Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Waraka umekah vzr ,,wanao unga mkono Ni hao wakatoliki Sasa kesho ngumi zitaoigwa
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Washa Motooo....
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Umechanganyikiwa.
 
Wanapoteza muda wao bure kusoma huo waraka watachelewa kujishughulisha na shughuli za kujiingizia kipato.

Ni kazi bure watafanya ila suala la mkataba kuendelea lipo pale pale hatuwezi kuvumilia haya majizi ya fedha pale bandarini yatukwamishe.
 
Utamsikia Fulani wa Hilo kanisa akikanusha kuwa Yesu hawatuma kukosoa serikali na Chama tawala
 
Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.

Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasisi za kanisa zisitishwe.
Wakatoliki ni jamii ya watu wa kusamehewa tu maana hawana lolote wanalolijua ni kudandia mambo tu.

Kipindi cha jiwe waliufyata sasahivi kwakuwa Mheshimiwa Rais Samia ameachia uhuru wa kutoa maoni bila kutekwa ndo wanataka wampande kichwani.

Kipindi cha jiwe waliunga mkono ukatili wa wazi wa wakosoaji kuuliwa na kuwekwa kwenye viroba.
 
Wakatoliki ni jamii ya watu wa kusamehewa tu maana hawana lolote wanalolijua ni kudandia mambo tu.

Kipindi cha jiwe waliufyata sasahivi kwakuwa Mheshimiwa Rais Samia ameachia uhuru wa kutoa maoni bila kutekwa ndo wanataka wampande kichwani.

Kipindi cha jiwe waliunga mkono ukatili wa wazi wa wakosoaji kuuliwa na kuwekwa kwenye viroba.
Siyo Kweli kina gervanc na severine walimsumbua sna jiwe lenu
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Nyie ni waislam wenye siasa kali au magaidi?
 
Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.

Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasisi za kanisa zisitishwe.
Kama masharti ya hizo pesa ilikuwa ni kuunga mkono kila kinachofanywa na serikali na zisitishwe usiku huu huu,maana wamekiuka makubaliano.
 
Wanapoteza muda wao bure kusoma huo waraka watachelewa kujishughulisha na shughuli za kujiingizia kipato.

Ni kazi bure watafanya ila suala la mkataba kuendelea lipo pale pale hatuwezi kuvumilia haya majizi ya fedha pale bandarini yatukwamishe.
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Tulisema ngoma bado mbichi, wengine wakabeza , sasa twende , si ajabu NEXT WEEK KKT IKAJA NA WARAKA WAO, kwa kweli kwa mara ya kwanza watz wanaenda mile 100 mbele, but Mungu wangu anasema lipo jambo kubwa linakuja na kila mtu atashanga, kama kama wataendelea kumbatia huu mkataba
Kkkt wasipo toa waraka nahama kanisa Hilo haraka sna
 
Usipotoshe, wanapewa ruzuku kwenye maeneo ambayo Serikari imepungukiwa na uwezo wa kutoa huduma kwa jamii mfano Afya, elimu nk.
Na haya madhehebu yanendesha kwa niaba ya Serikari mf KCMC, Ndolage Hospital, Bugando nk.

Usipotoshe ukweli
Ukiongezea na Rubya, Kagondo kwa ufupi ni hospital nyingi za makanisa zinazoshirikiana na serikali
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kila nikisikiaa hz hoja napatwa na hasira Kali Sana natamani nirukee juu au kuaam kbsa nnchi hi ya waenda wazimu
 
Hivi ni kweli kuwa hakuna waislamu wanaopinga masharti yaliyomo katika makubaliano na DPW?

Hakuna wakristo wanaounga mkono makubaliano na DPW?

Kwasababu ya dini zetu tusiingie kwenye mtego kuwa watu au taasisi zisihoji au kutoa maoni kisa wataambiwa mkuu wa nchi ni wa imani yao au siyo.

Hoja za kuwa wanaopinga ni kwasababu mkuu wa nchi wa sasa sio wa imani yao haina mashiko. Ni hoja dhaifu.

Upande mwingine, nyakati mbalimbali pande zote wanaopinga na wasiopinga wame toa hoja au kauli zisizo kubalika katika jamii ya watanzania.

Unajiuliza, kuuzungumzia ukweli unahitaji maneno yafananayo na matusi au hata vitisho?

Kwa mtazamo wangu, bunge letu limejidhihirisha kuwa hufanya maamuzi kwa kusikilizia mhimili mtoa pesa unatakaje.

Haikuwa sahihi kusikia baadhi ya wabunge wakitamka kuwa Rais ana nia njema, tusimwangushe. Au kama wewe ni mbunge wa CCM tutakushangaa usipounga mkopo makubaliano na DPW.

Hata kama DPW ni neema au jambo zuri hakuna mfanowe, ningetamani kuona wabunge wetu wanakuwa critical katika mambo kama haya.

Je, kanisa Katoliki linafanya kosa? Je, kwa mifano ya kutowajibika sehemu mbalimbali duniani iwe ni sababu ya kukaa kimya?

Tujiulize kwanini serikali yenyewe iliamua mkataba ujadiliwe au kufafanuliwa nje ya bunge. Mikataba mingapi huko nyuma ilichukua mkondo huu.

Bila shaka hili jambo la DPW ni kama lipo katika hadhi ya kufa au kupona kwa Taifa. Hii ni ikiwa una waza kwa viwango vya juu.

Kwasababu hiyo, viongozi wa wakatoliki wapo sahihi. Ukiona sivyo jibu hoja kwa hoja. Ukikimbilia kusema sababu siyyo wa imani noja na mkuu unakuwa umechagua kuwa daraja la chini kabisa la viwango vya mijadala ya hoja.

Tujadili kwa viwango vya JF ilivyokuwepo miaka 5 ya kwanza.
 
Back
Top Bottom