Waraka WA tamko la maaskofu 37 unakiuka maadili ya Taasisi kubwa na yenye kuheshimika ya wakatoliki. Tamko hili hatutakosea tukiliita la kichochezi. Mkataba umesainiwa, Bunge ambao ndio wawakilishi WA wananchi wameuridhia, Leo inatokea Taasisi kubwa na yenye heshima inapinga, hii haingii akilini, hapo sasa naanza kuamini yanayoongelewa, yakuwa, Baraza la wakatoliki wanalengo kingine kikubwa kuliko Bandari, nalo NI kumchafua Rais Samia, wkilenga uchaguzi WA 2025 agombee mkatoliki.. Mnayemkusudia NI mtu mahiri lakini njia mnazopita mtamuharibia. Taassisi NI kubwa, na imejijengea heshima kubwa Duniani, lakini Kwa Hilo mmeteleza.