Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Waraka wa Baraza la Maaskofu (TEC) kuhusu uendeshaji Bandari utasomwa kila Jumapili kwa wiki 6, utasomwa pia kwenye vigango

Na ikiwa hivyo taasisi za dini zitoe huduma nafuu kwa watu wao tu, na wa dini nyingine walipie bila ruzuku! Kama maji hamtaita mma!
Wataanza kusema kuna udini kwenye utoaji wa huduma hizo. Hawana dogo hao watu ingawa si wote.
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Wasome tu,hata bible si husomeana kila wikiend
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Watanganyika tunaunga waraka wa TEC 100%. Hutaki unaacha, tembea kafie mbele
 
Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.

Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasi za kanisa zisitishwe.
Nani aliekuambia wanajali.

Ulivyo na akili fupi hataujui nani ataathirika kwenye hiyo ruzuku.

Wananchi wanataka mkataba wa bandari ufanyiwe marekebisho kwenye vifungu vinavyo kiuka sheria za nchi.

Achana na porojo za pesa zauma, you know nothing.
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Wakati tunafanya harakati za kumtoa Kikwete madarakani mwaka 2010, waraka wao wa kuiondoa ccm madarakani ulifika kwa kila muumini, lakini hatukufanikiwa.
Ni hawa hawa waliotuambia Kikwete ni chaguo la Mungu 2005.
TATIZO LAO JAMBO LIKIGUSA MASLAHI YAO HUKO JUU NDIYO WANAKUJA NA WARAKA.
MKULIMA ANAKOSA MBOLEA YA RUZUKU NA MIKOPO YA HALMASHAURI WWANAPEWA WANA CCM, TEC WAPO KIMYA.
 
Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.

Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasi za kanisa zisitishwe.
Serikali inazo taasisi hizo za kuchukuwa nafasi ya zile za makanisa ?!. Roho za kwanini wakati walivyonavyo, dola havina !!

Tatizo mkataba unaturudisha utumwani. Angalia yanayotokea Djibouti [emoji1089]. Wanatamani kujitoa kwa hao miungu yenu ya dubai lakini haiwezekani. Kisa mkataba !!
 
Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.

Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasi za kanisa zisitishwe.
Kanisa takatifu katoliki la mitume huwezi kushindana na kanisa katoliki
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Siasa zimebadilika sana Duniani

Samia akitaka kuwa Rais Imara anaweza na akiamua kuwa dhaifu pia anaweza

Jakaya aliwamudu sana hawa Jamaa, alikuwa hajibishani nao ila pia hakuwapa chance ya kumbabaisha na wala hakutetereshwa nao na ndio sababu ndio Rais alietukanwa zaidi na kanisa kuliko wengine wote, kila sikukuu ya kidini ilikuwa wanazindua Waraka wa kusakama Serikali lakini wala hakuwa na time nao na wala hakuwasusia siku wakiwa na lao na kuomba kukutana nae na huo ndio Uongozi

Samia akitaka kuwa Imara huu ndio wakati wake kuonesha umadhubuti wake
 
Mizimu ya mababu zetu inatupigania kwenye ulimwengu tusiouona wakiwa pamoja na Magufuli,

Hawa waliouza bandari hawawezi kukwambia kama serikali haitokuwa na mamlaka kamili kwenye maamuzi ya mkataba huo,hiyo Siri yao,wameshauza maamuzi yao yote hadi ya kirais

Serikali haitokwambia kama kilichosainiwa sio tu memorandum of understanding la hasha,vingi vimesainiwa na vikiwekwa hadharani watu watavua nguo zao maana hiyo mikataba tayari imewavua nguo,

Tunakumbuka aliesaini mikataba 17 na awamu ya pili alisaini mikataba 36

Hamjawahi kuiona wala kuambiwa nini kimesainiwa,Mama aliloga na alijua Watanzania wamelala kama tulivyowahi kuambiwa na Wakenya

Lakini hata huu tulionao sasa haikuwa matakwa ya serikali tujue ila yupo malaika mmoja,

Malaika akawaamsha Waazalendo wakaona hapana Mama anatuuza hadharani haiwezekani akaamua kuuvujisha ili wote tujionee

Now baada ya serikali kuona tayari umevuja ndio wakaja na mgongano wa majibu Kati ya Raisi Waziri mkuu na Mbalawa
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Kwann kanisa lisianze kusali novena kwaajil ya kuwaondoa mafisadi wote?
 
Taifa haliwezi kuendeshwa kama Choo cha kulipia hapana Lina taratibu zake so sasa kwa tulichokiona kwenye mkataba wa bandari kimetushawishi hata kutaka kudai mikataba 36 ili tujue nini kilochomo

Lakini kutaka kujua hata loliondo mkataba wake unasemaje maana kwa tinavuofahamu toka Karne ya 14 dunia inafahamu uwepo WA wamasai pale na ndio jamii inayotambulika kuishi na wanyama

Leo wanaondolewa tena kwa mateso huku haki za binadamu zikivunjwa kwa kuwaondoa watu katika makazi yake ya asili na kumpeleka ugenini na bila ridhaa yake
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Nchii hii aiongozwi kikatoliki ndugu nchi Haina dini nyinyi sinamsemaga Mamlaka zote duniani zimewekwa na Mungu kwanini sasa hamtaki kutii Mamlaka ?
 
Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,

Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;

01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa

02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,

03.kupinga ukiukwaji wa Utu

Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,

Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Vyombo vya habari viko chini ya nape
 
HATARI SANA.. 😁

Tanzania kuilipa AED 20M yaan TZShTrillion 12 DP world Kama fidia ya hongo mbali mbali walizopewa viongozi kuandaa mazingira ya kupewa Tenda bila kufuata utaratibu

Msemaji makini anasema
1. Mkubwa kabisa kalamba zaidi ya 4,000,000AED
2. Waandishi wa Habari na station za TV wamepewa 2,000,000AED na kuwezesha safari zao
3. Wabunge 37 wa Tz wamepewa zaidi ya 7,500,000 AED na vitu vya thamani ya 4,200,000AED
4. Wanasheria walio facilitates mkataba wamepewa 1,000,000AED
5. Washenga (watu kati) 5,600,000 kuna Dubai holdings and Agencies

Hii inalazimika waliokula Pesa hii kuirejesha au ama DP world imekula kwao au Waliokula Hiyo hela walipe
.
 
Kwa rate ya leo Tzs kwenda AED 20 M sawa na Trilioni 13,640,076,200
 
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?

Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Huu ulioandika ndio upuuzi wenyewe sasa asikuambie mtu
 
Back
Top Bottom