Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Nilifika Kijiji kimoja ndani ndani uko hamna nyumba ya bati lakini Katoliki wana kanisa kubwa na shule vidudu hadi Secondary, Hospital na visima vya maji kwa ajili ya wananchi Wakristo na Waislamu.
 

Attachments

  • IMG-20230819-WA0609.jpg
    IMG-20230819-WA0609.jpg
    47.6 KB · Views: 3
Mambo yatakayojitokeza baada ya Waraka huu.

1. WAKATOLIKI na Watanzania watakuwa tayari kuulinda, kuutetea Waraka huu hata kama ni kimyakimya.
2. Serikali sasa iwe makini dni haina mipaka eneo la kazi, tumechanganyana humo, wako wabunge, mahakimu, mapolisi, wanajeshi, wakulima, walimu, madaktari, wafanyakazi bandarini, yaani popote na kwa kawaida WAUMINI HUWA HATUPINGI MAELEKEZO YA KIROHO, KWA SASA KUTOKUBALIANA NA MKATABA WA BANDARI NI SUALA LA KIROHO.
3. Waraka wa Maaskofu Katoliki Tanzania ukiwa na hoja muhimu ni vyema zijibiwe kwa uwazi na weledi, halafu waumini na viongozi wetu kiroho tukiyaelewa majibu yenu Spika, Rais, Prof. Mbarawa tutarudi kwa waumini kuwaambia mmeeleweka
 
Agizo nadhani linahusu hadixjunuiya ndogo ndogo katika ngazi za familia, warakan utasomwa kila jumamosi katika mikusanyiko ya ibada za jumuiya. Nadhani wiki 6 zikiisha, wataongeza.
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Aliyetufikisha hapa ni BETINA!
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Acheni kuuza nchi mbwa nyie. Waraka huo utasomwa misa zote, na kama nyie wanaume, pelekeni jeshi likazuie misa ya ibada takatifu popote pale katika hii nchi.
 
Baba wa nchi hii (katoliki) ameshamaliza tayari kilichobaki ni kuchoma Moto huo mkataba
 
Nchi inaendelea kugawanyika, kwasababu ya kiongozi dhaifu asiyejitambua.

Cc Lord denning njoo na wale jamaa zako muwagombeze na hawa wa Moshi[emoji1787][emoji1787]safari hii lazima muwe machizi!.
 
Nchi inaendelea kugawanyika, kwasababu ya kiongozi dhaifu asiyejitambua.

Cc Lord denning njoo wagombeze na hawa wa Moshi[emoji1787][emoji1787]
Wenye akili hatuwezi kugawanyika. hata wakitoa Bakwata, nitawaunga mkono sana maana wanatetea haki
 
Tamko la TEC ni amri kwa nchi na dunia, hivyo kutii ni lazima. Tujiandae kusikia mama mkubwa akijibadilisha kama kinyonga kuukana mkataba wa DPW. All
 
Yaani waambie hivi hata usomwe kila jumapili kwa miaka 10 mfululizo Serikali haiachani na kamwe haitoachana na mkataba wa uwekezaji wa Bandari

Alafu waambie warudishe pesa za escrow hatujasahau
 
Back
Top Bottom