Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Nini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? 😂
🤣 🤣 Mwali umenichekesha hadi machozi.
Complications za nini?
 
Kaka madenge popote pale ulipo mruhusu muweka hazina amnunulie soda ya baridi huyu dada pia leo akae siti ya mbele kwenye daladala😆😆
Ndugu katibu mkuu Mnyatiaji kwa kweli kazi unayoifanya ni hadhina kubwa sanaaa
Kama mwenyekiti nimekukabidhi Hundi ya shilling 300 utapata mia hamsini

Na hiyo nyingne tutamnunulia Dada Carleen soda utamwambia mangi ela nyingine tunaiskilizia
Muweka hazina The Icebreaker naomba ufanye kazi hiyo kama muweka hazina uliyechaguliwa

Wenu mtiifu mwenyekiti uwabata
Kaka madenge
 
Back
Top Bottom