Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri utandikwe mimba kwanza ndio utajua hujuiMm nataka bonge la sherehe ukumbi mlimani city, mapambo ml 4, gauni langu sio chini ya ml 5, tuseme 60ml for harusi then honeymoon iwe Dubai kwa mwez 1
Ndoa ni ibada... Sherehe baada ya ndoa ni kupenda kwenu tu ila sio lazimaNipo tayari.Ndoa ni zaidi ya harusi.
Kabisa best!Ndoa ni ibada... Sharehe baada ya ndoa nikupenda kwenu tu ila sio lazima
Umeadimika sana rafikii...Kabisa best!
Ngoja nikuvushe server mamiii hahaha
Kwamba hayupo ambaye zinamnyeshea hizo 'heri' ? Ama what I see is not what gets on the table
[emoji1488], hakika baraka zi nawe. Bahati iliyoje kuijongea meza hii na kuzifaidi neema za maulana hizi. Eeenh Julie weeeh wacha niendelee kuzoomNi Bwana pekee
[emoji1488], hakika baraka zi nawe. Bahati iliyoje kuijongea meza hii na kuzifaidi neema za maulana hizi. Eeenh Julie weeeh wacha niendelee kuzoom
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
🤣 🤣 Mwali umenichekesha hadi machozi.Nini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? 😂
Afu harusi most aneyegharamika ni mwanaume na familia yake 🥴Kwanza utanangwa na ukoo mzima
Nini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? [emoji23]
Ndugu katibu mkuu Mnyatiaji kwa kweli kazi unayoifanya ni hadhina kubwa sanaaaKaka madenge popote pale ulipo mruhusu muweka hazina amnunulie soda ya baridi huyu dada pia leo akae siti ya mbele kwenye daladala😆😆