushi na tatu nipe jibu hali itakuaje? Maana Zito ana otea madaraka tuu jee ataweza sekeseke hilo ndani ya CCM yenye wenyewe?
 
kwa waraka huu, Mungu saidia wafuasi wote wa zito wajiuzulu, ili kukiacha chama salama, kwa kujiuzulu kwao ni faida kubwa kwa CHADEMA
 
Hehehe Its Too late to catch the train..
"Chadema itakufa kabla ya 2015"-Wassira,Nimeanza kuielewa kauli ya huyu mzee..Kwa hakika Chadema wamefanya moja ya kosa kuu la kiufundi,na litawagharimu mchezoni 2015..Ngoja tuendelee kuona picha la kihindi!!..
 
 
Aisee kweli cdm hakuna demokrasia,leo zitto na wengne,kesho lissu, chama cha wachaga hicho,tena wa familia moja. baba mkwe,mke na mbowe . duuh 2tafika kweli.
 
Thubutu! CCM walikuwa wanamtumia Zitto kama kondomu tu!! Sasa kondomu imekwisha matumizi yake! Imechafuka kiasi chake! Hawana haja nayo tena! Sasa mahali pake ni jalalani! Hiyo ndiyo siasa! Kwa maelezo zaidi muulize Mwigulu Nchemba.

Duh nouma kweli kweli
 
Thubutu! CCM walikuwa wanamtumia Zitto kama kondomu tu!! Sasa kondomu imekwisha matumizi yake! Imechafuka kiasi chake! Hawana haja nayo tena! Sasa mahali pake ni jalalani! Hiyo ndiyo siasa! Kwa maelezo zaidi muulize Mwigulu Nchemba.

So Sad...
 

Kwa mtazamo wangu...kuna mawili ama hukusoma waraka ule wote neno kwa neno ama umeusoma wote ila unafuta mbinu za kumnusuru rafiki yako Mkumbo. Nasema hivyo kwa sababu...

Mikakati ya kutumia udini, ukanda na ukabila ambayoimeainishwa kwenye waraka ule haiwezi kuwa halali ya kukiimarisha Chama...hiyo ni mikakati ya kukiangamiza chama ni mikakati hii inayotumiwa na wanapropaganda wa chama kikuu cha upinzani dhidi ya Chadema.
 
Hapo kwenye nyekundu ndipo kwenye jawabu.
 
Mkandara well said. Nimesoma waraka wote sijaona kosa la Zitto. Waraka kuna sehemu inamjadili udhaifu wa Zitto. Ni waraka mzuri sana.

Kiuhakika umenena vyema sana kama hawataazima busara zako basi tena.
 
Last edited by a moderator:
Mkandara well said. Nimesoma waraka wote sijaona kosa la Zitto. Waraka kuna sehemu inamjadili udhaifu wa Zitto. Ni waraka mzuri sana.

Kiuhakika umenena vyema sana kama hawataazima busara zako basi tena.
 
Last edited by a moderator:
ushiriki wa Zitto kwenye tukio la KIbanda ilitosha sana kumtema ndani ya CDM...
 
kama kweli wamemfukuza zitto kwa haki basi wanasitaili kuogopwa na kuheshimiwa kwa kuchukua maamzi magumu. itasikitisha tu kama itakuja kubainika ni fitina. namkumbuka sana zito kwenye operation sangala.
 
Aisee kweli cdm hakuna demokrasia,leo zitto na wengne,kesho lissu, chama cha wachaga hicho,tena wa familia moja. baba mkwe,mke na mbowe . duuh 2tafika kweli.

Kuna baadhi ya taarifa sio lazima uchangie, hapa ni kwa wale wenye foundation course ya 'siasa za kimkakati' Binafsi naogopa hata ku-comment chochote! CDM nimewaogopa jamaa ni zaidi ya.. !
 
Panapokuwa na tatizo bora liwekwe wazi ili suluhu ipatikane kuliko kujenga lango jingine lisilo na manufaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…