Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Kabisaaa Hata Mimi naotaHii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa Hata Mimi naotaHii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
hawana akili hao, ni udini tu umewajaa vichwani mwao hata siasa hawazijuiNaona hapa CCM na DPW wanatetewa Kwa nguvu zote bahati mbaya saaana hawataji Mapungufu yaliyomo kwenye mkataba ambayo yametajwa na Mahakama na Sekretarieti ya BUNGE pia, achana na individuals kama Professor Shivji.
Wanadai hizi ni propaganda! Duh
Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM
Air time ya Nguvu🙏🏾Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
elimu elimu elimu elimuu, sio makosa yaoWanadai fursa imetolewa ya kupeleka maoni na watu hawapeleki kwakua watu Wana maslahi yao
Hawa jamaa wana tatizo kubwa sana, kama ni taharuki Ccm na serikali yake ndio wame leta taharuki. Ina fika mahali hadi wenye dhamana ya ulinzi na usalama wa raia wana diriki kusema watu wana takakumpindua rais?Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
LGBTQ walitaka kupora rasimali za watanzania kwa mkataba tata? Wapuuzi hao elimu ya kupangua hoja za maaskofu hawanaWanasema matamko yanatolewa yana maslahi Kwa TEC anatolea mfano LGBTQ Kuwa TEC hawakutoa tamko kwakua Wana maslahi kwao
hii mitego ya kisiasa ni noma sana. Kumshauri asigombee waliona ni ngumu wacha ajiangushe mwenyewe wapate hoja kuwa hatoshi kuongoza nchi tenaHii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
kwa kweli wanachekesha sana mazuzu haoWanauliza shida Nini? Hawajui wapi shida ipo!
mi mpaka mpenzi, binti wa kiislam ninaye, nimempa uhuru wa kuendelea na uislam wakeWaslam hupenda sana lalamika, japo ni marafiki zangu
BAKWATA ni tawi la CCM wala hawawezi kushindana na taasisi kubwa ulimwenguni kama RCNaona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.
Wala TEC haiwezi kuwajibu chawa kama BAKWATA ni wadogo snKwani ni mara ya kwanza TEC Kutoa Tamko!
Waislam huwa wanajidai kupinga ushoga wakati mashoga na malaya wengi hapa Tanzania ni WaislamLGBTQ walitaka kupora rasimali za watanzania kwa mkataba tata? Wapuuzi hao elimu ya kupangua hoja za maaskofu hawana
Ila saa100 bana IQ yake ni ya chini mno sijui uarabuni alifuta nini ,one alivyoleta tahrukiHii vita ni rasmi ya kidini, Samia 2025 hawezi kuwa Rais
Wamemtega ametegeka , Wenye nchi hawawezi mruhusu kuendelea 2025
Byebye Samia
tusubiri maulamaa/masheikh nao watoe waraka wao, bila shaka utakuwa wa kujibu hoja za maaskofu japo wao utakuwa umejaa mihemko ya kidini, ujinga mtupu. Halafu ccm wanachekelea upuuzi wao waliousababisha kwa kukosa akiliBinafsi napenda hii ngoma iendelee hivihivi...maana ni kitu ambacho kimekua kikitengenezwa kwa muda mrefu sana. Ngoja kipasuke tu.
Kama ni propaganda basi waendelee nao.Kwa hiyo wanajadili propaganda?Naona hapa CCM na DPW wanatetewa Kwa nguvu zote bahati mbaya saaana hawataji Mapungufu yaliyomo kwenye mkataba ambayo yametajwa na Mahakama na Sekretarieti ya BUNGE pia, achana na individuals kama Professor Shivji.
Wanadai hizi ni propaganda! Duh
Kwa Weledi na unyenyekevu, Maaskofu wameelekeza hoja na ushauri wao kwa Serikali.tusubiri maulamaa/masheikh nao watoe waraka wao, bila shaka utakuwa wa kujibu hoja za maaskofu japo wao utakuwa umejaa mihemko ya kidini, ujinga mtupu. Halafu ccm wanachekelea upuuzi wao waliousababisha kwa kukosa akili
Huu waraka wa TEC ni "pandora"s box" ya mabadiliko makubwa yatakayokuja ya kiutawala ndani ya nchi yetu. Badala ya watu kujikita katika kujibu hoja, sasa zinatafutwa sababu dhaifu na za kihistoria na zenye sura ya kidini ili kukwepa hoja iliyopo mezani.Naona Waraka Sasa umefika Kila pahala, haujamuacha MTU salama! Naam wanaushambulia Kwa hakika though hakuna tangible points hapa!
Masheikh hawa wanaamini Waraka wa TEC utaleta taharuki. Wanafanya reference ya mambo ya ESCROW.
Wanasema tamko la TEC linataka kuleta taharuki Kwa wananchi na chuki Kwa wananchi dhidi ya serikali ya CCM.