Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Mkuu unamaanisha ni agizo kwa kanisa takatifu la mitume,kuwa huo waraka usomwe kesho Hadi vigangoni sio? Itakuwa safi Sana!
Waraka WA tamko la maaskofu 37 unakiuka maadili ya Taasisi kubwa na yenye kuheshimika ya wakatoliki. Tamko hili hatutakosea tukiliita la kichochezi. Mkataba umesainiwa, Bunge ambao ndio wawakilishi WA wananchi wameuridhia, Leo inatokea Taasisi kubwa na yenye heshima inapinga, hii haingii akilini, hapo sasa naanza kuamini yanayoongelewa, yakuwa, Baraza la wakatoliki wanalengo kingine kikubwa kuliko Bandari, nalo NI kumchafua Rais Samia, wkilenga uchaguzi WA 2025 agombee mkatoliki.. Mnayemkusudia NI mtu mahiri lakini njia mnazopita mtamuharibia. Taassisi NI kubwa, na imejijengea heshima kubwa Duniani, lakini Kwa Hilo mmeteleza.
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Kama watausoma basi tutakuwa na bahati mbaya ya kuwa na Serikali dhaifu. Binafsi nitaenda Kanisani kama kawaida yangu. Wakianza kuusoma huo Waraka, nitatoka nje!
 
Wakatoliki ni jamii ya watu wa kusamehewa tu maana hawana lolote wanalolijua ni kudandia mambo tu.

Kipindi cha jiwe waliufyata sasahivi kwakuwa Mheshimiwa Rais Samia ameachia uhuru wa kutoa maoni bila kutekwa ndo wanataka wampande kichwani.

Kipindi cha jiwe waliunga mkono ukatili wa wazi wa wakosoaji kuuliwa na kuwekwa kwenye viroba.
Unazungumzia habari za magaidi wa kibiti,tuache kidogo tupo kwenye bandari,huu ni urithi wa Watanzania na watoto wao na wajukuu wao.
 
Serikali inazo taasisi hizo za kuchukuwa nafasi ya zile za makanisa ?!. Roho za kwanini wakati walivyonavyo, dola havina !!

Tatizo mkataba unaturudisha utumwani. Angalia yanayotokea Djibouti [emoji1089]. Wanatamani kujitoa kwa hao miungu yenu ya dubai lakini haiwezekani. Kisa mkataba !!
Mkataba unakurudishaje utumwani? Kwa nini huongelei mafanikio ya DP World Southampton Uingereza?
 
Mkuu kama umekula hela ya Dubai,jiandae kulipa au kuolewa na Mwarabu,nenda kanisani labda watakusamehe.
Waambie wausome huo waraka miaka 5 mfululizo ila watanzania watawajibu kuwa mbona DP World kaja na tunachoona ni mafanikio na mapato kuongezeka?
 
Waambie wausome huo waraka miaka 5 mfululizo ila watanzania watawajibu kuwa mbona DP World kaja na tunachoona ni mafanikio na mapato kuongezeka?
Thubutu kwani Kwenye Madini tumepata nini na kwenye gesi je?

Hayo mapato mtajaza nyie chawa na waarabu tu
 
Waraka WA tamko la maaskofu 37 unakiuka maadili ya Taasisi kubwa na yenye kuheshimika ya wakatoliki. Tamko hili hatutakosea tukiliita la kichochezi. Mkataba umesainiwa, Bunge ambao ndio wawakilishi WA wananchi wameuridhia, Leo inatokea Taasisi kubwa na yenye heshima inapinga, hii haingii akilini, hapo sasa naanza kuamini yanayoongelewa, yakuwa, Baraza la wakatoliki wanalengo kingine kikubwa kuliko Bandari, nalo NI kumchafua Rais Samia, wkilenga uchaguzi WA 2025 agombee mkatoliki.. Mnayemkusudia NI mtu mahiri lakini njia mnazopita mtamuharibia. Taassisi NI kubwa, na imejijengea heshima kubwa Duniani, lakini Kwa Hilo mmeteleza.
Yaani watu wanabadili sheria za Nchi kwa sababu ya kumkabidhi Mwarabu urithi wa Taifa? Watu wakae kimya? We kweli unajielewa?
 
Kwa namna mambo ninavyo yaelewa,Roman Catholic wakikataa jambo lolote kwa uwazi Hivi hakuna namna zaid ya kukubaliana nao au uliache jambo Hilo.Hawa jamaa Huwa hawazungumz kwa kukurupuka Hadi hapo walishaisoma Raman yote kuhusu jambo hili!Roma Catholic ni kanisa lililopgana vita nyingi sana za kimwili.Kumbuka Baraza hili ndilo huamua kiongozi wa nchi awe nani pia Kumbuka Maalim Seif alipo nyang'anywa ushindi na Jecha 2015 aliandika barua kwa Papa kuomba amsaidie kuupata Uraisi pale Zanzibar
 
Kwa namna mambo ninavyo yaelewa,Roman Catholic wakikataa jambo lolote kwa uwazi Hivi hakuna namna zaid ya kukubaliana nao au uliache jambo Hilo.Hawa jamaa Huwa hawazungumz kwa kukurupuka Hadi hapo walishaisoma Raman yote kuhusu jambo hili!Roma Catholic ni kanisa lililopgana vita nyingi sana za kimwili.Kumbuka Baraza hili ndilo huamua kiongozi wa nchi awe nani pia Kumbuka Maalim Seif alipo nyang'anywa ushindi na Jecha 2015 aliandika barua kwa Papa kuomba amsaidie kuupata Uraisi pale Zanzibar
Je aliupata?
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Hakuna sehemu wamesema samia muislam, akili visoda ndo wameamua kuweka hitimisho kwa namna hiyo, kwan samia ndo rais wa kwanza muislam Tanzania?
 
Waraka huo una vipengele vingi.

Nashauri baada ya hizo wiki sita, waanze kuwa wanasoma kipengele kimoja tu cha waraka kwa kila jumapili hadi itakapofika 2025
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Waulize vizuri waliokuleta watakwambia.., na ikibidi kama unaweza kutumia akili yako vizuri fuatilia history ya Nchi hii utajuwa hao ni nani, na ikiwezekana walinganishe kama wanaendana na wale.
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Wamezoe kuingiza magari Yao pale bandarini Bure, bila Kodi, Sasa wamekutana na mwarabu amewadai Kodi wameshaanza kulalama

Hii bongo Kila mtu anachunga maslahi yake
 
Hata tusiokuwa Wakristo, tutaenda makanisa ya karibu kujumuika na wenzetu kwenye kutengeneza historia hii.
 
Back
Top Bottom