Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Huo moto upo chumbani kwako au?johnthebaptist moto wawaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo moto upo chumbani kwako au?johnthebaptist moto wawaka
Hoja yako nyepesi mkuu. Suala ni kilichopo kwenye mkataba. Jifunze kuelewaMapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?
Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Hamna siasa mkuu... Ni watanganyika hatutaki bandari zetu zibinafsishwe bila utaratibu unaoeleweka.Hii ni siasa Sasa sio mambo ya dini tena
Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?
Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
mipaka huvunjika pale, serikali inapowaziba wananchi midomo wasiongee. Wa kuwajibika ni serikali inayowafunga wale wanaokuwa kinyume na hili kwa kuficha ukweli.Ningelikuwa na mamlaka nisingeogopa hata kidogo,juu ya hili,watumishi waendelee na utumishi wa kimitume makanisani,waiache serekali ifanye shughuli zake,tuwe na mipaka katika maisha yetu ya kila siku ikiwepo kuheshimiana,linalofanyika ipo siku "Polisi wataingia makanisani kuendesha ibada" mipaka ni muhimu katika taratibu zetu binadamu za kimaisha.
live Tbc itakiwa kanisa lipi, au maagizo tayariNadhani itabidi kesho misa zijae sana
Kwa mara ya kwanza umekuwa mtu.Wakatoliki hawataki ujinga ndiyo maana waliitawala dunia
Usipotoshe, wanapewa ruzuku kwenye maeneo ambayo Serikari imepungukiwa na uwezo wa kutoa huduma kwa jamii mfano Afya, elimu nk.Usomwe popote, tunachotaka ni pesa za umma wanapewa kila mwezi zisitishwe haraka sana.
Ikiwa serikali imesitisha kuwapa ruzuku mashirika ya umma, na zinazokwenda taasisi za kanisa zisitishwe.
Utakuwa umetumwa na gwaji boyMapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?
Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Nakazia kabisa na barua ya kwenda makanisa yote ya kikatoliki.Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,
Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;
01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa
02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,
03.kupinga ukiukwaji wa Utu
Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,
Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!
Unakenua magego yako kisa sukuma gang mmetupiwa viragoWakatoliki hawataki ujinga ndiyo maana waliitawala dunia
Pumbavu sana kenge wewe unayetaka kututenga watanzania tuliona umoja na mshikamano bila kujali dini zetu na ukome kabisa.Mapadri Wakatoliki ndiyo walisaidia kutekeleza mauaji ya kimbari huko rwanda. Dharau mliyo ionyesha kwa serikali awamu ya sita ni kubwa sana kwanza nyie ni nani kwenye Nchi mpaka mchanganye dini na siasa?
Mkae mkijua mmekosea sana kuonyesha makucha yenu kisa Samia ni muislamu na ni mwanamke mnaona hawezi wala hafai ila huyu ndiye raisi wa wote na dini zote nyie viongozi wa dini ufalme wenu ni mbinguni Mambo ya kidunia achaneni nayo
Hakuna bunge hapoMkuu bunge lenyewe liko wapi? lile ni kusanyiko la majangili tupu
Imeongezwa chumvi, wausome huo waraka kwani unahusiana vipi na masuala ya kiroho?.Kesho tunasali Misa ya kwanza Kanisa la Roma kusikiliza waraka wa tamko la Maaskofu 37,Wakiwakilisha Mikoa 31 na Mikoa ya kikanisa yaani majimbo 6. Watanzania kesho watajaa makanisani kusikiliza waraka huo wa Maaaskofu baada ya vyombo vyote vya habari kukataa kurusha waraka huo wa Maaskofu Wakatoliki Tanzania,Jambo la ajabu media zote kubwa (Main streams) hazijaripoti habari hiyo. Sio ITV, ETV, Channel Ten, Clouds, WachafuTV etc. Wameipotezea,
Nimesoma waraka wa tamko la Maaskofu na nilifanikiwa kuwafuatilia toka awali nikagundua;
01.kazi ya kanisa kubwa duniani ni kulisumamia taifa
02.kazi ya kanisa ni kuleta mapinduzi ya Haki na amani kwa taifa,
03.kupinga ukiukwaji wa Utu
Kwakweli lile azimio la mkataba wa Bandari halina tija kwa nchi yetu
Ili kuleta ufanisi zaidi katika kusimamia rasilimali za nchi zetu tusiwape waeekezaji badala yake tutumie vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu shughuli zote na bunge liunde sheria mahsusi zitakazolazimisha uzalendo,
Niseme tu huwezi kuwa mtanzania (hasa mtanganyika) ukashabikia kuingizwa utumwani kupitia rasilimali zako halafu ukategemea watakuita majina sukari ama asali! Uta-derseve usaliti wa taifa na maneno yote yanayomfaa msaliti kumtambulishia kwa vizazi vyote vitakavyokuwa hai!