Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN
akili ya madrasa inajadili akili ya PhD very interesting
Kuna kitu watu labda watu hawakijui ili mtu awe padri anatakiwa afike kidato cha sita alafu ataendelea na masomo yake ya falsafa miaka mitatu akihitimu ataenda kusoma tena tawhid (theology) miaka minne ( ikiwa hivyo vyuo alivyosomea havitambuliki) itambidi akasomee degree tena miaka mitatu au minne aende masters miaka miwili ndio akaitafute phd …. Hawa watu wanakaa shule takribani miaka 28 , kubishana nao inabidi ujipange.
 
Kwa hiyo kumbe mnatega Rais kwenye vita vya kidini. Sasa hamfai nyie au hafai Samia?

Kama Mkristo na Mkatoliki nasema hapa rasmi. Nitampigia kampeni Samia awe Rais 2025- 2030.

Kumbe ndo maujinga mnayoyafanya eeeh!! Tumewashtukia
kwani ukisema wewe ni mvaa kobazi hutapata shida gani?. mpaka ujisingizie upande usio wako
 
Waeleze mapungufu ya tamko ni yapi ili tujenge nyumba moja
Na hiki ndo walichokifanya TEC kuhusu ubaya wa mkataba. Wameeleza ubaya wa baadhi ya vipengele. Hata akina Prof. Shivji, akina Dr.Slaa, akina Mwabukusi etc wote wamejikita kwenye vipengele vibovu na kuainisha madhara yake. Wao nao waeleze tamko lina shida gani. Isije ikawa mawazo ya mtu ambayo hayapo kwenye tamko ndo anayageuza yawe ya tamko. Na mbaya zaidi mawazo hayo yawe yanaanzishwa na tofauti ya imani za kidini

Kuna watu humu wanaropoka eti kwa vile rais ni muislam, mara ni mwanamke, etc ujinga mtupu. Hakuna mahala tamko limesema hivyo.

TATIZO KUNA WATU WANAYOYAWAZA NDO WANASEMA YAPO KWENYE TAMKO, KUMBE NI MAWAZO YAO TU..!!
 
jafarikyaka

Huo ndiyo ukweli. Ukitaka kuona ujinga wenu, kaangalie Iman TV wakijadili mkataba wa DP World. Mpk aibu aisee
Mtu ana elimu ya madrasa na shule darasa la 7 b halafu ni imamu. Mtu km huyu ukimpa mkataba wa DP auchambue atakimbilia kwenye udini. Ndicho nilichokiona
Ukiienda kwa wakristo watu wana madegree na maphd kwahiyo kwenye hoja ujipange.
TEC wamesema mkataba ni mbaya kwa hoja hizi, wanaokubali watoe hoja tujue kuwa ni mzuri ila darasa la 7 wanajadili udini
 
Kuna kitu watu labda watu hawakijui ili mtu awe padri anatakiwa afike kidato cha sita alafu ataendelea na masomo yake ya falsafa miaka mitatu akihitimu ataenda kusoma tena tawhid (theology) miaka minne ( ikiwa hivyo vyuo alivyosomea havitambuliki) itambidi akasomee degree tena miaka mitatu au minne aende masters miaka miwili ndio akaitafute phd …. Hawa watu wanakaa shule takribani miaka 28 , kubishana nao inabidi ujipange.
Ndo maana mna wabudu binaadamu, kusoma miaka mingi ndo kua na akili pumbavu.......pale wanasoma kua Brainwashed yawe mabwege tu.
 
Na hiki ndo walichokifanya TEC kuhusu ubaya wa mkataba. Wameeleza ubaya wa baadhi ya vipengele. Hata akina Prof. Shivji, akina Dr.Slaa, akina Mwabukusi etc wote wamejikita kwenye vipengele vibovu na kuainisha madhara yake. Wao nao waeleze tamko lina shida gani. Isije ikawa mawazo ya mtu ambayo hayapo kwenye tamko ndo anayageuza yawe ya tamko. Na mbaya zaidi mawazo hayo yawe yanaanzishwa na tofauti ya imani za kidini

Kuna watu humu wanaropoka eti kwa vile rais ni muislam, mara ni mwanamke, etc ujinga mtupu. Hakuna mahala tamko limesema hivyo.

TATIZO KUNA WATU WANAYOYAWAZA NDO WANASEMA YAPO KWENYE TAMKO, KUMBE NI MAWAZO YAO TU..!!
Kama kina shehe mwaipopo wao wanautazama mkataba kwa mtazamo wa dini na Sio mapungufu ya mkataba
 
Huo ndiyo ukweli. Ukitaka kuona ujinga wenu, kaangalie Iman TV wakijadili mkataba wa DP World. Mpk aibu aisee
Mtu ana elimu ya madrasa na shule darasa la 7 b halafu ni imamu. Mtu km huyu ukimpa mkataba wa DP auchambue atakimbilia kwenye udini. Ndicho nilichokiona
Ukiienda kwa wakristo watu wana madegree na maphd kwahiyo kwenye hoja ujipange.
TEC wamesema mkataba ni mbaya kwa hoja hizi, wanaokubali watoe hoja tujue kuwa ni mzuri ila darasa la 7 wanajadili udini
The Catholic church is the biggest financial power, wealth accumulator and property owner in existence. She is a greater possessor of material riches than any other single institution, corporation, bank, giant trust, government or state of the whole globe.

. Their wealth is so big that they could create sustainable social programs to end famine on Earth; they have the power and the means to oppose wars; they have the financial resources to create an Eco-friendly planet — the biblical heaven on Earth.
 
kwani ukisema wewe ni mvaa kobazi hutapata shida gani?. mpaka ujisingizie upande usio wako
Kwa nini nidai mimi ni muislamu wakati sio muislamu.

Soma nyuzi zangu humu miaka fulani nilikuwa naanza na salamu ya Amani ya Bwana iwe nanyi, sasa hii ni salamu ya waislamu?
 
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!

Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.

Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
CCM ikichukiwa Mashehe wanakosa posho? Au ni CCM ni dini? Kwa nini isiachwe ikajitetea yenyewe?
 
Back
Top Bottom